tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,855
- 1,117
wakuu mniwie radhi, mida ya jioni kuna jamaa yangu alinipigia simu na kudai kwamba Marando alikuwa akihojiwa na Kituo cha redio cha Magic Fm. Hakuweza kuendelea kunijuza aichoongea kwani network ilikuwa mbovu.
Kama kuna aliyemsikiliza atuwekee hayo mazungumzo...
Kama kuna aliyemsikiliza atuwekee hayo mazungumzo...