Mtoboasiri
JF-Expert Member
- Aug 6, 2009
- 5,101
- 1,946
CDM weupe!bla bla nyingi!raia wameanza kustukia taratibu!
Nakupa test moja (wewe na magamba wenzenu): Nendeni mahali popote mkutane na na wafanyakazi/wafanyabiashara ambao pato lao ni chini ya laki tano kwa mwezi (na ndio majority hapa nchini) waombeni wawachangie MUONE MOTO UTAKAWAZUKIA!
Mchana huu nimeshuhudia kwa macho yangu mwenyewe watu wanaolipwa shilingi elfu 80 tu kwa mwezi wakimchangia Nassari! Huu ni ushahidi kuwa raia wameanza kukushtukieni nyinyi MAGAMBA!