Ng'wanza Madaso
JF-Expert Member
- Oct 21, 2008
- 2,268
- 333
[FONT=ArialMT, sans-serif] [/FONT][FONT=ArialMT, sans-serif]Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Mnajimu maarufu Afrika Mashariki na Kati, Sheikh Yahaya Hussein, alisema[/FONT]
[FONT=ArialMT, sans-serif]
1.......Rais wa Zanzibar, Amani Abeid Karume, ataongezewa muda wa kuendelea na wadhifa huo.
2.......[/FONT][FONT=ArialMT, sans-serif]Mchuano wa kugombea urais wa Zanzibar utakuwa na ushindani mkubwa kuliko miaka iliyopita.
3.......[/FONT][FONT=ArialMT, sans-serif]Robo tatu ya wabunge walioko madarakani wataanguka na sura mpya zitakayoongezeka zitakuwa ni za wanawake.
4......[/FONT][FONT=ArialMT, sans-serif]Hakutakuwa na uchaguzi mkuu kwa mwaka huu wala mpasuko ndani ya CCM.
5......[/FONT][FONT=ArialMT, sans-serif]Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samuel Sitta, ataendelea kushika wadhifa huo kwa kuwa nyota yake inang'aa vizuri.
6......[/FONT][FONT=ArialMT, sans-serif]Viongozi wenye tuhuma kama Waziri Mkuu aliyejiuzulu, Edward Lowassa, hawatang'aa kisiasa hadi mwaka 2015.
7......[/FONT][FONT=ArialMT, sans-serif]Kutatokea harusi za viongozi pamoja na vifo vya watu maarufu, matatizo ya kifedha na kiuchumi, kulipuka kwa volcano, ukame na matetemeko ya ardhi.
8.....[/FONT][FONT=ArialMT, sans-serif](CCJ) kimetabiriwa kuwa hakitaweza kukibomoa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutokana na kitendo cha viongozi wake wa muda kwenda kulilia kwenye kaburi la Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, na kwamba sababu nyingine ya kukikwamisha ni jina walilolichagua.[/FONT][FONT=ArialMT, sans-serif]CCJ kingetumia jina la CCN.
[/FONT]CHANZO: NIPASHE
[FONT=ArialMT, sans-serif]
1.......Rais wa Zanzibar, Amani Abeid Karume, ataongezewa muda wa kuendelea na wadhifa huo.
2.......[/FONT][FONT=ArialMT, sans-serif]Mchuano wa kugombea urais wa Zanzibar utakuwa na ushindani mkubwa kuliko miaka iliyopita.
3.......[/FONT][FONT=ArialMT, sans-serif]Robo tatu ya wabunge walioko madarakani wataanguka na sura mpya zitakayoongezeka zitakuwa ni za wanawake.
4......[/FONT][FONT=ArialMT, sans-serif]Hakutakuwa na uchaguzi mkuu kwa mwaka huu wala mpasuko ndani ya CCM.
5......[/FONT][FONT=ArialMT, sans-serif]Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samuel Sitta, ataendelea kushika wadhifa huo kwa kuwa nyota yake inang'aa vizuri.
6......[/FONT][FONT=ArialMT, sans-serif]Viongozi wenye tuhuma kama Waziri Mkuu aliyejiuzulu, Edward Lowassa, hawatang'aa kisiasa hadi mwaka 2015.
7......[/FONT][FONT=ArialMT, sans-serif]Kutatokea harusi za viongozi pamoja na vifo vya watu maarufu, matatizo ya kifedha na kiuchumi, kulipuka kwa volcano, ukame na matetemeko ya ardhi.
8.....[/FONT][FONT=ArialMT, sans-serif](CCJ) kimetabiriwa kuwa hakitaweza kukibomoa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutokana na kitendo cha viongozi wake wa muda kwenda kulilia kwenye kaburi la Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, na kwamba sababu nyingine ya kukikwamisha ni jina walilolichagua.[/FONT][FONT=ArialMT, sans-serif]CCJ kingetumia jina la CCN.
[/FONT]CHANZO: NIPASHE