Mtanzatozo
JF-Expert Member
- Mar 2, 2016
- 972
- 1,163
unamaanisha unalo buzi..?usichelewe plz nina muda mchache wa kufanya maamuzi.
unamaanisha unalo buzi..?usichelewe plz nina muda mchache wa kufanya maamuzi.
Mungu mwenyewe, aliyempigania Daniel kwenye shimo la Simba akupatie hitaji la moyo wako.salaam.
Ama kweli wanaume smart wanao jitambua wanaojua thamani ya mwanamke, wote wameoa. inasikitisha sana.
Hivi inawezekana vipi kila mwanaume anae onesha interest kwangu nikamuelewa nikija kumcheki kidoleni nakutana na pete? hivi ni mimi tu au na wanawake wengine wanakutana na changamoto hii?
Wakuu, sio kwamba wanaume waoaji hawapo, wapo tena wengi sana tatizo ni je huyo anaekuja moyo umempenda? mtu wa kuishi nae lazima moyo umpende.
Je ina maana wakaka ambao hamjaoa ni kweli kwamba hamna sifa kama za hawa married men? kweli hampo?
Nimekuja hapa kusema la moyoni na si kwamba huku ninapoishi hakuna wanaume, wanaume wapo ila wengi wao wameoa, ambao hawajaoa unakuta moyo haujampenda.
Umri umeenda ninahitaji kuwa na familiya ambayo nitakuwa huru nayo bila lawama. Niwe wazi kuna mtu yupo tiyari kwenda kwetu hata leo tatizo ni mme wa mtu. ana kila sifa ya mwanaume ninaemtaka lakini tatizo ndo hilo. Sijaingia mahusiano nae kwa sababu zifuatazo:,
1: Nitamwambia nini mama?
2: Namuogopa Mungu,
3: Familiya yake wakijua nitafanyaje mimi?
4: Nitakosa raha ya kuwa nae huru, nitakosa raha ya kuwa karibu na ukweni ( mbaya sana)
5: Nitalaumiwa na jamii etc
Hivyo basi nikaona siwezi hiki kiwanja chenye mgogoro, I deserve to have my own family:
Wewe mwanaume,
1) umri 37-45
2) mkristo mcha Mungu ukiwa RC itapendeza
3) Mchapa kazi haswaaa, mtafutaji kama mimi ( staki mwanaume anaelialia yeye kila siku hana hela lawama haziishi huyu hapana)
4) Anajipenda na anapenda kuishi maisha safi
5) mrefu
6)caring person, etc
Kama una hizo sifa njoo pm.
hakuna mtu asiependa vitu vizuri, hakuna asiependa mafanikio, ndo maana nimekuja hapa maybe nikakutana na mtu ambae tunaendana.
Kuhusu mimi,
1: age 35 ndo maana natafuta mzee mwenzangu.
2) sina mtoto, sijawahi kuolewa ila mwanaume huyo akiwa na mtoto mmoja na hana mgogoro na mzazi mwenzie mtamlea coz I like kids.
3) Elimu chuo kikuu
4) Kazi ninayo
5) kinywaji situmii
6) Rangi , rangi safi ya kati situmii mikorogo
7) Dini RC
8) mchapa kazi haswaa with brain.
Mume wangu nimechoka kukusubiri, nimekufuata huku nisije angukie mikononi mwa mme wa mtu. tho ana kila kitu ninachokitaka lakini nikikumbuka mme wa mtu sumu nalia, usichelewe plz nina muda mchache wa kufanya maamuzi.
GOD BE WITH YOU.
Pata mume anayeishi kwenye ndoa yenye mazonge ama ambaye ni mtalaka kwa kosa la mwanamke .. Huyo ni mhitimu wa maswala ya ndoa UTA ENJOYsalaam.
Ama kweli wanaume smart wanao jitambua wanaojua thamani ya mwanamke, wote wameoa. inasikitisha sana.
Hivi inawezekana vipi kila mwanaume anae onesha interest kwangu nikamuelewa nikija kumcheki kidoleni nakutana na pete? hivi ni mimi tu au na wanawake wengine wanakutana na changamoto hii?
Wakuu, sio kwamba wanaume waoaji hawapo, wapo tena wengi sana tatizo ni je huyo anaekuja moyo umempenda? mtu wa kuishi nae lazima moyo umpende.
Je ina maana wakaka ambao hamjaoa ni kweli kwamba hamna sifa kama za hawa married men? kweli hampo?
Nimekuja hapa kusema la moyoni na si kwamba huku ninapoishi hakuna wanaume, wanaume wapo ila wengi wao wameoa, ambao hawajaoa unakuta moyo haujampenda.
Umri umeenda ninahitaji kuwa na familiya ambayo nitakuwa huru nayo bila lawama. Niwe wazi kuna mtu yupo tiyari kwenda kwetu hata leo tatizo ni mme wa mtu. ana kila sifa ya mwanaume ninaemtaka lakini tatizo ndo hilo. Sijaingia mahusiano nae kwa sababu zifuatazo:,
1: Nitamwambia nini mama?
2: Namuogopa Mungu,
3: Familiya yake wakijua nitafanyaje mimi?
4: Nitakosa raha ya kuwa nae huru, nitakosa raha ya kuwa karibu na ukweni ( mbaya sana)
5: Nitalaumiwa na jamii etc
Hivyo basi nikaona siwezi hiki kiwanja chenye mgogoro, I deserve to have my own family:
Wewe mwanaume,
1) umri 37-45
2) mkristo mcha Mungu ukiwa RC itapendeza
3) Mchapa kazi haswaaa, mtafutaji kama mimi ( staki mwanaume anaelialia yeye kila siku hana hela lawama haziishi huyu hapana)
4) Anajipenda na anapenda kuishi maisha safi
5) mrefu
6)caring person, etc
Kama una hizo sifa njoo pm.
hakuna mtu asiependa vitu vizuri, hakuna asiependa mafanikio, ndo maana nimekuja hapa maybe nikakutana na mtu ambae tunaendana.
Kuhusu mimi,
1: age 35 ndo maana natafuta mzee mwenzangu.
2) sina mtoto, sijawahi kuolewa ila mwanaume huyo akiwa na mtoto mmoja na hana mgogoro na mzazi mwenzie mtamlea coz I like kids.
3) Elimu chuo kikuu
4) Kazi ninayo
5) kinywaji situmii
6) Rangi , rangi safi ya kati situmii mikorogo
7) Dini RC
8) mchapa kazi haswaa with brain.
Mume wangu nimechoka kukusubiri, nimekufuata huku nisije angukie mikononi mwa mme wa mtu. tho ana kila kitu ninachokitaka lakini nikikumbuka mme wa mtu sumu nalia, usichelewe plz nina muda mchache wa kufanya maamuzi.
GOD BE WITH YOU.
Sasa mtu ana mbususu inamsubiria nyumbani so atakuwa caring kwako maana anajua ata asipopata mbususu leo ataenda jipoza kwa mke.Do they become good baada ya kuoa? If that is the case, then jitwishe lishenzi limoja nalo litakuja kuwa smart likishakuoa
Asante mkuu, aelewe tu kua wanawake wanapitia mengi mpaka huyo mume kua smart mpaka yeye kumtamaniHuu ushauri mzuri sana
Komenti bora ya uzi
Kabisa mkuu
Una akili ndogo sana.Tatizo kubwa kwetu Wakristo Ni Unafiki wa kusema Mume ni wa Mtu mmoja..Halafu unakuta michepuko 6 sasa Kipi Bora hasa kwa nyie akina dada...waruhusuni tena wapeni pressure waume zenu waoe ili mjulikane mko 2 au 3 basi muishi lakini kujifanya ooh Mume wangu hayupo mumeo pekee...Hayupo.
sijaingia mahusiano nae. siwezi fanya kitu ambacho najua mama yanu hapendi. nimelelewa kwenye ndoa so bado nafata neon la mamaNakushauri zaa nae huyo unaempenda. Usidanganye mtoto wa mtu hapa akajitokezaakakuoa wakati moyo wako uko kwa huyo baba mume wa mtu. Mtaendelea kuwa wapenzi na huna uwezo wa kumuacha hata ukiolewa.
mimi staki kufichwa kama ARVs , afu mimi sijaingia nae mahusiano. yeye tu anasema nikikubali ataenda nyumbani .inshort staki hili jambo litokeeSijaelewa, hao married men wanataka kwenda kwenu kufahamika ili wakuoe? Ni wakristo hao au ni vipi? Married men nachojua wanataka secret love, yaani mbanjuane kwa sirii, sasa hao jamaa wanataka waende kwenu tena.
At 35 it's a 50-50 situation, trust me! Ila kila lenye heri kwako.
si mbaya nahisiVipi Sisi Wa 49? Tuna Nafasi Hapa?
yup.Nauliza Tena..Sisi Tunaokaribia Kustafu Tuna Nafasi Binti.?
its complicatred, 3yrs back nilikuwa kwenye relationship mzuri saana tu, ila hatukuweza kuendelea. mimi nililazimika kujitoa na kuanzia pale sijaingia kwenye mahusiano.Tatizo inawezekana unataka mtu ambaye kashajijenga tayari.
Mtu smart mwenye potential, ambaye hana kipato kikubwa ambaye mnaweza kukua pamoja ushawahi kumfikiria?
sina kampan yeyote ni kazini -home hata hivyo muda wa campani siwezi kuwa nao niko busy kiasi. sehemu za starehe hata siendagi mana sina cha kufanya hukoJaribu kubadilisha kampani yako