Aliyoyasema Mtela Mwampamba siku 2 kabla ya bomu kulipuka Arusha

Mkuu, tusipindishe mada, kitu pekee hapa nchini chenye dhamana ya kulinda raia na mali zao ni polisi kwa niaba ya serikali.

Sasa kama kuna mtu alitoa maneno hayo uliyo yaweka na hawakumchukulia hatua yoyote, udhani kwamba serikali ina udhaifu?

Kauli hii aliyo itoa Mtela sio nyepesi hata kidogo ukiliangalia na tukio la jana, nadhani kuna namna ana husika, na wa kuthibitisha hilo ni vyombo vya ulinzi na usalama.

Tuache double standards. Kila upande umewahi kutoa kauli zenye utata mkubwa na mwisho wa siku sisi wananchi wa kawaida ndo wakuumia. Hivi saa ya matukio kama haya waheshimiwa huwa wanasevu vp? Just curious.
 
Jee tumesahau wale waliosema nchi haitatawalika, nao walikuwa na maana hii ya mambo yanvyo tokea Arusha au vipi?

'Nchi haitatawalika' uliyafikiria na bado unaendelea kuyafikiri kwa maana nyepesi! CDM tulijua wananchi watatuelewa na watasimama bila kugopa kupigana na adui wa taifa hili CCM na lazima yatokee yanayotokea kwasababu Mungu ashafanya mioyo yao kuwa migumu na gamba pia ndo mana halivuki. CCM mnakwisha hakika. Na pia hatutaki kutawaliwa kama ilivyo sasa,tunahitaji viongozi wakutuongoza.
 
Inabidi uende ukatoe ushahidi polisi. Mimi hili suala limenigusa sana na ninapoona mtu anaandika upuuzi kama huu nakasirika sana. Kama wewe kaka yako angekuwa ameumizwa mguu na bomu usingesema upuuzi huu. Kuanzia leo sina chama na familia yetu yote tumeamua hivyo. Bora tuchague mtu sio chama.
Kama unao ushahidi wa haya unayo yasema naomba uweke hata audio niitumie kama ushahidi mahakamani
 
munaanza na mungu na munamalizia na mungu, je, huyo ni mungu yupi? Munapaswa kuwa watanzania kwanza dini zenu baadaye. Udini unawasumbua hamuoni wala hamsikii.

we maandazi Mungu aliyetajwa hapo anadini? ingekuwaje kama wengemtaja Mohamad au Yesu ingekuingia akilini,acha umaandazi udini udini bure kabisa
 
Haya ni maneno ya kada wa CCM bwana Mtela Mwampamba kuhusiana na mchakato wa uchaguzi jijini Arusha;



Nadhani kama wewe ni mtu mwenye akili timamu unaweza kuona ni kwa kiasi gani chama tawala CCM kina husika na mpango, utekelezaji na ufanikishaji wa mlipuko wa bomu jana katika mkutano wa kufunga kampeni wa CHADEMA, Soweto Arusha.

k-fork-make zake kocho yule aje tandika masela tumpige bisibisi za shingo akamsalimie kolimba.
 
Polisi wamuweke ndani huyo kijana+ mwigulu maana ndo mfazili wao huyo, wahojiwe kwa mambo ya kikatili na kigaidi,
kuna msemo unasema
kimtokacho mtu kinywani mwake ndivyo alivyo
mwigulu amekuwa akiituhumu chadema kwa ugaidi, kumbe yeye ndo gaidi lenyewe
 
Walikuwa wanamaanisha kuwa rushwa na ufisadi unasababisha wanyonge kunyimwa haki zao na ndio nchi haitawaliki kwa kuwa utawala bora unakosekana.

We kwa upimbi wako unadhani nchi haitawaliki kwa vurugu?? Kukiwa na vurugu nyie madikteta ndio mnatawala vizuri. Shugulisha ubongo wako wewe chizi
Achana na majitu yasiyo jua hata tafsiri za maneno kutokana na akili zao kuingia ukungu. Ndio maana hata Bungeni walipoambiwa kuwa serikali hii ni IMPOTENT wao mawaziri na mabunge ya CCM wakabaki na tafsiri ya kuwa wameambiwa kuwa serikali ni maha..nisi. Sasa kama Waziri anashindwa kuelewa kulimaanishwa nini itakuwa hawa vijakazi wa CCM mitandaoni? Mtu unashabikia vifo na majeruhi walifikwa na maafa wakiwa mbali nawe bila kufahamu ni wakina nani, maana waweza kuwa ndugu zako hata kama hupendi wengine!
 
Tuache double standards. Kila upande umewahi kutoa kauli zenye utata mkubwa na mwisho wa siku sisi wananchi wa kawaida ndo wakuumia. Hivi saa ya matukio kama haya waheshimiwa huwa wanasevu vp? Just curious.

wanalindwa na mungu japo jana mmoja amekufa.
RIP Judith
 
Polisi wamuweke ndani huyo kijana+ mwigulu maana ndo mfazili wao huyo, wahojiwe kwa mambo ya kikatili na kigaidi,
kuna msemo unasema

mwigulu amekuwa akiituhumu chadema kwa ugaidi, kumbe yeye ndo gaidi lenyewe

hao polisi ni jeshi la pili (backup force) la mwigulu mkuu ,sasa unadhani atakamatwa vipi?
 
wanalindwa na mungu japo jana mmoja amekufa.
RIP Judith

If you stand to be corrected;

Imethibitika mpaka sasa watu wanne wamepoteza maisha kwenye tukio la mlipuko lililo tokea jana. Kati ya hao, wawili walifariki papo hapo na hao wengine hospitali.
 
Watanzania wenzangu ... Nani kahusika na Nani hakuhusika kwenye kusababisha tukio hili sio muhimu sana. Jambo la msingi na la kweli kabisa ni kuwa tukio limetokea. Na Kuna Serekali na vyombo vyake katika kulinda Usalama na Usatawi wa Wanachi. Wote hawa wajipime kama wametekeleza majukumu na viapo vyao ipasavyo!

Kwani Cheo ni Dhamana!!
Haiingii akilini kabisa kwamba baada ya bomu kulipuka, polisi wanaanza kuwapiga mabomu ya machozi wahanga wanaokimbia kutokana na hilo bomu? Kwanini hawakupiga mabomu ya machozi wakati wa mlipuko wa bomu kanisani? Kamanda aliyeamrisha upigaji wa mabomu ya machozi katika tukio kama hili ni nani? Hivi kweli CHADEMA wakisema kwamba polisi ndiyo waliorusha lile bomu watakuwa wamekosea? Mimi nafikiri hii nchi ilipofikia sasa, inahitaji tu kitu cha ziada zaidi ya sheria na taratibu za nchi, maana hao waliopewa mamlaka ya kuwalinda wananchi ndiyo wanaowaua.
 
tatizo ni kwamba jeshi la polisi lime apa kuwalinda hata wafanye nini. hapa unaweza ukawa unapiga kelele za bure tuuu ni kweli wananchi wameingia gharama kubwa kwani damu zao zi.imwagika sana jana.

hakika hizi damu hazito kwenda bure. kwa nini watu waue watu wasio na hatia.
majuzi nape alisema cdm wamepanga kufanya vurugu kwenye mkutano wao na haya mambo yametokeo lazima tujiulize maswali mengi hapa juu ya kauli za viongozi wa ccm.
Ni wazi hapa kuna mpango mchafu kabisa uanendelea hata kabla lwakatare hajakamatwa mwigulu alisema anao mkanda na polisi waka kaa kimya baadae mkanda ukawekwa kwenye mitandao ya kijamii na hapa ni wazi jeshi la polisi halikufanya kazi yake lazima tuhisi ni part of plan.

Muda mwingine huwa najiuliza usalama wataifa kazi yao nini hasa hapa kwetu tanzania kama hawawezi hata kuzui tukio hata moja linalo gharimu maisha ya watu
 
Mtela Mwampamba damu iliyomwagika hapa uwanja wa Soweto iwe juu yako na ccm wote wenye kushabikia ushetani huu mnaofanya kutafuta riziki zenu.
Mwigulu Nchemba damu iliyomwagika hapa uwanja wa soweto itawatesa kuanzie nyie wauawaji mpaka vizazi vyenu vya mwisho.



Hakuna utawala wa damu uliowahi kufanikiwa duniani.
 
Last edited by a moderator:
Tuache double standards. Kila upande umewahi kutoa kauli zenye utata mkubwa na mwisho wa siku sisi wananchi wa kawaida ndo wakuumia. Hivi saa ya matukio kama haya waheshimiwa huwa wanasevu vp? Just curious.
Jana kiongozi mmoja wa CHADEMA alifariki dunia katika tukio lile. Kumbuka kwamba bomu lilielekezwa meza kuu walikokuwepo viongozi, ni bahati tu kwamba halikufika.
 
Kweli gharama imekuwa kubwa sana:
Siamini kama ni mpango wa ccm kurushia wana cdm mabomu, lakini naweza kuamini ni mpango binafsi wa magamba yanayolelewa na ccm baada ya kuona dalili yakung'olewa ulaji iko wazi. Uchunguzi umlenge huyo meya aliyepewa madaraka kwa njia ya kupora na wapambe wanaokula naye dili. Kama hawakubali biashara imekwisha amani itazidi kupotea hapo arusha.
 
alisema wapi?na kama kuna ushahid nadhan anapaswa awe ni mmoja wa kusaidia polisi katika uchunguzi-mana wanasema any criminal activity interacts with the environment in which it takes palce and leavees some traces behind, i think that is one of them
 
@Mtela Mwampamba damu iliyomwagika hapa uwanja wa Soweto iwe juu yako na ccm wote wenye kushabikia ushetani huu mnaofanya kutafuta riziki zenu.
Mwigulu Nchemba damu iliyomwagika hapa uwanja wa soweto itawatesa kuanzie nyie wauawaji mpaka vizazi vyenu vya mwisho.



Hakuna utawala wa damu uliowahi kufanikiwa duniani.

na itawaandama mpaka kizazi cha 300 mkuu ,yaani siamini kama kuna watanzania wamekosa utu kama haya maccm , serikali yao na vyombo vyao vya usalama.......shame be upon them, their children, their wives, their brothers & sisters , their husbands, theif farthers ,their mothers etc.
 
Back
Top Bottom