All good men are married, so sad

Unawaona smart kwa sababu wake zao wanahakikisha wanakuw hivyo, na ww tafuta wako mtengeneze! Ndio maana ukishaoa watoto ndio wanakuja kwa fujo zaidi
 
salaam.

Ama kweli wanaume smart wanao jitambua wanaojua thamani ya mwanamke, wote wameoa. inasikitisha sana.

Hivi inawezekana vipi kila mwanaume anae onesha interest kwangu nikamuelewa nikija kumcheki kidoleni nakutana na pete? hivi ni mimi tu au na wanawake wengine wanakutana na changamoto hii?

Wakuu, sio kwamba wanaume waoaji hawapo, wapo tena wengi sana tatizo ni je huyo anaekuja moyo umempenda? mtu wa kuishi nae lazima moyo umpende.

Je ina maana wakaka ambao hamjaoa ni kweli kwamba hamna sifa kama za hawa married men? kweli hampo?
Nimekuja hapa kusema la moyoni na si kwamba huku ninapoishi hakuna wanaume, wanaume wapo ila wengi wao wameoa, ambao hawajaoa unakuta moyo haujampenda.

Umri umeenda ninahitaji kuwa na familiya ambayo nitakuwa huru nayo bila lawama. Niwe wazi kuna mtu yupo tiyari kwenda kwetu hata leo tatizo ni mme wa mtu. ana kila sifa ya mwanaume ninaemtaka lakini tatizo ndo hilo. Sijaingia mahusiano nae kwa sababu zifuatazo:,

1: Nitamwambia nini mama?
2: Namuogopa Mungu,
3: Familiya yake wakijua nitafanyaje mimi?
4: Nitakosa raha ya kuwa nae huru, nitakosa raha ya kuwa karibu na ukweni ( mbaya sana)
5: Nitalaumiwa na jamii etc

Hivyo basi nikaona siwezi hiki kiwanja chenye mgogoro, I deserve to have my own family:

Wewe mwanaume,
1) umri 37-45
2) mkristo mcha Mungu ukiwa RC itapendeza
3) Mchapa kazi haswaaa, mtafutaji kama mimi ( staki mwanaume anaelialia yeye kila siku hana hela lawama haziishi huyu hapana)
4) Anajipenda na anapenda kuishi maisha safi
5) mrefu
6)caring person, etc

Kama una hizo sifa njoo pm.
hakuna mtu asiependa vitu vizuri, hakuna asiependa mafanikio, ndo maana nimekuja hapa maybe nikakutana na mtu ambae tunaendana.

Kuhusu mimi,
1: age 35 ndo maana natafuta mzee mwenzangu.
2) sina mtoto, sijawahi kuolewa ila mwanaume huyo akiwa na mtoto mmoja na hana mgogoro na mzazi mwenzie mtamlea coz I like kids.
3) Elimu chuo kikuu
4) Kazi ninayo
5) kinywaji situmii
6) Rangi , rangi safi ya kati situmii mikorogo
7) Dini RC
8) mchapa kazi haswaa with brain.

Mume wangu nimechoka kukusubiri, nimekufuata huku nisije angukie mikononi mwa mme wa mtu. tho ana kila kitu ninachokitaka lakini nikikumbuka mme wa mtu sumu nalia, usichelewe plz nina muda mchache wa kufanya maamuzi.

GOD BE WITH YOU.
Mungu mwenyewe, aliyempigania Daniel kwenye shimo la Simba akupatie hitaji la moyo wako.

Amen.
 
salaam.

Ama kweli wanaume smart wanao jitambua wanaojua thamani ya mwanamke, wote wameoa. inasikitisha sana.

Hivi inawezekana vipi kila mwanaume anae onesha interest kwangu nikamuelewa nikija kumcheki kidoleni nakutana na pete? hivi ni mimi tu au na wanawake wengine wanakutana na changamoto hii?

Wakuu, sio kwamba wanaume waoaji hawapo, wapo tena wengi sana tatizo ni je huyo anaekuja moyo umempenda? mtu wa kuishi nae lazima moyo umpende.

Je ina maana wakaka ambao hamjaoa ni kweli kwamba hamna sifa kama za hawa married men? kweli hampo?
Nimekuja hapa kusema la moyoni na si kwamba huku ninapoishi hakuna wanaume, wanaume wapo ila wengi wao wameoa, ambao hawajaoa unakuta moyo haujampenda.

Umri umeenda ninahitaji kuwa na familiya ambayo nitakuwa huru nayo bila lawama. Niwe wazi kuna mtu yupo tiyari kwenda kwetu hata leo tatizo ni mme wa mtu. ana kila sifa ya mwanaume ninaemtaka lakini tatizo ndo hilo. Sijaingia mahusiano nae kwa sababu zifuatazo:,

1: Nitamwambia nini mama?
2: Namuogopa Mungu,
3: Familiya yake wakijua nitafanyaje mimi?
4: Nitakosa raha ya kuwa nae huru, nitakosa raha ya kuwa karibu na ukweni ( mbaya sana)
5: Nitalaumiwa na jamii etc

Hivyo basi nikaona siwezi hiki kiwanja chenye mgogoro, I deserve to have my own family:

Wewe mwanaume,
1) umri 37-45
2) mkristo mcha Mungu ukiwa RC itapendeza
3) Mchapa kazi haswaaa, mtafutaji kama mimi ( staki mwanaume anaelialia yeye kila siku hana hela lawama haziishi huyu hapana)
4) Anajipenda na anapenda kuishi maisha safi
5) mrefu
6)caring person, etc

Kama una hizo sifa njoo pm.
hakuna mtu asiependa vitu vizuri, hakuna asiependa mafanikio, ndo maana nimekuja hapa maybe nikakutana na mtu ambae tunaendana.

Kuhusu mimi,
1: age 35 ndo maana natafuta mzee mwenzangu.
2) sina mtoto, sijawahi kuolewa ila mwanaume huyo akiwa na mtoto mmoja na hana mgogoro na mzazi mwenzie mtamlea coz I like kids.
3) Elimu chuo kikuu
4) Kazi ninayo
5) kinywaji situmii
6) Rangi , rangi safi ya kati situmii mikorogo
7) Dini RC
8) mchapa kazi haswaa with brain.

Mume wangu nimechoka kukusubiri, nimekufuata huku nisije angukie mikononi mwa mme wa mtu. tho ana kila kitu ninachokitaka lakini nikikumbuka mme wa mtu sumu nalia, usichelewe plz nina muda mchache wa kufanya maamuzi.

GOD BE WITH YOU.
Pata mume anayeishi kwenye ndoa yenye mazonge ama ambaye ni mtalaka kwa kosa la mwanamke .. Huyo ni mhitimu wa maswala ya ndoa UTA ENJOY
Wote unaowaelewa tayari wameshapigwa msasa ndio maana unaona wanafaa.. Tofauti na hapo Muombe Mungu sana akupe wako utakayempiga msasa pia
 
Tatizo kubwa kwetu Wakristo Ni Unafiki wa kusema Mume ni wa Mtu mmoja..Halafu unakuta michepuko 6 sasa Kipi Bora hasa kwa nyie akina dada...waruhusuni tena wapeni pressure waume zenu waoe ili mjulikane mko 2 au 3 basi muishi lakini kujifanya ooh Mume wangu hayupo mumeo pekee...Hayupo.
 
Do they become good baada ya kuoa? If that is the case, then jitwishe lishenzi limoja nalo litakuja kuwa smart likishakuoa
Sasa mtu ana mbususu inamsubiria nyumbani so atakuwa caring kwako maana anajua ata asipopata mbususu leo ataenda jipoza kwa mke.
 
Samahani una bwawa au iko tight??

Usije kuanza kusema sisi tuna matatizo kumbe tatizo ni ww.

Nawasilisha.
 
Tatizo kubwa kwetu Wakristo Ni Unafiki wa kusema Mume ni wa Mtu mmoja..Halafu unakuta michepuko 6 sasa Kipi Bora hasa kwa nyie akina dada...waruhusuni tena wapeni pressure waume zenu waoe ili mjulikane mko 2 au 3 basi muishi lakini kujifanya ooh Mume wangu hayupo mumeo pekee...Hayupo.
Una akili ndogo sana.

Kuwa na wake 30 hakukuzuii kuwa na michepuko kama ana tamaa.

Selemani alikuwa na wanawake 700 lakini hakuridhika, bado akawa na michepuko 300.

Kuoa wake wengi haijawahi kuwa tiba ya michepuko.
 
Nakushauri zaa nae huyo unaempenda. Usidanganye mtoto wa mtu hapa akajitokezaakakuoa wakati moyo wako uko kwa huyo baba mume wa mtu. Mtaendelea kuwa wapenzi na huna uwezo wa kumuacha hata ukiolewa.
sijaingia mahusiano nae. siwezi fanya kitu ambacho najua mama yanu hapendi. nimelelewa kwenye ndoa so bado nafata neon la mama
 
Sijaelewa, hao married men wanataka kwenda kwenu kufahamika ili wakuoe? Ni wakristo hao au ni vipi? Married men nachojua wanataka secret love, yaani mbanjuane kwa sirii, sasa hao jamaa wanataka waende kwenu tena.

At 35 it's a 50-50 situation, trust me! Ila kila lenye heri kwako.
mimi staki kufichwa kama ARVs , afu mimi sijaingia nae mahusiano. yeye tu anasema nikikubali ataenda nyumbani .inshort staki hili jambo litokee
 
Tatizo inawezekana unataka mtu ambaye kashajijenga tayari.

Mtu smart mwenye potential, ambaye hana kipato kikubwa ambaye mnaweza kukua pamoja ushawahi kumfikiria?
its complicatred, 3yrs back nilikuwa kwenye relationship mzuri saana tu, ila hatukuweza kuendelea. mimi nililazimika kujitoa na kuanzia pale sijaingia kwenye mahusiano.
Ninahisi mimi sijichanganyi sana, mimi ni home kazini, most people ninaokutana nao kazini najikuta na wenye hizo status. nikikutana na hao unaowasema unakuta ni wadogo nawazidi umri,so siangiki nao, lakini nahisi moyo huwa ni mjinja moyo najikuta usha compare ujinga mara xwangu alikuwa hivi mara vile iweje niwe na huyu.nahisi ni nature ya binadumu kulinganisha tho its not a big deal. inachanganya.
 
Back
Top Bottom