Waziri wa Kaskazini
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 6,968
- 14,714
Ila siyo ya hivyo.Jombaa unajuaa maana halisi ya wanaume tumeumbwa mateso?
Tatizo sio kuhonga bali baadhi ya wanaume wanazidishaaa nafkiri ni ile dhana ya kudhani mwanamke utammiliki kupitia fedha wakati hata kipaji chako tu ni silaha tosha ya kumiliki mrembo wa mkoa
Unazungumzia kipaji kipi boss.Tatizo sio kuhonga bali baadhi ya wanaume wanazidishaaa nafkiri ni ile dhana ya kudhani mwanamke utammiliki kupitia fedha wakati hata kipaji chako tu ni silaha tosha ya kumiliki mrembo wa mkoa
Nlitoa mfano tu mkuuUnazungumzia kipaji kipi boss.
Wanawake wanaangalia na aina ya kipaji mkuu, kipaji kama cha huyo jamaa amepiga kazi amechoka had usingizi hapo sizan wanawake wa chache sana wa kumwelewa jamaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Daah hayo mateso yamevuka mipaka sasa ... ndio namna hiyo !?Jombaa unajuaa maana halisi ya wanaume tumeumbwa mateso?