mukaruka mzee
JF-Expert Member
- Jan 22, 2020
- 970
- 483
This is self-defeatism! Unasema "ni lazima" yawepo makosa aidha ya kiuandishi au ya kimatamshi? Huu ni upotoshaji wa lugha aidha yako ya asili au ya kigeni! Ukishindwa kuandika kwa ufasaha kwa lugha yoyote ile, maana yake ni kwamba HUIJUI LUGHA HIYO, la kufanya ni kwenda kuijifunza hiyo lugha kisha uandike ili watu waelewe unawasilisha nini. Ukianza kuandika UPUUZI na tusipoelewa, hatutakusamehe eti kwa sababu "hakuna asiyekosea". Hapana, andikeni tuwaelewe, hata kama ni in YOUR MOTHER'S TOUNGUE. Wewe andika tu. Wanaoielewa wataelewa na kuitafsiri, kama ni lazima sana na kama ni muhimu.Common errors on wirtten /spoken language pronunciations'!!! (lazima!! nasema lazima!!) ziwepo Kwa Lugha iwayo yeyote ile Duniani na kwa mtu yeyote yule!! mahali popote! Duniani hata kwa wazawa kindaki ndaki!! Waingereza na wagiriki woote wenye Lugha yao!! ni Maarufu km ''Common Mistake subjects''
Hili lilikuwa ni somo maalum lenye mtaala uliokubalika kabisa ufundishwe mashuleni! na Wizara yet Mama, wengine siyo makosa yenu, Ni either hamkusoma kabisa au hamkufundishwa au mlizembea au shule za st, kayumba UPE walikuwa weengi!! au yoote hayo yana wahusu!!
Hata waswahili humu JF, kwa Lugha yenu Mama!!, nina ona wana makosa mengi sana kiuandishi!! hata mimi huwa nakosea sana tu lkn nagundua baadaye sana, ila kwa sababu nilisoma ''common Mistake subjects'' nikaelewa, hili somo hainipi shida kwa hadhira,
Nikigundua pale hivi! pale vile! lkn sasa imesha toka siwezi irudisha! hii ni inakuwa zaidi kwa wale wepesi wa ku type! kidaktari watu wenye akili km hizi nyepesi wanaitwa kitaamu ''Precarioscient'' mawazo yao huenda kwa kasi sana. hilo ni somo jingine!! kwa siku nyengine!!
Kama hii imekupa shida kuielewa basi u miongoni mwao hao!! una jina lako kitaalamu waandishi wa habari wanajua.... so wewe umeathiliwa na mchangia mada wa kwanza kabisa kumsoma!! amekuambukiza kisaikolojia zaidi!!