The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,355
- 17,321
Watu wengi walioko Chadema wamejaa njaa tupu sio huyo tu.
Kabisa....maana jamaa anajifanya yeye ndo anampenda mke wake kuliko wengine kumbe jamaa anamendea kamshahara....kingine Hana lugha ya mtu mzima zaidi ya maneno ya kihuni mdomoni mwake....na hapo chadema inakosea Sana kuwapa dhamana watu wa aina hii...ngoja aje akutane na kidume kinamla mke wake ndo akili itavujia ....yeye anafikiri ubunge wa mke wake ni wabure....Hahahaa inabidi awe anapiga sana mchuzi wa pweza na puturu ili aendelee kuheshimika maana ukiwa marioo inabidi usimamie kucha.
Kweli kabisaWatu wengi walioko Chadema wamejaa njaa tupu sio huyo tu.
Dah ndo jamaa atajua hajui. Kwan mke wake ndo nani pale? Au ni Halima ?Siku anamfumania na msela mjengoni ndio atatia akili
Bananga kukosa nafasi ya kugombea ubunge Arusha Mjini amechanganyikiwa kabisa, alijaribu kuchukua form wajumbe wakamuonesha hawana imani nae kabisa kwa zile kura kiduchu alizoambulia, sasa naona anatafuta sababu ya kuondokea Chadema, bora ajiondokee tu akajiunge na marafiki zake kina Sabaya.
Leo viongozi wote wa upinzani wakiwaza familia zao watapata muda wakuwaza Katiba mpya?
Kwa hiyo mkewe hata akitenda uovu atamlinda tu? Kwa Nini asimsaidie kumwondoa kwenye songombingo la kupata ubunge usiostahili? Je viapo vyao huko msikitini viliruhusu kula hata visivyostahili?Sio sababu ya mkewe kuwa mbunge, Bananga ni akili kubwa.... anajua kuishi ndani ya itikadi bila kuathiri jamii
Bananga hanaga akili za kushikiliwa
Haahaa, kazi ipo....Mkuu kwa hapo i stand with bananga,jamaa ni very smart aisee
kuna itikadi na kuna family.
Kuna kanuni inasema mwanamke wako ni jukumu lako kusmama upande wake hata kama ana onekana kakosea kias gani kwenye jamii stand with her,,
Mwanamke anarekebishwa mkiwa wawili ndani tartibu ila nje lazma umheshimishe na umuonyeshe you stand with her.
Na hii ndo mbinu ya kivita kum badilisha mwanamke tabia yeyote usioipenda.
chkua iyo kama ulikua hufaham.
Ukimsagia kunguni nje ndo unaharibu kila kitu.
Mkuu hizo ndo busara za suleiman.
Isn't it obvious?Kwa sasa anayelisha familia ni mama au baba?
Tuanzie hapo kwanza.
Umemaliza tufunge mjadala.Akishalipwa mke wake zinasaidia familia.Mnataka asimame nanyi mnaitunza familia?
Kwa mwanaume makini hakustahili ajibie hoja zakikatiba kupitia mke wake,
Ameuza utu wake kwa maslahi ya wawili na si taifa.
SIKU NYINGINE ANYAMAZE TU.
Njaa inakusumbua Siku watakapofukuzwa Bungeni na kuambiwa Warudishe hizo Pesa tutaona kama Utasimama nae"Mimi ni mwanachama wa CHADEMA, Suala la wabunge 19 wa viti maalumu ambao Chama chetu kinasema hakiwatambui, mke wangu (Hawa Bananga) pia ni miongoni mwao na katika vitu ambavyo nimekuwa nikijiepusha kuvizungumza ni suala hili kwasababu bado maamuzi yako ndani ya chama,
Kuliweka hili kwa ufupi mimi nitasimama aliposimama mke wangu kwasababu sikufunga naye ndoa CHADEMA, sikufunga naye ndoa mitandaoni nilifunga naye ndoa msikitini, kiapo changu kwake ni kumlinda kwa gharama ya damu yangu....
Lolote lenye udhaifu kwake ni wajibu wangu kulipa uimara, ndio kitu cha thamani ninachomiliki, nitamlinda mama wa watoto wangu
"-Mwanasiasa Ally Bananga kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).
Chanzo: Star TV
Jana nimemwangalia yule siyo CHADEMA hata robo bora tu arudi nyumbani kwake CCM"Mimi ni mwanachama wa CHADEMA, Suala la wabunge 19 wa viti maalumu ambao Chama chetu kinasema hakiwatambui, mke wangu (Hawa Bananga) pia ni miongoni mwao na katika vitu ambavyo nimekuwa nikijiepusha kuvizungumza ni suala hili kwasababu bado maamuzi yako ndani ya chama...