Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,988
- 22,379
Kudaadeki!Nchi yake ni Zanzibar, akagombee Urais huko kwao...!
Huku ni Tanganyika na tunataka tuongozwe na raia na Rais Mtanganyika...
Kosa lilifanyika na akaupata Urais kama kuokota dodo chini ya mti muoarobaini. Hakuwezi kufanyika kosa kama hilo tena...
Na hakuna cha sijui muungano au baba yake muungano. Hayo ni ya Nyerere na Karume...
We have to stop this stupidity of the so called "unwillingly and forcefully union of Tanganyika & Zanzibar" once and for all...!!
Mungu fundi sana 😁😁😁😁😁😁😁