Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 233
Yatimia aliyosema john Shibuda Mbunge wa Maswa alipompa JK vidonge vyake- kwamba CCM itamfia mikononi mwake. Tunayaona pole pole tangu Igunga na kata nyingi za udiwani -- ambayo CCM mwaka mmoja tu na nusu hivi hivi waliyachukuwa kwa ulaini, sasa hivi wanatumnia nguvu kubwa kweli kweli pamoja na ahadi lukuki za uongo (JK mwenyewe alitoa maelfu ya ahadi 2010 hajatimiza hata moja).
Hali kadhalika CCM wameongeza utumiaji nguvu kupitia vyombo vyao vya dola kama vile mapolisi wao, NEC isyokuwa na haki na ambayo imeafiki kuwanyima fursa maelfu ya vijana ya kupiga kura kwa kutowaandikisha makusudi kwani inajua wengi wa hao vijana ni CDM.
CCM inazidi kuzororota kila kukicha na mtu anayezorota mara nyingi hupenda kutumia maguvu ya mwisho kama vile matke ya farasi anayekaribia kukata roho.
Yote haya CCM wanafanya kwa kuona siku zao za kutokomea zinakaribia.
Hali kadhalika CCM wameongeza utumiaji nguvu kupitia vyombo vyao vya dola kama vile mapolisi wao, NEC isyokuwa na haki na ambayo imeafiki kuwanyima fursa maelfu ya vijana ya kupiga kura kwa kutowaandikisha makusudi kwani inajua wengi wa hao vijana ni CDM.
CCM inazidi kuzororota kila kukicha na mtu anayezorota mara nyingi hupenda kutumia maguvu ya mwisho kama vile matke ya farasi anayekaribia kukata roho.
Yote haya CCM wanafanya kwa kuona siku zao za kutokomea zinakaribia.