mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,763
- 35,205
Kama atapitishwa🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kwani msando kashapitishwa?
JESUS IS LORD
Kama atapitishwa🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kwani msando kashapitishwa?
JESUS IS LORD
Yaani watu mnatabiri sijawahi kuonaHuyu atakuja kujitoa katikati ya kampeni, ni team Lowasa.
Poleni.Tunamuombea Bananga ashinde
Unaamini Bananga angebadili upepo kwasababu ana urafiki na ma CCM, ndivyo mlivyomuahidi kwenye vikao vyenu vya bia?!Bananga ndio anaweza kubadili upepo wa siasa za Arusha, Lema hatoboi Arusha tena, hii ni penda usipende ....rudi kwenye uzi huu November utaniambia, Bananga atabadili upepo wote na itabidi CCM wajitafakari upya lakini kwa Lema dawa wanayo ...
Hakuna shida. Kwani watia nia wa CHADEMA ni wangapi?Subiri team Lema waje
Ama kweli wewe ni mwanafunzi wa siasa za Arusha, Lema na Bananga lao moja!Wakuu,
Mwanasiasa maarufu nchini na aliyekuwa diwani wa Sombetini jijini Arusha kupitia CHADEMA Ally Bananga a.k.a Binamu Bananga ametia nia ya kugombea ubunge Arusha mjini kupitia CHADEMA.
Kwa wanaofahamu siasa za Arusha wanajua hili ni jaribu kubwa sana kwa CHADEMA kuonesha ukomavu bila kuivunja rasmi ngome yao kuu ya upinzani jijini Arusha na kufanya CCM ishinde kirahisi kuliko uchaguzi wowote uliowahi kufanyika Arusha.
Inawezekana kuna kundi kubwa la madiwani/wanachama wanaotaka kufanya kazi na mtu mwingine na wamemtuma Bananga kutuma ujumbe wao. Sasa unahitajika ukomavu mkubwa kuvuka hili bila kupasua chama.
Binafsi naona Ally Bananga ni mwanasiasa mkomavu anayeweza kushirikiana na wananchi, wanachama, madiwani na serikali kuletea maendeleo wananchi tofauti na Lema ambaye harakati zake zinafaa kutafutiwa kazi zingine za chama na nafikiri kuwa kiongozi wa kanda inatosha.
Kila lakheri Ally Bananga, operations zako kama diwani na kiungo muhimu wa CHADEMA na wananchi hapo Arusha unastahili kumpokea kijiti Mh. Lema maana unajua shida za wana Arusha kiuhalisia zaidi.
Duh!Bananga rudisha pesa zetu. Ulitudanganya unakubalika ndani ya CHADEMA kumbe wizi mtupu. Halafu kwanini hupendi kuridhika? Mkeo ni makamu mwenyekiti BAWACHA pia ni mbunge viti maalum mkoa wa TABORA ila bado unawasaliti. wewe mtu ni hatari sana.
Jumla ya kura 203. Lema 181, Bananga 22. Endelea kuota.Ninamjua vema Ali Bananga Mwatiga.....
Ninaujua VYEMA UWEZO WAKE KUNTU.....
Ninaufahamu ushawishi wake juu ya wanaArusha...nenda pale SOMBETINI watakwambia......
Ally Bananga Mwatiga akiwa mratibu wa CCM STAMINAZ ya kina JAMES OLE MILLYA,na kina Julius Kalanga walisumbuana Sana na ndugu yetu mkuu wa mkoa aliyeondolewa Kaka Mrisho Gambo.....
Ilikuwa minyukano hasa.....huku GAMBO akiwa na mama yetu Mary CHATANDA KIPINDI Cha ukatibu wake wa CCM ARUSHA.........
Ikiwa Gambo atapitishwa na CCM na Mtunduizi Ally Bananga Mwatiga akimshinda Lema.....hakika ni MPAMBANO HEAVY WEIGHT.....
MPAMBANO WA KARNE......
Karibu mjini!Ninamjua vema Ali Bananga Mwatiga.....
Ninaujua VYEMA UWEZO WAKE KUNTU.....
Ninaufahamu ushawishi wake juu ya wanaArusha...nenda pale SOMBETINI watakwambia......
Ally Bananga Mwatiga akiwa mratibu wa CCM STAMINAZ ya kina JAMES OLE MILLYA,na kina Julius Kalanga walisumbuana Sana na ndugu yetu mkuu wa mkoa aliyeondolewa Kaka Mrisho Gambo.....
Ilikuwa minyukano hasa.....huku GAMBO akiwa na mama yetu Mary CHATANDA KIPINDI Cha ukatibu wake wa CCM ARUSHA.........
Ikiwa Gambo atapitishwa na CCM na Mtunduizi Ally Bananga Mwatiga akimshinda Lema.....hakika ni MPAMBANO HEAVY WEIGHT.....
MPAMBANO WA KARNE......
Santee mkuu wangu🤝🤝🤝Karibu mjini!
CHADEMA hatuna ShidaWakuu,
Mwanasiasa maarufu nchini na aliyekuwa diwani wa Sombetini jijini Arusha kupitia CHADEMA Ally Bananga a.k.a Binamu Bananga ametia nia ya kugombea ubunge Arusha mjini kupitia CHADEMA.
Kwa wanaofahamu siasa za Arusha wanajua hili ni jaribu kubwa sana kwa CHADEMA kuonesha ukomavu bila kuivunja rasmi ngome yao kuu ya upinzani jijini Arusha na kufanya CCM ishinde kirahisi kuliko uchaguzi wowote uliowahi kufanyika Arusha.
Inawezekana kuna kundi kubwa la madiwani/wanachama wanaotaka kufanya kazi na mtu mwingine na wamemtuma Bananga kutuma ujumbe wao. Sasa unahitajika ukomavu mkubwa kuvuka hili bila kupasua chama.
Binafsi naona Ally Bananga ni mwanasiasa mkomavu anayeweza kushirikiana na wananchi, wanachama, madiwani na serikali kuletea maendeleo wananchi tofauti na Lema ambaye harakati zake zinafaa kutafutiwa kazi zingine za chama na nafikiri kuwa kiongozi wa kanda inatosha.
Kila lakheri Ally Bananga, operations zako kama diwani na kiungo muhimu wa CHADEMA na wananchi hapo Arusha unastahili kumpokea kijiti Mh. Lema maana unajua shida za wana Arusha kiuhalisia zaidi.
Koroga uji unyweBananga yuko vzr, anauwezi mzuri tu wa kujenga hoja. Lema awapishe wenzake miaka 10 inamtosha.
Ha ha ha! Ha ha bhana siasa sio uadui.Koroga uji unywe
Lema namba nyingine
Dalili ya mvua ni mawinguYaani watu mnatabiri sijawahi kuona
KabisaHakuna mtu aliaminiwa kama Nasari, sasa hivi ni dubwana.
Mwacheni Bananga ajaribu bahati yake