All Toyota manual / self diagnostic

LEGE

JF-Expert Member
Oct 14, 2011
5,123
9,157
nimeleta huu uzi ili uweze kutatua matatizo madogo madogo ambayo unaweza kuyatatua kwenye gari yako pindi linapo leta hitilafu upande wa umeme na kuwasha taa za tahadhari kama taa ya CHECK ENGINE, ABS,O/D,VSV,TRS,SRS or AIRBAG n.k

hapa tutafahamishana na kusaidiana kuweza kuipima gari yako bila kutumia mashine diagnosis machiney na ukapata majibu sawa kabisa na ya uhakika.

nitajitahidi kuzungumzia mifumo yote ila hasa nitaanza na mifumo mikubwa mitatu na jinsi ya kutatua tatizo ambalo utalipata baada ya kuipima gari yako.

JINSI YA KUPIMA GARI YAKO.

hili linaweza kufanywa na mtu ambaye ni fundi au hata kama sio fudi pia inategemeana na akili ya mtu. gari za toyota zina socketi za aina 4 tofauti hizi zinatofautiana au zilikuwa zinatoka kufuatana na aina ya gari.
magari ya zamani kabisa yalikuwa yanatumia socket ya round.
ila kwa magari ya sasa yanatumia socket mbili ya obd 1 ambayo huwa inakuwa mbele kwenye bonet huwa na pin 22.

upload_2017-6-11_8-5-41.jpeg

kimwonekano huwa inakuwa hivyo. ukiangalia kwenye hiyo picha kuna sehem nyingine hazina pin zipo empty huwa inategemeana na aina ya gari na niyamwaka gani kama gari ni ya miaka ya karibuni utaona hiyo socket pin karibia zote zina clips.

ukifunua huo mfuniko kwa juu utaona kuna vifupisho au herufi nyingi nyingi lakini herufi zinazotumika kwaajili ya kupimia au nitakazo zizungumzia hapa ni herufi kama 4 au 5 tuu katika soketi hii.

1=E1 hii ni erth au negative au graund

2=T1 hii pin itakuwezesha kupima matatizo ya engine/chek engine

3=TC hii pin itakuwezesha kupima matatizo ya ABS na mifumo shiriki ya abs.

4=TS hii pin itakuwezesha kupima matatizo ya SRS,AIRBAG.


upload_2017-6-11_8-22-5.png

mwonekano wa hiyo soketi kimpangilio wa hizo pin utaonekana hivyo.

SOKETI YA PIN 16 OBD 2.
hii soketi ipo kwenye magari yote ya kisasa ya sasa hivi au kuanzia mwaka 2000 kuja juu hata baadhi ya magari ya chini ya 2000 yanazo pia.
hii soketi huwa inakuwa ndani ya gari na huwa inakuwa upande wa dereva .mara nyingi huwa inakuwa karibu kabisa na sehem ya kufungulia bonet kwa njini au ndani .

images


mwonekano wa wa hiyo soketi ya pin 16 OBD 2.zingatia sana hizo namba.

images


images



katika hii soketi tutazungumzia pin kama 3 hivi . sasa hapa umakini kidogo unatakiwa maana usipokuwa makini utajikuta badala ya kutengeneza unaharibu zaidi.

images


4=CG chassis ground hii ni sawa sawa na E1 kwenye soketi ya pin 22.

5=SG hii ni signal ground ECM ground.au E2 mafundi watanielewa kwa urahisi.

12=hii pin itakuwezesha kupima matatizo ya SRS,AIRBAG

13=TC hii pini inakazi kubwa sana na nyingi itakuwezesha kupima matatizo karibia yote kwenye mifumo yote kama inashida ,hapa na maanisha abs,od,chek engine,TRS,VSC nakadharika.


HATUA ZA KUIPIMA GARI YAKO.

baada ya kuzifaham hizo soketi tuangalie sasa kwakutumia hizo soketi utawezaje kupima gari yako na kutambua ina shida gani au sababu iliyosababisha mpaka taa kuwaka na utawezaje kutatua tatizo lako .nazani nianze hasa na jinsi ya kupima taa ya check engine.

kama gari yako inatumia soketi ya pini 22 basi fanya hivi.zima gari yako iweke off kabisa.chukua kipande cha waya chomeka kwenye pin E1 na pin T1

angalia mfano kwenye picha hapa

images
maxresdefault.jpg


baada ya hapo ingia ndani ya gari na weka switch ON usiwashe gari.angalia taa ya chek engine utaona ina blink au inawaka kwa kukonyeza konyeza,au kwa lugha nyingine ina flush.sasa hapo kuwa makini kuhesabia ina blink mara ngapi na kutulia kidogo harafu inaendelea tena.nitakueleza baadae jinsi ya kuyasoma au yahesabu hayo mapigo ya check engine kuwaka na kuzima.

KUPIMA KWA SOKETI YA OBD 2 AU PIN 16

hapa pia zima gari yako kabisa iweke switch off harafu chukua kipande cha waya na chomeka kwenye pin number 4 CG na pin 13 TC.
baada ya hapo ingia ndani ya gari yako weka switch ON harafu angalia taa ya chek engine inavyo blink lakini hapa kutakuwa na utofauti kidogo sio taa ya check engine peke yake ndio ita blink utaona taa nying sana ziki blink kwa kuwa katika soketi hii pin hii ya TC inafanya kazi nyingi.au inachukua mawasiliano ya mifumo mingi sana .sasa wewe weka umakini wako kwenye taa husika tuu ili usichanganyikiwe.


JINSI YA KUSOMA FAULT CODE.
hapa tuangalie ni jinsi gani unaweza kusoma fault code au namna ya taa inavyowaka na kuzima na kuweza kupanda namba sahihi zitakazo kuwezesha kukujulisha kuwa gari yako ina shida gani au ni sensor ipi haifanyi kazi au imekufa.

no fault code gari kama itakuwa haina tatizo au hakuna shida iliyolipotiwa kwenye control box na kuhifadhiwa taa itawaka itawaka na kuzima bila kuwa na tofauti hapa na maana itawaka sekunde 0.5 na kuzima 0.5 tena itawaka 0.5 na kuzima 0.5 itaendelea hivyo bila kusimama.
hapa sio magari yote huwa kwa sekunde hiyo mengine huwa na pazi huhesabu taratibu main point kubwa hapo ni kuwa kusiwe na tofauti yoyote kati ya kuzima na kuwaka kuzima na kuwaka kama kutakuwa na tofauti ina maana hiyo ni fault code.

na fault code za toyota zote duniani zinaanzia namba 2 mpaka 99. hapo namba 1 sijaiandika kwa kuwa gari ikisoma namba moja ina maana haina tatizo.

usomaji wa fault code kuanzia namba 2 mpaka 9 unakuwa hivi.

mfano gari code namba 2 taa itawaka hivi.

ukiweka tuu switch on taa itawaka na kuzima harafu itawaka nakuzima tena. wewe hapo utakuwa unahesabu imewaka mara ngapi. na siku zote code kuanzia namba 2 mpaka 9 huwa inawaka na kuzima mfululizo.bila kuwa na tofauti ya mda kati ya muwako mmoja na mwingine.
code 5 itakuwa hivi on of on of on of on of on hapo itawaka mfululizo harafu itatulia kidogo itaanza tena kuwaka kama mwanzo ina maana hapo gari inarudia tena kuhesabu code husika.


code namba 10 mpaka 99

code 11 itawaka hivi on of on of on of on of on of on of.

hapo ina maana on of ni sawa na 1 on of ni moja nyingine kwahiyo inakuwa 11 itatulia kidogo na kurudia tena kuhesabu kama mwanzo.


code 15 itawaka hivi on of on of on of on of on of on of.

hapo ina maana on of ni 1 harafu itaweka pozi kidogo harafu itapiga on of on of on of on of on of hapo ina maana code 5. baada ya hapo itaweka pozi lefu zaidi na kuanza tena upya.

code 22 itawaka hivi on of on of on of on of.
kama mtakuwa mmenielewa hapo basi ngoja tuone gari yenye fault code zaidi ya moja.
itasomaje taa ya check engine.

mfano ina code 11,15 na 23 itasoma hivi,
on of on of on of on of on of on of on of on of on of on of on of on of on of ikamaliza hapo itarudi mwanzo kabisaa na itarendelea kurudia mpaka utakapo weka switch off au kuchomoa kipande cha waya.

ukisha weza kusoma fault code basi unakuwa umemaliza kazi ya kulipima gari lako.hizo namba unazozipata au hizo fault code huwa zinakuwa na maana yake kulingana na aina ya gari na huwa zinatofautiana kila gari au aina ya gari inategemeana gari inatumia engine gani.au nitoleo la mwaka gani.

TOYOTA FAULT CODE AND MEANING

hizi hapa chini ni fault code ambazo zipo na maana yake zina maana zaidi ya mbili kwa kwa kukidhi mahitaji ya gari aina zote.

Basic codes by flashing "Check Engine-light" ("MIL")
1 Normal Condition
2 Air Flow Meter signal
MANIFOLD AND/OR AIRFLOW METER SENSOR circuit
- AIRFLOW METER/circuit
- MANIFOLD PRESSURE SENSOR/circuit
3 Ignition signal
-NO "IGF" SIGNAL to ECM
-IGNITER/IGNITER CIRCUIT
-IGNITER AND IGNITION COIL/circuit
4 Engine Coolant Temperature Sensor signal
- OPEN or SHORT IN WATER TEMP. SENSOR
- WATER TEMPERATURE SENSOR circuit
- WATER TEMPERATURE SENSOR
5 Oxygen Sensor OXYGEN SENSOR SIGNAL/OXYGEN SENSOR HEATER Signal
OPEN OR SHORT IN OXYGEN SENSOR OR OXYGEN SENSOR Signal
6 RPM signal (Crank Angle Pulse) RPM Signal
- NO SIGNAL to ECU FROM DISTRIBUTOR ("Ne" or "G") AFTER ENGINE HAS BEEN CRANKED
- DISTRIBUTOR/circuit
- STARTERSIGNAL circuit
- IGNITER/IGNITER circuit
7 Throttle Position Sensor Signal
- OPEN or SHORT Signal
- TPS SENSOR
- TPS Signal/circuit
8 Intake Air Temperature Sensor Signal
- Open or short INTAKE AIR TEMP. SIGNAL
- INTAKE AIR TEMPERATURE circuit
- INTAKE AIR TEMPERATURE SENSOR
9 Vehicle Speed Sensor Signal
-NO SPD. SIGNAL FOR SEVERLA SECONDS WHILE VEHICLE IS OPERATED UNDER HEAVY LOAD
TPS/MAP/AIR FLOW INPUTS)
- SPEED SENSOR/circuit
10 Starter signal
11 Switch signal LOSS OF POWER SUPPLY TO ECM
-IGNITION SWITCH/circuit
-MAIN RELAY/circuit
12 Knock Control Sensor signal
STARTER SIGNAL
- NO "STA" SIGNAL TO ECM UNTIL ENGINE SPEED EXCEEDS 800 RPM
- IGNITION SWITCH/circuit
12 RPM signal (G22 for –FSE)
- NO SIGNAL TO ECM FROM DISTRIBUTOR ("Ne" OR "G") AFTER ENGINE HAS BEEN CRANKED
- DISTRIBUTOR/circuit
- STARTERSIGNAL circuit
-IGNITER/IGNITER circuit
12 Crankshaft position (CKP) sensor - circuit malfunction (3C-TE)
13 Knock Control CPU (ECM)
13 RPM signal (NE for –FSE)
SAME AS above but after ENGINE has RUN AT 1,000 - 1,500 RPM
-DISTRIBUTOR/DISTRIBUTOR circuit
13 Fuel injection pump position sensor – circuit malfunction (3C-TE)
14 Turbocharger Pressure
14 Ignition signal
- No "IG" or "IGF" ignition signal to ECM from ignitior several times in succession (IGT1, IGT4, IGF for –
FSE)
- NO "IGF" SIGNAL TO ECM
- IGNITER/IGNITER circuit
- IGNITER AND IGNITION COIL/circuit
14 (2C-TE) Timing control system malfunction
15 Ignition System (IGT2, IGT3, IGF for –FSE)
15 (1CD-FTV) Throttle motor - circuit malfunction
15 Throttle control circuit - malfunction
16 Faulity in transmission/transaxle ECM (Transmission control signal)
17 Engine control module (ECM) -malfunction
18 Fuel quantity adjuster -malfunction
MIL-code on Toyota / Lexus by al tech page (www.alflash.narod.ru/)
Note: Not all trouble codes are used on all models
2
19 Acceleration Pedal Position (AAP) Sensor/Switch circuit malfunction (VC, VPA, VPA2, E2 – for
FSE, 3C-TE)
21 Oxygen Sensor
OXYGEN SENSOR SIGNAL/OXYGEN SENSOR HEATER SIGNAL
- OPEN or SHORT IN OXYGEN SENSOR OR OXYGEN SENSOR SIGNAL и еще десяток причин...
22 Engine Coolant Temperature Sensor signal
- OPEN OR SHORT IN WATER TEMP. SENSOR SIGNAL
- WATER TEMPERATURE SENSOR circuit
- WATER TEMPERATURE SENSOR
23 Intake Air Temperature Sensor signal
- OPEN OR SHORT IN INTAKE AIR TEMP. SIGNAL
- INTAKE AIR TEMPERATURE circuit
- INTAKE AIR TEMPERATURE SENSOR
24 Intake Air Temperature Sensor signal
- OPEN OR SHORT IN INTAKE AIR TEMP. SIGNAL
- INTAKE AIR TEMPERATURE circuit
- INTAKE AIR TEMPERATURE SENSOR
25 Air-Fuel Ratio Lean
- LEAN SIGNAL SENT TO ECU FROM O2 SENSOR
- INJECTOR FAULT(S)
- FUEL PRESSURE
- OXYGEN SENSOR
- AIRFLOW METER OR MAP SENSOR
- IGNITION
26 Air-Fuel Ratio Rich
- SAME AS ABOVE
- COLD START INJECTOR
27 Sub Oxygen Sensor signal
- SUB OXYGEN SENSOR/HEATER circuit
28 No. 2 Oxygen Sensor signal
No.2 OXYGEN SENSOR/OXYGEN SENSOR HEATER
- SAME AS CODE 21
29 No. 2 Oxygen Sensor signal
31 Air Flow Meter signal or Vacuum Sensor signal circuit
- AIRFLOW METER/CIRCUIT
- MANIFOLD PRESSURE SENSOR (MAP) circuit
32 Air Flow Meter signal (VANE-TYPE)
- AIRFLOW METER/circuit
32 (Diesel) Malfunction Resistance Signal
32 (2C-TE) Module coding plug - malfunction
32 (1CD-FTV) Injector - malfunction
33 IAC Valve
- OPEN OR SHORT IN IDLE AIR CONTROL VALVE Signal CIRCUIT or IDLE AIR CONTROL VALVE or ECM
33 Intake manifold air control solenoid –malfunction (3C-TE)
34 Turbocharger Pressure signal
- ABNORMAL TURBOCHARGER PRESSURE
- TURBO CHARGER
- AIRFLOW METER/MANIFOLD/TURBOCHARGER PRESSURE Signal
- INTERCOOLER SYSTEM
35 Turbocharger Pressure Sensor
- TURBOCHARGER PRESSURE SENSOR (Gas.)
35 Manifold Absolute Pressure Sensor (Diesel, 3C-TE)
35 HAC Sensor signal
-OPEN CIRCUIT IN HIGH ALTITUDE COMPENSATOR Signal
36 *
36 Sensor Combustion Pressure (Toyota Part No. 89468-20020)...
39 (Avensis) Fuel temperature sensor - circuit
39 VVT-i Valve (p1656,p1345,p1349, OCV for -FSE)
39 Fuel temperature sensor - circuit malfunction (3C-TE)
41 Throttle Position Sensor signal
- OPEN OR SHORT IN TPS Signal
- TPS Sensor
- TPS Signal/circuit
42 Vehicle Speed Sensor signal
- NO SPD. Signal for SEVERLA SECONDS WHILE VEHICLE IS OPERATED UNDER HEAVY LOAD
(TPS/MAP/AIR FLOW INPUTS)
- SPEED Signal circuit
MIL-code on Toyota / Lexus by al tech page (www.alflash.narod.ru/)
Note: Not all trouble codes are used on all models
3
43 Starter signal
- NO "STA" Signal TO ECU until ENGINE SPEED exceeds 800 RPM
- IGNITION SWITCH/circuit
45 EGR System malfunction
- VSV EGR
- Temperature Sensor
47 Sub-Throttle Position Sensor
- Open or short circuit in Sub-Throttle position sensor signal
47 Throttle position (TP) sensor
48 Vacuum Switching Circuit of Air Sw. Valve or Air Pump (EAP) Malfunction
49 for D-4 System SFP (PR, VC, E2 for -FSE)
51 Switch signal
SWITCH Signal IDL (tps) CONTACTS OFF, NEUTRAL START SWITCH OFF, A/C SWITCH "ON" Signal TO ECM
WITH DIAGNOSTIC CHECK CONNECTOR SHORTED
- A/C SWITCH/circuit
- A/C AMPLIFIER
- TPS/CIRCUIT
- NEUTRAL START SWITCH/circuit
52 Knock Sensor signal
- OPEN OR SHORT IN KNOCK SENSOR Signal
- KNOCK SENSOR/circuit
53 Knock Control signal in ECM FAULTY or Engine control module (ECM) knock control – defective
(P1605)
54 Inter-cooler ECM signal
Intercooler coolant circulation capacity diminished (fail-safe operation: ignition timing program retarded by
2 degr.)
55 Knock Sensor signal
Open or short circuit in knock sensor signal (Chaser TRD with 2JZ-GTE)
56 Cooling Fan Pressure Sw.
58 SCVP, E2, SCV+, SCV (for –FSE)
59 VVT-i Valve - for FSE)
71 EGR System
EGR VALVE MALFUNCTION
- EXHAUST GAS TEMPEATURE BELOW SPEC. FOR EGR CONTROL
- EGR SYSTEM
- EGR GAS TEMPERATURE SENSOR circuit
72 Fuel Cut Solenoid signal
IGF SIGNAL IS DETECTED FOR 4 CONSECUTIVE IGNITIONS
72 A/C System (A/C Relay Open)
78 (Avensis) Fuel circuit - malfunction
78, 79 Fuel Pump Control signal (S+, E1 for FSE) (P1235
- Fuel Pump Control signal, P1200- Fuel Pump Relay/ECU Malfunction ?)
- Open or Short circuit in fuel Pump Control circuit or Fuel Pump Electronic Control Unit (ECU)
79 D-4
81 TCM Communication
- Open in ECT1 circuit between ECM & Transmission Control Module (TCM) for at Least 2 seconds
83 TCM Communication
- Open in ESA1 circuit between ECM & Transmission Control Module (TCM) for 1/2 second after engine
idles at least 1/2 second
84 TCM Communication
- Open in ESA2 circuit between ECM & Transmission Control Module (TCM) for 1/2 second after engine
idles at least 1/2 second
85 TCM Communication
- Open in ESA3 circuit between ECM & Transmission Control Module (TCM) for 1/2 second after engine
idles at least 1/2 second
89 (P1125, 1126, 1127, 1128) read a pulse ETCS-SNOW (Chaser TRD with 2JZ-GTE)
92 D-4 (p1210)
96 (p1600) Engine control module (ECM) -supply
97 D-4 (p1215) EDU Malfunction
97 (Avensis) Injector control module – circuit malfunction
98 D-4
99 (B2799) there is a trouble with immobilizer (for the OBDII-equiped Vechicle)
* for Lexus a 90-94. Abbrevations (Toyota and Lexus a 1990-2000), CPS - Crank Position Sensor.

mafundi na wadau wote ambao wanapenda magari au wanamiliki magari njooni hapa tujadili elimishana na kutatua matatizo ya magari yetu.haina haja ya kusumbuka kuanza kubahatisha katika kutengeneza gari yako unatumia garama kubwa kununua au kubadilisha vitu ambavyo sio vibovu njia hii ukiweza kuitumia itakusaidia sana kupunguza garama. huna haja ya kupima na mashine .kama upo mahali ambapo hakuna mashine tumia njia hii.

wadau wote ambao hamjaelewa ruksa kuuliza au kukosoa kwa lengo la kuelimishana na kuongezeana maalifa pia .haya nimeyaandika kwa uelewa wangu kama kuna mdau ana ya ziada zaidi anaweza ongezea pia.

huu uzi nitakuwa naendelea kuuongezea kila nipatapo mda sito anzisha uzi mwingine matatizo yote ya toyota upande wa umeme yata tatuliwa hapa.

nimegusia kidogo sana kwenye mfumo wa chek engine nitakuja pia kuelezea sensor moja moja kazi yake na hasara zake ikiwa haifanyi kazi kama fault code zinavyo soma hapo juu.

pia nitagusia mifumo yote jinsi ya kupima na kujua tatizo pindi taa za kwenye dash board zinapo waka.



itaendelea
 
Hii imekaa vizuri sana, umeekeweka mno, hakika umekuwa msaada kwa mechanika wengi kwa ufanisi yakinifu
 
nimeleta huu uzi ili uweze kutatua matatizo madogo madogo ambayo unaweza kuyatatua kwenye gari yako pindi linapo leta hitilafu upande wa umeme na kuwasha taa za tahadhari kama taa ya CHECK ENGINE, ABS,O/D,VSV,TRS,SRS or AIRBAG n.k

hapa tutafahamishana na kusaidiana kuweza kuipima gari yako bila kutumia mashine diagnosis machiney na ukapata majibu sawa kabisa na ya uhakika.

nitajitahidi kuzungumzia mifumo yote ila hasa nitaanza na mifumo mikubwa mitatu na jinsi ya kutatua tatizo ambalo utalipata baada ya kuipima gari yako.

JINSI YA KUPIMA GARI YAKO.

hili linaweza kufanywa na mtu ambaye ni fundi au hata kama sio fudi pia inategemeana na akili ya mtu. gari za toyota zina socketi za aina 4 tofauti hizi zinatofautiana au zilikuwa zinatoka kufuatana na aina ya gari.
magari ya zamani kabisa yalikuwa yanatumia socket ya round.
ila kwa magari ya sasa yanatumia socket mbili ya obd 1 ambayo huwa inakuwa mbele kwenye bonet huwa na pin 22.

View attachment 522174
kimwonekano huwa inakuwa hivyo. ukiangalia kwenye hiyo picha kuna sehem nyingine hazina pin zipo empty huwa inategemeana na aina ya gari na niyamwaka gani kama gari ni ya miaka ya karibuni utaona hiyo socket pin karibia zote zina clips.

ukifunua huo mfuniko kwa juu utaona kuna vifupisho au herufi nyingi nyingi lakini herufi zinazotumika kwaajili ya kupimia au nitakazo zizungumzia hapa ni herufi kama 4 au 5 tuu katika soketi hii.

1=E1 hii ni erth au negative au graund

2=T1 hii pin itakuwezesha kupima matatizo ya engine/chek engine

3=TC hii pin itakuwezesha kupima matatizo ya ABS na mifumo shiriki ya abs.

4=TS hii pin itakuwezesha kupima matatizo ya SRS,AIRBAG.


View attachment 522176
mwonekano wa hiyo soketi kimpangilio wa hizo pin utaonekana hivyo.

SOKETI YA PIN 16 OBD 2.
hii soketi ipo kwenye magari yote ya kisasa ya sasa hivi au kuanzia mwaka 2000 kuja juu hata baadhi ya magari ya chini ya 2000 yanazo pia.
hii soketi huwa inakuwa ndani ya gari na huwa inakuwa upande wa dereva .mara nyingi huwa inakuwa karibu kabisa na sehem ya kufungulia bonet kwa njini au ndani .

images


mwonekano wa wa hiyo soketi ya pin 16 OBD 2.zingatia sana hizo namba.

images


images



katika hii soketi tutazungumzia pin kama 3 hivi . sasa hapa umakini kidogo unatakiwa maana usipokuwa makini utajikuta badala ya kutengeneza unaharibu zaidi.

images


4=CG chassis ground hii ni sawa sawa na E1 kwenye soketi ya pin 22.

5=SG hii ni signal ground ECM ground.au E2 mafundi watanielewa kwa urahisi.

12=hii pin itakuwezesha kupima matatizo ya SRS,AIRBAG

13=TC hii pini inakazi kubwa sana na nyingi itakuwezesha kupima matatizo karibia yote kwenye mifumo yote kama inashida ,hapa na maanisha abs,od,chek engine,TRS,VSC nakadharika.


HATUA ZA KUIPIMA GARI YAKO.

baada ya kuzifaham hizo soketi tuangalie sasa kwakutumia hizo soketi utawezaje kupima gari yako na kutambua ina shida gani au sababu iliyosababisha mpaka taa kuwaka na utawezaje kutatua tatizo lako .nazani nianze hasa na jinsi ya kupima taa ya check engine.

kama gari yako inatumia soketi ya pini 22 basi fanya hivi.zima gari yako iweke off kabisa.chukua kipande cha waya chomeka kwenye pin E1 na pin T1

angalia mfano kwenye picha hapa

images
maxresdefault.jpg


baada ya hapo ingia ndani ya gari na weka switch ON usiwashe gari.angalia taa ya chek engine utaona ina blink au inawaka kwa kukonyeza konyeza,au kwa lugha nyingine ina flush.sasa hapo kuwa makini kuhesabia ina blink mara ngapi na kutulia kidogo harafu inaendelea tena.nitakueleza baadae jinsi ya kuyasoma au yahesabu hayo mapigo ya check engine kuwaka na kuzima.

KUPIMA KWA SOKETI YA OBD 2 AU PIN 16

hapa pia zima gari yako kabisa iweke switch off harafu chukua kipande cha waya na chomeka kwenye pin number 4 CG na pin 13 TC.
baada ya hapo ingia ndani ya gari yako weka switch ON harafu angalia taa ya chek engine inavyo blink lakini hapa kutakuwa na utofauti kidogo sio taa ya check engine peke yake ndio ita blink utaona taa nying sana ziki blink kwa kuwa katika soketi hii pin hii ya TC inafanya kazi nyingi.au inachukua mawasiliano ya mifumo mingi sana .sasa wewe weka umakini wako kwenye taa husika tuu ili usichanganyikiwe.


JINSI YA KUSOMA FAULT CODE.
hapa tuangalie ni jinsi gani unaweza kusoma fault code au namna ya taa inavyowaka na kuzima na kuweza kupanda namba sahihi zitakazo kuwezesha kukujulisha kuwa gari yako ina shida gani au ni sensor ipi haifanyi kazi au imekufa.

no fault code gari kama itakuwa haina tatizo au hakuna shida iliyolipotiwa kwenye control box na kuhifadhiwa taa itawaka itawaka na kuzima bila kuwa na tofauti hapa na maana itawaka sekunde 0.5 na kuzima 0.5 tena itawaka 0.5 na kuzima 0.5 itaendelea hivyo bila kusimama.
hapa sio magari yote huwa kwa sekunde hiyo mengine huwa na pazi huhesabu taratibu main point kubwa hapo ni kuwa kusiwe na tofauti yoyote kati ya kuzima na kuwaka kuzima na kuwaka kama kutakuwa na tofauti ina maana hiyo ni fault code.

na fault code za toyota zote duniani zinaanzia namba 2 mpaka 99. hapo namba 1 sijaiandika kwa kuwa gari ikisoma namba moja ina maana haina tatizo.

usomaji wa fault code kuanzia namba 2 mpaka 9 unakuwa hivi.

mfano gari code namba 2 taa itawaka hivi.

ukiweka tuu switch on taa itawaka na kuzima harafu itawaka nakuzima tena. wewe hapo utakuwa unahesabu imewaka mara ngapi. na siku zote code kuanzia namba 2 mpaka 9 huwa inawaka na kuzima mfululizo.bila kuwa na tofauti ya mda kati ya muwako mmoja na mwingine.
code 5 itakuwa hivi on of on of on of on of on hapo itawaka mfululizo harafu itatulia kidogo itaanza tena kuwaka kama mwanzo ina maana hapo gari inarudia tena kuhesabu code husika.


code namba 10 mpaka 99

code 11 itawaka hivi on of on of on of on of on of on of.

hapo ina maana on of ni sawa na 1 on of ni moja nyingine kwahiyo inakuwa 11 itatulia kidogo na kurudia tena kuhesabu kama mwanzo.


code 15 itawaka hivi on of on of on of on of on of on of.

hapo ina maana on of ni 1 harafu itaweka pozi kidogo harafu itapiga on of on of on of on of on of hapo ina maana code 5. baada ya hapo itaweka pozi lefu zaidi na kuanza tena upya.

code 22 itawaka hivi on of on of on of on of.
kama mtakuwa mmenielewa hapo basi ngoja tuone gari yenye fault code zaidi ya moja.
itasomaje taa ya check engine.

mfano ina code 11,15 na 23 itasoma hivi,
on of on of on of on of on of on of on of on of on of on of on of on of on of ikamaliza hapo itarudi mwanzo kabisaa na itarendelea kurudia mpaka utakapo weka switch off au kuchomoa kipande cha waya.

ukisha weza kusoma fault code basi unakuwa umemaliza kazi ya kulipima gari lako.hizo namba unazozipata au hizo fault code huwa zinakuwa na maana yake kulingana na aina ya gari na huwa zinatofautiana kila gari au aina ya gari inategemeana gari inatumia engine gani.au nitoleo la mwaka gani.

TOYOTA FAULT CODE AND MEANING

hizi hapa chini ni fault code ambazo zipo na maana yake zina maana zaidi ya mbili kwa kwa kukidhi mahitaji ya gari aina zote.

Basic codes by flashing "Check Engine-light" ("MIL")
1 Normal Condition
2 Air Flow Meter signal
MANIFOLD AND/OR AIRFLOW METER SENSOR circuit
- AIRFLOW METER/circuit
- MANIFOLD PRESSURE SENSOR/circuit
3 Ignition signal
-NO "IGF" SIGNAL to ECM
-IGNITER/IGNITER CIRCUIT
-IGNITER AND IGNITION COIL/circuit
4 Engine Coolant Temperature Sensor signal
- OPEN or SHORT IN WATER TEMP. SENSOR
- WATER TEMPERATURE SENSOR circuit
- WATER TEMPERATURE SENSOR
5 Oxygen Sensor OXYGEN SENSOR SIGNAL/OXYGEN SENSOR HEATER Signal
OPEN OR SHORT IN OXYGEN SENSOR OR OXYGEN SENSOR Signal
6 RPM signal (Crank Angle Pulse) RPM Signal
- NO SIGNAL to ECU FROM DISTRIBUTOR ("Ne" or "G") AFTER ENGINE HAS BEEN CRANKED
- DISTRIBUTOR/circuit
- STARTERSIGNAL circuit
- IGNITER/IGNITER circuit
7 Throttle Position Sensor Signal
- OPEN or SHORT Signal
- TPS SENSOR
- TPS Signal/circuit
8 Intake Air Temperature Sensor Signal
- Open or short INTAKE AIR TEMP. SIGNAL
- INTAKE AIR TEMPERATURE circuit
- INTAKE AIR TEMPERATURE SENSOR
9 Vehicle Speed Sensor Signal
-NO SPD. SIGNAL FOR SEVERLA SECONDS WHILE VEHICLE IS OPERATED UNDER HEAVY LOAD
TPS/MAP/AIR FLOW INPUTS)
- SPEED SENSOR/circuit
10 Starter signal
11 Switch signal LOSS OF POWER SUPPLY TO ECM
-IGNITION SWITCH/circuit
-MAIN RELAY/circuit
12 Knock Control Sensor signal
STARTER SIGNAL
- NO "STA" SIGNAL TO ECM UNTIL ENGINE SPEED EXCEEDS 800 RPM
- IGNITION SWITCH/circuit
12 RPM signal (G22 for –FSE)
- NO SIGNAL TO ECM FROM DISTRIBUTOR ("Ne" OR "G") AFTER ENGINE HAS BEEN CRANKED
- DISTRIBUTOR/circuit
- STARTERSIGNAL circuit
-IGNITER/IGNITER circuit
12 Crankshaft position (CKP) sensor - circuit malfunction (3C-TE)
13 Knock Control CPU (ECM)
13 RPM signal (NE for –FSE)
SAME AS above but after ENGINE has RUN AT 1,000 - 1,500 RPM
-DISTRIBUTOR/DISTRIBUTOR circuit
13 Fuel injection pump position sensor – circuit malfunction (3C-TE)
14 Turbocharger Pressure
14 Ignition signal
- No "IG" or "IGF" ignition signal to ECM from ignitior several times in succession (IGT1, IGT4, IGF for –
FSE)
- NO "IGF" SIGNAL TO ECM
- IGNITER/IGNITER circuit
- IGNITER AND IGNITION COIL/circuit
14 (2C-TE) Timing control system malfunction
15 Ignition System (IGT2, IGT3, IGF for –FSE)
15 (1CD-FTV) Throttle motor - circuit malfunction
15 Throttle control circuit - malfunction
16 Faulity in transmission/transaxle ECM (Transmission control signal)
17 Engine control module (ECM) -malfunction
18 Fuel quantity adjuster -malfunction
MIL-code on Toyota / Lexus by al tech page (www.alflash.narod.ru/)
Note: Not all trouble codes are used on all models
2
19 Acceleration Pedal Position (AAP) Sensor/Switch circuit malfunction (VC, VPA, VPA2, E2 – for
FSE, 3C-TE)
21 Oxygen Sensor
OXYGEN SENSOR SIGNAL/OXYGEN SENSOR HEATER SIGNAL
- OPEN or SHORT IN OXYGEN SENSOR OR OXYGEN SENSOR SIGNAL и еще десяток причин...
22 Engine Coolant Temperature Sensor signal
- OPEN OR SHORT IN WATER TEMP. SENSOR SIGNAL
- WATER TEMPERATURE SENSOR circuit
- WATER TEMPERATURE SENSOR
23 Intake Air Temperature Sensor signal
- OPEN OR SHORT IN INTAKE AIR TEMP. SIGNAL
- INTAKE AIR TEMPERATURE circuit
- INTAKE AIR TEMPERATURE SENSOR
24 Intake Air Temperature Sensor signal
- OPEN OR SHORT IN INTAKE AIR TEMP. SIGNAL
- INTAKE AIR TEMPERATURE circuit
- INTAKE AIR TEMPERATURE SENSOR
25 Air-Fuel Ratio Lean
- LEAN SIGNAL SENT TO ECU FROM O2 SENSOR
- INJECTOR FAULT(S)
- FUEL PRESSURE
- OXYGEN SENSOR
- AIRFLOW METER OR MAP SENSOR
- IGNITION
26 Air-Fuel Ratio Rich
- SAME AS ABOVE
- COLD START INJECTOR
27 Sub Oxygen Sensor signal
- SUB OXYGEN SENSOR/HEATER circuit
28 No. 2 Oxygen Sensor signal
No.2 OXYGEN SENSOR/OXYGEN SENSOR HEATER
- SAME AS CODE 21
29 No. 2 Oxygen Sensor signal
31 Air Flow Meter signal or Vacuum Sensor signal circuit
- AIRFLOW METER/CIRCUIT
- MANIFOLD PRESSURE SENSOR (MAP) circuit
32 Air Flow Meter signal (VANE-TYPE)
- AIRFLOW METER/circuit
32 (Diesel) Malfunction Resistance Signal
32 (2C-TE) Module coding plug - malfunction
32 (1CD-FTV) Injector - malfunction
33 IAC Valve
- OPEN OR SHORT IN IDLE AIR CONTROL VALVE Signal CIRCUIT or IDLE AIR CONTROL VALVE or ECM
33 Intake manifold air control solenoid –malfunction (3C-TE)
34 Turbocharger Pressure signal
- ABNORMAL TURBOCHARGER PRESSURE
- TURBO CHARGER
- AIRFLOW METER/MANIFOLD/TURBOCHARGER PRESSURE Signal
- INTERCOOLER SYSTEM
35 Turbocharger Pressure Sensor
- TURBOCHARGER PRESSURE SENSOR (Gas.)
35 Manifold Absolute Pressure Sensor (Diesel, 3C-TE)
35 HAC Sensor signal
-OPEN CIRCUIT IN HIGH ALTITUDE COMPENSATOR Signal
36 *
36 Sensor Combustion Pressure (Toyota Part No. 89468-20020)...
39 (Avensis) Fuel temperature sensor - circuit
39 VVT-i Valve (p1656,p1345,p1349, OCV for -FSE)
39 Fuel temperature sensor - circuit malfunction (3C-TE)
41 Throttle Position Sensor signal
- OPEN OR SHORT IN TPS Signal
- TPS Sensor
- TPS Signal/circuit
42 Vehicle Speed Sensor signal
- NO SPD. Signal for SEVERLA SECONDS WHILE VEHICLE IS OPERATED UNDER HEAVY LOAD
(TPS/MAP/AIR FLOW INPUTS)
- SPEED Signal circuit
MIL-code on Toyota / Lexus by al tech page (www.alflash.narod.ru/)
Note: Not all trouble codes are used on all models
3
43 Starter signal
- NO "STA" Signal TO ECU until ENGINE SPEED exceeds 800 RPM
- IGNITION SWITCH/circuit
45 EGR System malfunction
- VSV EGR
- Temperature Sensor
47 Sub-Throttle Position Sensor
- Open or short circuit in Sub-Throttle position sensor signal
47 Throttle position (TP) sensor
48 Vacuum Switching Circuit of Air Sw. Valve or Air Pump (EAP) Malfunction
49 for D-4 System SFP (PR, VC, E2 for -FSE)
51 Switch signal
SWITCH Signal IDL (tps) CONTACTS OFF, NEUTRAL START SWITCH OFF, A/C SWITCH "ON" Signal TO ECM
WITH DIAGNOSTIC CHECK CONNECTOR SHORTED
- A/C SWITCH/circuit
- A/C AMPLIFIER
- TPS/CIRCUIT
- NEUTRAL START SWITCH/circuit
52 Knock Sensor signal
- OPEN OR SHORT IN KNOCK SENSOR Signal
- KNOCK SENSOR/circuit
53 Knock Control signal in ECM FAULTY or Engine control module (ECM) knock control – defective
(P1605)
54 Inter-cooler ECM signal
Intercooler coolant circulation capacity diminished (fail-safe operation: ignition timing program retarded by
2 degr.)
55 Knock Sensor signal
Open or short circuit in knock sensor signal (Chaser TRD with 2JZ-GTE)
56 Cooling Fan Pressure Sw.
58 SCVP, E2, SCV+, SCV (for –FSE)
59 VVT-i Valve - for FSE)
71 EGR System
EGR VALVE MALFUNCTION
- EXHAUST GAS TEMPEATURE BELOW SPEC. FOR EGR CONTROL
- EGR SYSTEM
- EGR GAS TEMPERATURE SENSOR circuit
72 Fuel Cut Solenoid signal
IGF SIGNAL IS DETECTED FOR 4 CONSECUTIVE IGNITIONS
72 A/C System (A/C Relay Open)
78 (Avensis) Fuel circuit - malfunction
78, 79 Fuel Pump Control signal (S+, E1 for FSE) (P1235
- Fuel Pump Control signal, P1200- Fuel Pump Relay/ECU Malfunction ?)
- Open or Short circuit in fuel Pump Control circuit or Fuel Pump Electronic Control Unit (ECU)
79 D-4
81 TCM Communication
- Open in ECT1 circuit between ECM & Transmission Control Module (TCM) for at Least 2 seconds
83 TCM Communication
- Open in ESA1 circuit between ECM & Transmission Control Module (TCM) for 1/2 second after engine
idles at least 1/2 second
84 TCM Communication
- Open in ESA2 circuit between ECM & Transmission Control Module (TCM) for 1/2 second after engine
idles at least 1/2 second
85 TCM Communication
- Open in ESA3 circuit between ECM & Transmission Control Module (TCM) for 1/2 second after engine
idles at least 1/2 second
89 (P1125, 1126, 1127, 1128) read a pulse ETCS-SNOW (Chaser TRD with 2JZ-GTE)
92 D-4 (p1210)
96 (p1600) Engine control module (ECM) -supply
97 D-4 (p1215) EDU Malfunction
97 (Avensis) Injector control module – circuit malfunction
98 D-4
99 (B2799) there is a trouble with immobilizer (for the OBDII-equiped Vechicle)
* for Lexus a 90-94. Abbrevations (Toyota and Lexus a 1990-2000), CPS - Crank Position Sensor...
Uko vizuri kiongozi ujumbe mzuri
 
Mkuu je sisi tusiokua na Toyota let say Nissan tunafanyaje?
mkuu kwa nissan ni ishu kidogo nissan ambazo zinapimafault code ni za zamani na hizi za sasa hivi nyingi ni mtihani kidogo process zake ni ngumu sana hata mm huwa najaribu na kupatia mara moja moja coz huwa zinaambatanisha vitendi vingi kama kuzima switch on baada ya sekund chache unaweka tena switch on sijui unakanyaga pedal ya accerelater.

lakini na wazo na tiba ya kudumu kwa wadau na watumiaji wote wa nissan ni swala la kuombeana uzima tuu na mda.kuna mambo nayaweka sawa hasa kifedha baada ya hapo nitaanza kwa wadau wa nissan kam 20 hivi.nishafanya majaribio kwenye gari mbili nimefanikiwa.
 
mkuu kwa nissan ni ishu kidogo nissan ambazo zinapimafault code ni za zamani na hizi za sasa hivi nyingi ni mtihani kidogo process zake ni ngumu sana hata mm huwa najaribu na kupatia mara moja moja coz huwa zinaambatanisha vitendi vingi kama kuzima switch on baada ya sekund chache unaweka tena switch on sijui unakanyaga pedal ya accerelater.

lakini na wazo na tiba ya kudumu kwa wadau na watumiaji wote wa nissan ni swala la kuombeana uzima tuu na mda.kuna mambo nayaweka sawa hasa kifedha baada ya hapo nitaanza kwa wadau wa nissan kam 20 hivi.nishafanya majaribio kwenye gari mbili nimefanikiwa.
Sawa mkuu, tunakusubiria kwa hamu, thanks kwa darasa
 
fundi ni fundi tu usijaribu kama huna uzoefu.
Hapana mkuu ni kitu rahisi sana mbona.ni kama kutumia mashine unaweza ukawa sio fundi na ukaweza kupima gari na ukafaham tatizo lake ni nini lkn ndio ukashindwa kutengeneza.

Mbona wenzetu wanatumia njia hizi na kurekebisha magari yao.

Sema wabongo huwa hatupendi kuelimishana kwa kuhofia kukosa au mtu akifaham kama unavyofaham ww atakuwa juu yako.
 
nimeleta huu uzi ili uweze kutatua matatizo madogo madogo ambayo unaweza kuyatatua kwenye gari yako pindi linapo leta hitilafu upande wa umeme na kuwasha taa za tahadhari kama taa ya CHECK ENGINE, ABS,O/D,VSV,TRS,SRS or AIRBAG n.k

hapa tutafahamishana na kusaidiana kuweza kuipima gari yako bila kutumia mashine diagnosis machiney na ukapata majibu sawa kabisa na ya uhakika.

nitajitahidi kuzungumzia mifumo yote ila hasa nitaanza na mifumo mikubwa mitatu na jinsi ya kutatua tatizo ambalo utalipata baada ya kuipima gari yako.

JINSI YA KUPIMA GARI YAKO.

hili linaweza kufanywa na mtu ambaye ni fundi au hata kama sio fudi pia inategemeana na akili ya mtu. gari za toyota zina socketi za aina 4 tofauti hizi zinatofautiana au zilikuwa zinatoka kufuatana na aina ya gari.
magari ya zamani kabisa yalikuwa yanatumia socket ya round.
ila kwa magari ya sasa yanatumia socket mbili ya obd 1 ambayo huwa inakuwa mbele kwenye bonet huwa na pin 22.

View attachment 522174
kimwonekano huwa inakuwa hivyo. ukiangalia kwenye hiyo picha kuna sehem nyingine hazina pin zipo empty huwa inategemeana na aina ya gari na niyamwaka gani kama gari ni ya miaka ya karibuni utaona hiyo socket pin karibia zote zina clips.

ukifunua huo mfuniko kwa juu utaona kuna vifupisho au herufi nyingi nyingi lakini herufi zinazotumika kwaajili ya kupimia au nitakazo zizungumzia hapa ni herufi kama 4 au 5 tuu katika soketi hii.

1=E1 hii ni erth au negative au graund

2=T1 hii pin itakuwezesha kupima matatizo ya engine/chek engine

3=TC hii pin itakuwezesha kupima matatizo ya ABS na mifumo shiriki ya abs.

4=TS hii pin itakuwezesha kupima matatizo ya SRS,AIRBAG.


View attachment 522176
mwonekano wa hiyo soketi kimpangilio wa hizo pin utaonekana hivyo.

SOKETI YA PIN 16 OBD 2.
hii soketi ipo kwenye magari yote ya kisasa ya sasa hivi au kuanzia mwaka 2000 kuja juu hata baadhi ya magari ya chini ya 2000 yanazo pia.
hii soketi huwa inakuwa ndani ya gari na huwa inakuwa upande wa dereva .mara nyingi huwa inakuwa karibu kabisa na sehem ya kufungulia bonet kwa njini au ndani .

images


mwonekano wa wa hiyo soketi ya pin 16 OBD 2.zingatia sana hizo namba.

images


images



katika hii soketi tutazungumzia pin kama 3 hivi . sasa hapa umakini kidogo unatakiwa maana usipokuwa makini utajikuta badala ya kutengeneza unaharibu zaidi.

images


4=CG chassis ground hii ni sawa sawa na E1 kwenye soketi ya pin 22.

5=SG hii ni signal ground ECM ground.au E2 mafundi watanielewa kwa urahisi.

12=hii pin itakuwezesha kupima matatizo ya SRS,AIRBAG

13=TC hii pini inakazi kubwa sana na nyingi itakuwezesha kupima matatizo karibia yote kwenye mifumo yote kama inashida ,hapa na maanisha abs,od,chek engine,TRS,VSC nakadharika.


HATUA ZA KUIPIMA GARI YAKO.

baada ya kuzifaham hizo soketi tuangalie sasa kwakutumia hizo soketi utawezaje kupima gari yako na kutambua ina shida gani au sababu iliyosababisha mpaka taa kuwaka na utawezaje kutatua tatizo lako .nazani nianze hasa na jinsi ya kupima taa ya check engine.

kama gari yako inatumia soketi ya pini 22 basi fanya hivi.zima gari yako iweke off kabisa.chukua kipande cha waya chomeka kwenye pin E1 na pin T1

angalia mfano kwenye picha hapa

images
maxresdefault.jpg


baada ya hapo ingia ndani ya gari na weka switch ON usiwashe gari.angalia taa ya chek engine utaona ina blink au inawaka kwa kukonyeza konyeza,au kwa lugha nyingine ina flush.sasa hapo kuwa makini kuhesabia ina blink mara ngapi na kutulia kidogo harafu inaendelea tena.nitakueleza baadae jinsi ya kuyasoma au yahesabu hayo mapigo ya check engine kuwaka na kuzima.

KUPIMA KWA SOKETI YA OBD 2 AU PIN 16

hapa pia zima gari yako kabisa iweke switch off harafu chukua kipande cha waya na chomeka kwenye pin number 4 CG na pin 13 TC.
baada ya hapo ingia ndani ya gari yako weka switch ON harafu angalia taa ya chek engine inavyo blink lakini hapa kutakuwa na utofauti kidogo sio taa ya check engine peke yake ndio ita blink utaona taa nying sana ziki blink kwa kuwa katika soketi hii pin hii ya TC inafanya kazi nyingi.au inachukua mawasiliano ya mifumo mingi sana .sasa wewe weka umakini wako kwenye taa husika tuu ili usichanganyikiwe.


JINSI YA KUSOMA FAULT CODE.
hapa tuangalie ni jinsi gani unaweza kusoma fault code au namna ya taa inavyowaka na kuzima na kuweza kupanda namba sahihi zitakazo kuwezesha kukujulisha kuwa gari yako ina shida gani au ni sensor ipi haifanyi kazi au imekufa.

no fault code gari kama itakuwa haina tatizo au hakuna shida iliyolipotiwa kwenye control box na kuhifadhiwa taa itawaka itawaka na kuzima bila kuwa na tofauti hapa na maana itawaka sekunde 0.5 na kuzima 0.5 tena itawaka 0.5 na kuzima 0.5 itaendelea hivyo bila kusimama.
hapa sio magari yote huwa kwa sekunde hiyo mengine huwa na pazi huhesabu taratibu main point kubwa hapo ni kuwa kusiwe na tofauti yoyote kati ya kuzima na kuwaka kuzima na kuwaka kama kutakuwa na tofauti ina maana hiyo ni fault code.

na fault code za toyota zote duniani zinaanzia namba 2 mpaka 99. hapo namba 1 sijaiandika kwa kuwa gari ikisoma namba moja ina maana haina tatizo.

usomaji wa fault code kuanzia namba 2 mpaka 9 unakuwa hivi.

mfano gari code namba 2 taa itawaka hivi.

ukiweka tuu switch on taa itawaka na kuzima harafu itawaka nakuzima tena. wewe hapo utakuwa unahesabu imewaka mara ngapi. na siku zote code kuanzia namba 2 mpaka 9 huwa inawaka na kuzima mfululizo.bila kuwa na tofauti ya mda kati ya muwako mmoja na mwingine.
code 5 itakuwa hivi on of on of on of on of on hapo itawaka mfululizo harafu itatulia kidogo itaanza tena kuwaka kama mwanzo ina maana hapo gari inarudia tena kuhesabu code husika.


code namba 10 mpaka 99

code 11 itawaka hivi on of on of on of on of on of on of.

hapo ina maana on of ni sawa na 1 on of ni moja nyingine kwahiyo inakuwa 11 itatulia kidogo na kurudia tena kuhesabu kama mwanzo.


code 15 itawaka hivi on of on of on of on of on of on of.

hapo ina maana on of ni 1 harafu itaweka pozi kidogo harafu itapiga on of on of on of on of on of hapo ina maana code 5. baada ya hapo itaweka pozi lefu zaidi na kuanza tena upya.

code 22 itawaka hivi on of on of on of on of.
kama mtakuwa mmenielewa hapo basi ngoja tuone gari yenye fault code zaidi ya moja.
itasomaje taa ya check engine.

mfano ina code 11,15 na 23 itasoma hivi,
on of on of on of on of on of on of on of on of on of on of on of on of on of ikamaliza hapo itarudi mwanzo kabisaa na itarendelea kurudia mpaka utakapo weka switch off au kuchomoa kipande cha waya.

ukisha weza kusoma fault code basi unakuwa umemaliza kazi ya kulipima gari lako.hizo namba unazozipata au hizo fault code huwa zinakuwa na maana yake kulingana na aina ya gari na huwa zinatofautiana kila gari au aina ya gari inategemeana gari inatumia engine gani.au nitoleo la mwaka gani.

TOYOTA FAULT CODE AND MEANING

hizi hapa chini ni fault code ambazo zipo na maana yake zina maana zaidi ya mbili kwa kwa kukidhi mahitaji ya gari aina zote.

Basic codes by flashing "Check Engine-light" ("MIL")
1 Normal Condition
2 Air Flow Meter signal
MANIFOLD AND/OR AIRFLOW METER SENSOR circuit
- AIRFLOW METER/circuit
- MANIFOLD PRESSURE SENSOR/circuit
3 Ignition signal
-NO "IGF" SIGNAL to ECM
-IGNITER/IGNITER CIRCUIT
-IGNITER AND IGNITION COIL/circuit
4 Engine Coolant Temperature Sensor signal
- OPEN or SHORT IN WATER TEMP. SENSOR
- WATER TEMPERATURE SENSOR circuit
- WATER TEMPERATURE SENSOR
5 Oxygen Sensor OXYGEN SENSOR SIGNAL/OXYGEN SENSOR HEATER Signal
OPEN OR SHORT IN OXYGEN SENSOR OR OXYGEN SENSOR Signal
6 RPM signal (Crank Angle Pulse) RPM Signal
- NO SIGNAL to ECU FROM DISTRIBUTOR ("Ne" or "G") AFTER ENGINE HAS BEEN CRANKED
- DISTRIBUTOR/circuit
- STARTERSIGNAL circuit
- IGNITER/IGNITER circuit
7 Throttle Position Sensor Signal
- OPEN or SHORT Signal
- TPS SENSOR
- TPS Signal/circuit
8 Intake Air Temperature Sensor Signal
- Open or short INTAKE AIR TEMP. SIGNAL
- INTAKE AIR TEMPERATURE circuit
- INTAKE AIR TEMPERATURE SENSOR
9 Vehicle Speed Sensor Signal
-NO SPD. SIGNAL FOR SEVERLA SECONDS WHILE VEHICLE IS OPERATED UNDER HEAVY LOAD
TPS/MAP/AIR FLOW INPUTS)
- SPEED SENSOR/circuit
10 Starter signal
11 Switch signal LOSS OF POWER SUPPLY TO ECM
-IGNITION SWITCH/circuit
-MAIN RELAY/circuit
12 Knock Control Sensor signal
STARTER SIGNAL
- NO "STA" SIGNAL TO ECM UNTIL ENGINE SPEED EXCEEDS 800 RPM
- IGNITION SWITCH/circuit
12 RPM signal (G22 for –FSE)
- NO SIGNAL TO ECM FROM DISTRIBUTOR ("Ne" OR "G") AFTER ENGINE HAS BEEN CRANKED
- DISTRIBUTOR/circuit
- STARTERSIGNAL circuit
-IGNITER/IGNITER circuit
12 Crankshaft position (CKP) sensor - circuit malfunction (3C-TE)
13 Knock Control CPU (ECM)
13 RPM signal (NE for –FSE)
SAME AS above but after ENGINE has RUN AT 1,000 - 1,500 RPM
-DISTRIBUTOR/DISTRIBUTOR circuit
13 Fuel injection pump position sensor – circuit malfunction (3C-TE)
14 Turbocharger Pressure
14 Ignition signal
- No "IG" or "IGF" ignition signal to ECM from ignitior several times in succession (IGT1, IGT4, IGF for –
FSE)
- NO "IGF" SIGNAL TO ECM
- IGNITER/IGNITER circuit
- IGNITER AND IGNITION COIL/circuit
14 (2C-TE) Timing control system malfunction
15 Ignition System (IGT2, IGT3, IGF for –FSE)
15 (1CD-FTV) Throttle motor - circuit malfunction
15 Throttle control circuit - malfunction
16 Faulity in transmission/transaxle ECM (Transmission control signal)
17 Engine control module (ECM) -malfunction
18 Fuel quantity adjuster -malfunction
MIL-code on Toyota / Lexus by al tech page (www.alflash.narod.ru/)
Note: Not all trouble codes are used on all models
2
19 Acceleration Pedal Position (AAP) Sensor/Switch circuit malfunction (VC, VPA, VPA2, E2 – for
FSE, 3C-TE)
21 Oxygen Sensor
OXYGEN SENSOR SIGNAL/OXYGEN SENSOR HEATER SIGNAL
- OPEN or SHORT IN OXYGEN SENSOR OR OXYGEN SENSOR SIGNAL и еще десяток причин...
22 Engine Coolant Temperature Sensor signal
- OPEN OR SHORT IN WATER TEMP. SENSOR SIGNAL
- WATER TEMPERATURE SENSOR circuit
- WATER TEMPERATURE SENSOR
23 Intake Air Temperature Sensor signal
- OPEN OR SHORT IN INTAKE AIR TEMP. SIGNAL
- INTAKE AIR TEMPERATURE circuit
- INTAKE AIR TEMPERATURE SENSOR
24 Intake Air Temperature Sensor signal
- OPEN OR SHORT IN INTAKE AIR TEMP. SIGNAL
- INTAKE AIR TEMPERATURE circuit
- INTAKE AIR TEMPERATURE SENSOR
25 Air-Fuel Ratio Lean
- LEAN SIGNAL SENT TO ECU FROM O2 SENSOR
- INJECTOR FAULT(S)
- FUEL PRESSURE
- OXYGEN SENSOR
- AIRFLOW METER OR MAP SENSOR
- IGNITION
26 Air-Fuel Ratio Rich
- SAME AS ABOVE
- COLD START INJECTOR
27 Sub Oxygen Sensor signal
- SUB OXYGEN SENSOR/HEATER circuit
28 No. 2 Oxygen Sensor signal
No.2 OXYGEN SENSOR/OXYGEN SENSOR HEATER
- SAME AS CODE 21
29 No. 2 Oxygen Sensor signal
31 Air Flow Meter signal or Vacuum Sensor signal circuit
- AIRFLOW METER/CIRCUIT
- MANIFOLD PRESSURE SENSOR (MAP) circuit
32 Air Flow Meter signal (VANE-TYPE)
- AIRFLOW METER/circuit
32 (Diesel) Malfunction Resistance Signal
32 (2C-TE) Module coding plug - malfunction
32 (1CD-FTV) Injector - malfunction
33 IAC Valve
- OPEN OR SHORT IN IDLE AIR CONTROL VALVE Signal CIRCUIT or IDLE AIR CONTROL VALVE or ECM
33 Intake manifold air control solenoid –malfunction (3C-TE)
34 Turbocharger Pressure signal
- ABNORMAL TURBOCHARGER PRESSURE
- TURBO CHARGER
- AIRFLOW METER/MANIFOLD/TURBOCHARGER PRESSURE Signal
- INTERCOOLER SYSTEM
35 Turbocharger Pressure Sensor
- TURBOCHARGER PRESSURE SENSOR (Gas.)
35 Manifold Absolute Pressure Sensor (Diesel, 3C-TE)
35 HAC Sensor signal
-OPEN CIRCUIT IN HIGH ALTITUDE COMPENSATOR Signal
36 *
36 Sensor Combustion Pressure (Toyota Part No. 89468-20020)...
39 (Avensis) Fuel temperature sensor - circuit
39 VVT-i Valve (p1656,p1345,p1349, OCV for -FSE)
39 Fuel temperature sensor - circuit malfunction (3C-TE)
41 Throttle Position Sensor signal
- OPEN OR SHORT IN TPS Signal
- TPS Sensor
- TPS Signal/circuit
42 Vehicle Speed Sensor signal
- NO SPD. Signal for SEVERLA SECONDS WHILE VEHICLE IS OPERATED UNDER HEAVY LOAD
(TPS/MAP/AIR FLOW INPUTS)
- SPEED Signal circuit
MIL-code on Toyota / Lexus by al tech page (www.alflash.narod.ru/)
Note: Not all trouble codes are used on all models
3
43 Starter signal
- NO "STA" Signal TO ECU until ENGINE SPEED exceeds 800 RPM
- IGNITION SWITCH/circuit
45 EGR System malfunction
- VSV EGR
- Temperature Sensor
47 Sub-Throttle Position Sensor
- Open or short circuit in Sub-Throttle position sensor signal
47 Throttle position (TP) sensor
48 Vacuum Switching Circuit of Air Sw. Valve or Air Pump (EAP) Malfunction
49 for D-4 System SFP (PR, VC, E2 for -FSE)
51 Switch signal
SWITCH Signal IDL (tps) CONTACTS OFF, NEUTRAL START SWITCH OFF, A/C SWITCH "ON" Signal TO ECM
WITH DIAGNOSTIC CHECK CONNECTOR SHORTED
- A/C SWITCH/circuit
- A/C AMPLIFIER
- TPS/CIRCUIT
- NEUTRAL START SWITCH/circuit
52 Knock Sensor signal
- OPEN OR SHORT IN KNOCK SENSOR Signal
- KNOCK SENSOR/circuit
53 Knock Control signal in ECM FAULTY or Engine control module (ECM) knock control – defective
(P1605)
54 Inter-cooler ECM signal
Intercooler coolant circulation capacity diminished (fail-safe operation: ignition timing program retarded by
2 degr.)
55 Knock Sensor signal
Open or short circuit in knock sensor signal (Chaser TRD with 2JZ-GTE)
56 Cooling Fan Pressure Sw.
58 SCVP, E2, SCV+, SCV (for –FSE)
59 VVT-i Valve - for FSE)
71 EGR System
EGR VALVE MALFUNCTION
- EXHAUST GAS TEMPEATURE BELOW SPEC. FOR EGR CONTROL
- EGR SYSTEM
- EGR GAS TEMPERATURE SENSOR circuit
72 Fuel Cut Solenoid signal
IGF SIGNAL IS DETECTED FOR 4 CONSECUTIVE IGNITIONS
72 A/C System (A/C Relay Open)
78 (Avensis) Fuel circuit - malfunction
78, 79 Fuel Pump Control signal (S+, E1 for FSE) (P1235
- Fuel Pump Control signal, P1200- Fuel Pump Relay/ECU Malfunction ?)
- Open or Short circuit in fuel Pump Control circuit or Fuel Pump Electronic Control Unit (ECU)
79 D-4
81 TCM Communication
- Open in ECT1 circuit between ECM & Transmission Control Module (TCM) for at Least 2 seconds
83 TCM Communication
- Open in ESA1 circuit between ECM & Transmission Control Module (TCM) for 1/2 second after engine
idles at least 1/2 second
84 TCM Communication
- Open in ESA2 circuit between ECM & Transmission Control Module (TCM) for 1/2 second after engine
idles at least 1/2 second
85 TCM Communication
- Open in ESA3 circuit between ECM & Transmission Control Module (TCM) for 1/2 second after engine
idles at least 1/2 second
89 (P1125, 1126, 1127, 1128) read a pulse ETCS-SNOW (Chaser TRD with 2JZ-GTE)
92 D-4 (p1210)
96 (p1600) Engine control module (ECM) -supply
97 D-4 (p1215) EDU Malfunction
97 (Avensis) Injector control module – circuit malfunction
98 D-4
99 (B2799) there is a trouble with immobilizer (for the OBDII-equiped Vechicle)
* for Lexus a 90-94. Abbrevations (Toyota and Lexus a 1990-2000), CPS - Crank Position Sensor.

mafundi na wadau wote ambao wanapenda magari au wanamiliki magari njooni hapa tujadili elimishana na kutatua matatizo ya magari yetu.haina haja ya kusumbuka kuanza kubahatisha katika kutengeneza gari yako unatumia garama kubwa kununua au kubadilisha vitu ambavyo sio vibovu njia hii ukiweza kuitumia itakusaidia sana kupunguza garama. huna haja ya kupima na mashine .kama upo mahali ambapo hakuna mashine tumia njia hii.

wadau wote ambao hamjaelewa ruksa kuuliza au kukosoa kwa lengo la kuelimishana na kuongezeana maalifa pia .haya nimeyaandika kwa uelewa wangu kama kuna mdau ana ya ziada zaidi anaweza ongezea pia.

huu uzi nitakuwa naendelea kuuongezea kila nipatapo mda sito anzisha uzi mwingine matatizo yote ya toyota upande wa umeme yata tatuliwa hapa.

nimegusia kidogo sana kwenye mfumo wa chek engine nitakuja pia kuelezea sensor moja moja kazi yake na hasara zake ikiwa haifanyi kazi kama fault code zinavyo soma hapo juu.

pia nitagusia mifumo yote jinsi ya kupima na kujua tatizo pindi taa za kwenye dash board zinapo waka.



itaendelea

Uko vizuri kiongozi ujumbe mzuri
 
nimeleta huu uzi ili uweze kutatua matatizo madogo madogo ambayo unaweza kuyatatua kwenye gari yako pindi linapo leta hitilafu upande wa umeme na kuwasha taa za tahadhari kama taa ya CHECK ENGINE, ABS,O/D,VSV,TRS,SRS or AIRBAG n.k

hapa tutafahamishana na kusaidiana kuweza kuipima gari yako bila kutumia mashine diagnosis machiney na ukapata majibu sawa kabisa na ya uhakika.

nitajitahidi kuzungumzia mifumo yote ila hasa nitaanza na mifumo mikubwa mitatu na jinsi ya kutatua tatizo ambalo utalipata baada ya kuipima gari yako.

JINSI YA KUPIMA GARI YAKO.

hili linaweza kufanywa na mtu ambaye ni fundi au hata kama sio fudi pia inategemeana na akili ya mtu. gari za toyota zina socketi za aina 4 tofauti hizi zinatofautiana au zilikuwa zinatoka kufuatana na aina ya gari.
magari ya zamani kabisa yalikuwa yanatumia socket ya round.
ila kwa magari ya sasa yanatumia socket mbili ya obd 1 ambayo huwa inakuwa mbele kwenye bonet huwa na pin 22.

View attachment 522174
kimwonekano huwa inakuwa hivyo. ukiangalia kwenye hiyo picha kuna sehem nyingine hazina pin zipo empty huwa inategemeana na aina ya gari na niyamwaka gani kama gari ni ya miaka ya karibuni utaona hiyo socket pin karibia zote zina clips.

ukifunua huo mfuniko kwa juu utaona kuna vifupisho au herufi nyingi nyingi lakini herufi zinazotumika kwaajili ya kupimia au nitakazo zizungumzia hapa ni herufi kama 4 au 5 tuu katika soketi hii.

1=E1 hii ni erth au negative au graund

2=T1 hii pin itakuwezesha kupima matatizo ya engine/chek engine

3=TC hii pin itakuwezesha kupima matatizo ya ABS na mifumo shiriki ya abs.

4=TS hii pin itakuwezesha kupima matatizo ya SRS,AIRBAG.


View attachment 522176
mwonekano wa hiyo soketi kimpangilio wa hizo pin utaonekana hivyo.

SOKETI YA PIN 16 OBD 2.
hii soketi ipo kwenye magari yote ya kisasa ya sasa hivi au kuanzia mwaka 2000 kuja juu hata baadhi ya magari ya chini ya 2000 yanazo pia.
hii soketi huwa inakuwa ndani ya gari na huwa inakuwa upande wa dereva .mara nyingi huwa inakuwa karibu kabisa na sehem ya kufungulia bonet kwa njini au ndani .

images


mwonekano wa wa hiyo soketi ya pin 16 OBD 2.zingatia sana hizo namba.

images


images



katika hii soketi tutazungumzia pin kama 3 hivi . sasa hapa umakini kidogo unatakiwa maana usipokuwa makini utajikuta badala ya kutengeneza unaharibu zaidi.

images


4=CG chassis ground hii ni sawa sawa na E1 kwenye soketi ya pin 22.

5=SG hii ni signal ground ECM ground.au E2 mafundi watanielewa kwa urahisi.

12=hii pin itakuwezesha kupima matatizo ya SRS,AIRBAG

13=TC hii pini inakazi kubwa sana na nyingi itakuwezesha kupima matatizo karibia yote kwenye mifumo yote kama inashida ,hapa na maanisha abs,od,chek engine,TRS,VSC nakadharika.


HATUA ZA KUIPIMA GARI YAKO.

baada ya kuzifaham hizo soketi tuangalie sasa kwakutumia hizo soketi utawezaje kupima gari yako na kutambua ina shida gani au sababu iliyosababisha mpaka taa kuwaka na utawezaje kutatua tatizo lako .nazani nianze hasa na jinsi ya kupima taa ya check engine.

kama gari yako inatumia soketi ya pini 22 basi fanya hivi.zima gari yako iweke off kabisa.chukua kipande cha waya chomeka kwenye pin E1 na pin T1

angalia mfano kwenye picha hapa

images
maxresdefault.jpg


baada ya hapo ingia ndani ya gari na weka switch ON usiwashe gari.angalia taa ya chek engine utaona ina blink au inawaka kwa kukonyeza konyeza,au kwa lugha nyingine ina flush.sasa hapo kuwa makini kuhesabia ina blink mara ngapi na kutulia kidogo harafu inaendelea tena.nitakueleza baadae jinsi ya kuyasoma au yahesabu hayo mapigo ya check engine kuwaka na kuzima.

KUPIMA KWA SOKETI YA OBD 2 AU PIN 16

hapa pia zima gari yako kabisa iweke switch off harafu chukua kipande cha waya na chomeka kwenye pin number 4 CG na pin 13 TC.
baada ya hapo ingia ndani ya gari yako weka switch ON harafu angalia taa ya chek engine inavyo blink lakini hapa kutakuwa na utofauti kidogo sio taa ya check engine peke yake ndio ita blink utaona taa nying sana ziki blink kwa kuwa katika soketi hii pin hii ya TC inafanya kazi nyingi.au inachukua mawasiliano ya mifumo mingi sana .sasa wewe weka umakini wako kwenye taa husika tuu ili usichanganyikiwe.


JINSI YA KUSOMA FAULT CODE.
hapa tuangalie ni jinsi gani unaweza kusoma fault code au namna ya taa inavyowaka na kuzima na kuweza kupanda namba sahihi zitakazo kuwezesha kukujulisha kuwa gari yako ina shida gani au ni sensor ipi haifanyi kazi au imekufa.

no fault code gari kama itakuwa haina tatizo au hakuna shida iliyolipotiwa kwenye control box na kuhifadhiwa taa itawaka itawaka na kuzima bila kuwa na tofauti hapa na maana itawaka sekunde 0.5 na kuzima 0.5 tena itawaka 0.5 na kuzima 0.5 itaendelea hivyo bila kusimama.
hapa sio magari yote huwa kwa sekunde hiyo mengine huwa na pazi huhesabu taratibu main point kubwa hapo ni kuwa kusiwe na tofauti yoyote kati ya kuzima na kuwaka kuzima na kuwaka kama kutakuwa na tofauti ina maana hiyo ni fault code.

na fault code za toyota zote duniani zinaanzia namba 2 mpaka 99. hapo namba 1 sijaiandika kwa kuwa gari ikisoma namba moja ina maana haina tatizo.

usomaji wa fault code kuanzia namba 2 mpaka 9 unakuwa hivi.

mfano gari code namba 2 taa itawaka hivi.

ukiweka tuu switch on taa itawaka na kuzima harafu itawaka nakuzima tena. wewe hapo utakuwa unahesabu imewaka mara ngapi. na siku zote code kuanzia namba 2 mpaka 9 huwa inawaka na kuzima mfululizo.bila kuwa na tofauti ya mda kati ya muwako mmoja na mwingine.
code 5 itakuwa hivi on of on of on of on of on hapo itawaka mfululizo harafu itatulia kidogo itaanza tena kuwaka kama mwanzo ina maana hapo gari inarudia tena kuhesabu code husika.


code namba 10 mpaka 99

code 11 itawaka hivi on of on of on of on of on of on of.

hapo ina maana on of ni sawa na 1 on of ni moja nyingine kwahiyo inakuwa 11 itatulia kidogo na kurudia tena kuhesabu kama mwanzo.


code 15 itawaka hivi on of on of on of on of on of on of.

hapo ina maana on of ni 1 harafu itaweka pozi kidogo harafu itapiga on of on of on of on of on of hapo ina maana code 5. baada ya hapo itaweka pozi lefu zaidi na kuanza tena upya.

code 22 itawaka hivi on of on of on of on of.
kama mtakuwa mmenielewa hapo basi ngoja tuone gari yenye fault code zaidi ya moja.
itasomaje taa ya check engine.

mfano ina code 11,15 na 23 itasoma hivi,
on of on of on of on of on of on of on of on of on of on of on of on of on of ikamaliza hapo itarudi mwanzo kabisaa na itarendelea kurudia mpaka utakapo weka switch off au kuchomoa kipande cha waya.

ukisha weza kusoma fault code basi unakuwa umemaliza kazi ya kulipima gari lako.hizo namba unazozipata au hizo fault code huwa zinakuwa na maana yake kulingana na aina ya gari na huwa zinatofautiana kila gari au aina ya gari inategemeana gari inatumia engine gani.au nitoleo la mwaka gani.

TOYOTA FAULT CODE AND MEANING

hizi hapa chini ni fault code ambazo zipo na maana yake zina maana zaidi ya mbili kwa kwa kukidhi mahitaji ya gari aina zote.

Basic codes by flashing "Check Engine-light" ("MIL")
1 Normal Condition
2 Air Flow Meter signal
MANIFOLD AND/OR AIRFLOW METER SENSOR circuit
- AIRFLOW METER/circuit
- MANIFOLD PRESSURE SENSOR/circuit
3 Ignition signal
-NO "IGF" SIGNAL to ECM
-IGNITER/IGNITER CIRCUIT
-IGNITER AND IGNITION COIL/circuit
4 Engine Coolant Temperature Sensor signal
- OPEN or SHORT IN WATER TEMP. SENSOR
- WATER TEMPERATURE SENSOR circuit
- WATER TEMPERATURE SENSOR
5 Oxygen Sensor OXYGEN SENSOR SIGNAL/OXYGEN SENSOR HEATER Signal
OPEN OR SHORT IN OXYGEN SENSOR OR OXYGEN SENSOR Signal
6 RPM signal (Crank Angle Pulse) RPM Signal
- NO SIGNAL to ECU FROM DISTRIBUTOR ("Ne" or "G") AFTER ENGINE HAS BEEN CRANKED
- DISTRIBUTOR/circuit
- STARTERSIGNAL circuit
- IGNITER/IGNITER circuit
7 Throttle Position Sensor Signal
- OPEN or SHORT Signal
- TPS SENSOR
- TPS Signal/circuit
8 Intake Air Temperature Sensor Signal
- Open or short INTAKE AIR TEMP. SIGNAL
- INTAKE AIR TEMPERATURE circuit
- INTAKE AIR TEMPERATURE SENSOR
9 Vehicle Speed Sensor Signal
-NO SPD. SIGNAL FOR SEVERLA SECONDS WHILE VEHICLE IS OPERATED UNDER HEAVY LOAD
TPS/MAP/AIR FLOW INPUTS)
- SPEED SENSOR/circuit
10 Starter signal
11 Switch signal LOSS OF POWER SUPPLY TO ECM
-IGNITION SWITCH/circuit
-MAIN RELAY/circuit
12 Knock Control Sensor signal
STARTER SIGNAL
- NO "STA" SIGNAL TO ECM UNTIL ENGINE SPEED EXCEEDS 800 RPM
- IGNITION SWITCH/circuit
12 RPM signal (G22 for –FSE)
- NO SIGNAL TO ECM FROM DISTRIBUTOR ("Ne" OR "G") AFTER ENGINE HAS BEEN CRANKED
- DISTRIBUTOR/circuit
- STARTERSIGNAL circuit
-IGNITER/IGNITER circuit
12 Crankshaft position (CKP) sensor - circuit malfunction (3C-TE)
13 Knock Control CPU (ECM)
13 RPM signal (NE for –FSE)
SAME AS above but after ENGINE has RUN AT 1,000 - 1,500 RPM
-DISTRIBUTOR/DISTRIBUTOR circuit
13 Fuel injection pump position sensor – circuit malfunction (3C-TE)
14 Turbocharger Pressure
14 Ignition signal
- No "IG" or "IGF" ignition signal to ECM from ignitior several times in succession (IGT1, IGT4, IGF for –
FSE)
- NO "IGF" SIGNAL TO ECM
- IGNITER/IGNITER circuit
- IGNITER AND IGNITION COIL/circuit
14 (2C-TE) Timing control system malfunction
15 Ignition System (IGT2, IGT3, IGF for –FSE)
15 (1CD-FTV) Throttle motor - circuit malfunction
15 Throttle control circuit - malfunction
16 Faulity in transmission/transaxle ECM (Transmission control signal)
17 Engine control module (ECM) -malfunction
18 Fuel quantity adjuster -malfunction
MIL-code on Toyota / Lexus by al tech page (www.alflash.narod.ru/)
Note: Not all trouble codes are used on all models
2
19 Acceleration Pedal Position (AAP) Sensor/Switch circuit malfunction (VC, VPA, VPA2, E2 – for
FSE, 3C-TE)
21 Oxygen Sensor
OXYGEN SENSOR SIGNAL/OXYGEN SENSOR HEATER SIGNAL
- OPEN or SHORT IN OXYGEN SENSOR OR OXYGEN SENSOR SIGNAL и еще десяток причин...
22 Engine Coolant Temperature Sensor signal
- OPEN OR SHORT IN WATER TEMP. SENSOR SIGNAL
- WATER TEMPERATURE SENSOR circuit
- WATER TEMPERATURE SENSOR
23 Intake Air Temperature Sensor signal
- OPEN OR SHORT IN INTAKE AIR TEMP. SIGNAL
- INTAKE AIR TEMPERATURE circuit
- INTAKE AIR TEMPERATURE SENSOR
24 Intake Air Temperature Sensor signal
- OPEN OR SHORT IN INTAKE AIR TEMP. SIGNAL
- INTAKE AIR TEMPERATURE circuit
- INTAKE AIR TEMPERATURE SENSOR
25 Air-Fuel Ratio Lean
- LEAN SIGNAL SENT TO ECU FROM O2 SENSOR
- INJECTOR FAULT(S)
- FUEL PRESSURE
- OXYGEN SENSOR
- AIRFLOW METER OR MAP SENSOR
- IGNITION
26 Air-Fuel Ratio Rich
- SAME AS ABOVE
- COLD START INJECTOR
27 Sub Oxygen Sensor signal
- SUB OXYGEN SENSOR/HEATER circuit
28 No. 2 Oxygen Sensor signal
No.2 OXYGEN SENSOR/OXYGEN SENSOR HEATER
- SAME AS CODE 21
29 No. 2 Oxygen Sensor signal
31 Air Flow Meter signal or Vacuum Sensor signal circuit
- AIRFLOW METER/CIRCUIT
- MANIFOLD PRESSURE SENSOR (MAP) circuit
32 Air Flow Meter signal (VANE-TYPE)
- AIRFLOW METER/circuit
32 (Diesel) Malfunction Resistance Signal
32 (2C-TE) Module coding plug - malfunction
32 (1CD-FTV) Injector - malfunction
33 IAC Valve
- OPEN OR SHORT IN IDLE AIR CONTROL VALVE Signal CIRCUIT or IDLE AIR CONTROL VALVE or ECM
33 Intake manifold air control solenoid –malfunction (3C-TE)
34 Turbocharger Pressure signal
- ABNORMAL TURBOCHARGER PRESSURE
- TURBO CHARGER
- AIRFLOW METER/MANIFOLD/TURBOCHARGER PRESSURE Signal
- INTERCOOLER SYSTEM
35 Turbocharger Pressure Sensor
- TURBOCHARGER PRESSURE SENSOR (Gas.)
35 Manifold Absolute Pressure Sensor (Diesel, 3C-TE)
35 HAC Sensor signal
-OPEN CIRCUIT IN HIGH ALTITUDE COMPENSATOR Signal
36 *
36 Sensor Combustion Pressure (Toyota Part No. 89468-20020)...
39 (Avensis) Fuel temperature sensor - circuit
39 VVT-i Valve (p1656,p1345,p1349, OCV for -FSE)
39 Fuel temperature sensor - circuit malfunction (3C-TE)
41 Throttle Position Sensor signal
- OPEN OR SHORT IN TPS Signal
- TPS Sensor
- TPS Signal/circuit
42 Vehicle Speed Sensor signal
- NO SPD. Signal for SEVERLA SECONDS WHILE VEHICLE IS OPERATED UNDER HEAVY LOAD
(TPS/MAP/AIR FLOW INPUTS)
- SPEED Signal circuit
MIL-code on Toyota / Lexus by al tech page (www.alflash.narod.ru/)
Note: Not all trouble codes are used on all models
3
43 Starter signal
- NO "STA" Signal TO ECU until ENGINE SPEED exceeds 800 RPM
- IGNITION SWITCH/circuit
45 EGR System malfunction
- VSV EGR
- Temperature Sensor
47 Sub-Throttle Position Sensor
- Open or short circuit in Sub-Throttle position sensor signal
47 Throttle position (TP) sensor
48 Vacuum Switching Circuit of Air Sw. Valve or Air Pump (EAP) Malfunction
49 for D-4 System SFP (PR, VC, E2 for -FSE)
51 Switch signal
SWITCH Signal IDL (tps) CONTACTS OFF, NEUTRAL START SWITCH OFF, A/C SWITCH "ON" Signal TO ECM
WITH DIAGNOSTIC CHECK CONNECTOR SHORTED
- A/C SWITCH/circuit
- A/C AMPLIFIER
- TPS/CIRCUIT
- NEUTRAL START SWITCH/circuit
52 Knock Sensor signal
- OPEN OR SHORT IN KNOCK SENSOR Signal
- KNOCK SENSOR/circuit
53 Knock Control signal in ECM FAULTY or Engine control module (ECM) knock control – defective
(P1605)
54 Inter-cooler ECM signal
Intercooler coolant circulation capacity diminished (fail-safe operation: ignition timing program retarded by
2 degr.)
55 Knock Sensor signal
Open or short circuit in knock sensor signal (Chaser TRD with 2JZ-GTE)
56 Cooling Fan Pressure Sw.
58 SCVP, E2, SCV+, SCV (for –FSE)
59 VVT-i Valve - for FSE)
71 EGR System
EGR VALVE MALFUNCTION
- EXHAUST GAS TEMPEATURE BELOW SPEC. FOR EGR CONTROL
- EGR SYSTEM
- EGR GAS TEMPERATURE SENSOR circuit
72 Fuel Cut Solenoid signal
IGF SIGNAL IS DETECTED FOR 4 CONSECUTIVE IGNITIONS
72 A/C System (A/C Relay Open)
78 (Avensis) Fuel circuit - malfunction
78, 79 Fuel Pump Control signal (S+, E1 for FSE) (P1235
- Fuel Pump Control signal, P1200- Fuel Pump Relay/ECU Malfunction ?)
- Open or Short circuit in fuel Pump Control circuit or Fuel Pump Electronic Control Unit (ECU)
79 D-4
81 TCM Communication
- Open in ECT1 circuit between ECM & Transmission Control Module (TCM) for at Least 2 seconds
83 TCM Communication
- Open in ESA1 circuit between ECM & Transmission Control Module (TCM) for 1/2 second after engine
idles at least 1/2 second
84 TCM Communication
- Open in ESA2 circuit between ECM & Transmission Control Module (TCM) for 1/2 second after engine
idles at least 1/2 second
85 TCM Communication
- Open in ESA3 circuit between ECM & Transmission Control Module (TCM) for 1/2 second after engine
idles at least 1/2 second
89 (P1125, 1126, 1127, 1128) read a pulse ETCS-SNOW (Chaser TRD with 2JZ-GTE)
92 D-4 (p1210)
96 (p1600) Engine control module (ECM) -supply
97 D-4 (p1215) EDU Malfunction
97 (Avensis) Injector control module – circuit malfunction
98 D-4
99 (B2799) there is a trouble with immobilizer (for the OBDII-equiped Vechicle)
* for Lexus a 90-94. Abbrevations (Toyota and Lexus a 1990-2000), CPS - Crank Position Sensor.

mafundi na wadau wote ambao wanapenda magari au wanamiliki magari njooni hapa tujadili elimishana na kutatua matatizo ya magari yetu.haina haja ya kusumbuka kuanza kubahatisha katika kutengeneza gari yako unatumia garama kubwa kununua au kubadilisha vitu ambavyo sio vibovu njia hii ukiweza kuitumia itakusaidia sana kupunguza garama. huna haja ya kupima na mashine .kama upo mahali ambapo hakuna mashine tumia njia hii.

wadau wote ambao hamjaelewa ruksa kuuliza au kukosoa kwa lengo la kuelimishana na kuongezeana maalifa pia .haya nimeyaandika kwa uelewa wangu kama kuna mdau ana ya ziada zaidi anaweza ongezea pia.

huu uzi nitakuwa naendelea kuuongezea kila nipatapo mda sito anzisha uzi mwingine matatizo yote ya toyota upande wa umeme yata tatuliwa hapa.

nimegusia kidogo sana kwenye mfumo wa chek engine nitakuja pia kuelezea sensor moja moja kazi yake na hasara zake ikiwa haifanyi kazi kama fault code zinavyo soma hapo juu.

pia nitagusia mifumo yote jinsi ya kupima na kujua tatizo pindi taa za kwenye dash board zinapo waka.



itaendelea

Mkuu nina-RAV4 inayoonyesha signal ifuatayo, mafundi wamerekebisha ila bado inaendelea kuwaka tu! Nishauri nifanyaje mkuu;

upload_2017-6-12_17-11-11.jpeg
 
Ukisema rav 4 peke yake mm nitashindwa kukusaidia ww nambie rav r model gani old au new.ina engine gani? Na hao mafundi walikuwa wanarekebisha nini na kipi kiliwashinda au walikwambia shida ni nini?

Kama utaweza ipime kwanda fault code then baada ya hapo mm ndio nitakishauri vizuri zaidi bila kufanya lamli.

Au kama utashindwa kuzisoma hizo code chomeka waya kama nilivyokuelekeza then record then nitumie video
Mkuu nina-RAV4 inayoonyesha signal ifuatayo, mafundi wamerekebisha ila bado inaendelea kuwaka tu! Nishauri nifanyaje mkuu;

View attachment 522818
 
Au kama.upo dar njoo mwenge nitakupimia bulee.lkn matengenezo au kama itahitajika spea ndio utagalamia
Ukisema rav 4 peke yake mm nitashindwa kukusaidia ww nambie rav r model gani old au new.ina engine gani? Na hao mafundi walikuwa wanarekebisha nini na kipi kiliwashinda au walikwambia shida ni nini?

Kama utaweza ipime kwanda fault code then baada ya hapo mm ndio nitakishauri vizuri zaidi bila kufanya lamli.

Au kama utashindwa kuzisoma hizo code chomeka waya kama nilivyokuelekeza then record then nitumie video
 
fundi ni fundi tu usijaribu kama huna uzoefu.
Ha ha ha ha kuna fundi moja alikuwa ana nipa story,kuna jamaaa alikuwa hana uelewa wa ufundi wa magari ana miliki Nissan Patrol sasa gar ilikuwa imekata charge ikawa haipigi.sasa kila akijitahid kuwasha betr down jamaa akachukua waya akataka aunganishe kwenye main switch ya nyumba afunge nyay za (+ na -) kisha aziunge na kwenye betri ya gari yake kisha awashe maan alilikuwa anaona watu wakifanya kwenye magari pindi betri ikiwa chini uzur kabla aja chukua maamuz kufunga gari akampigia simu fundi kumuelezea alichofanya...wehee fundi aka mwambia hiyo kitu acha utakuwa majivu muda sio mrefu subir nakuletea betr nilicheka sana haswa nilivyo ona coment ako fundi ni fund nika mkumbuka jamaaa
 
Back
Top Bottom