Aliyosema Askofu Gwajima wa kanisa la Ufufuo na Uzima kuhusu CCM na uwenyekiti yatimia

HaMachiach

JF-Expert Member
Dec 15, 2015
3,399
6,077
Mnamo mwezi wa 6 mwaka huu katika ibada ya Jumapili askofu wa kanisa la ufufuonauzima Josephat Gwajima alisema kuna watu wamejipanga kupinga Magufuli kupewa Uenyekiti.

vijana wa lumumba walipiga kelele alafu yule akatuma police wakazingira nyumba ya Askofu huyo na silaha nzito nzito kama wanapigana na Gaidi la kimataifa wakazusha tena wakidai askofu huyo katoroka nchi sasa leo tunayaona aliyosema tunataka sasa vijana wa lumumba mmubishie na Bulembo anayesema kuwa kunawatu wamejipanga kupinga Magufuli kupewa Uenyekiti waondoke sasa CCM mjifunze msikurupuke!
 
Mie naona seriakaalii inacheza mchezo wa HIDE AND SEEK lama watoto wa nursery. Yaani huyu bwana alitoa tamko siku aliyotoa wasipangane kumkamata kisha baada ya muda waanze kutangaza tunatafuta huyu bwana G na wakaweka ulinzi mkali nyumbani kwake for free huku wakisema bwana G kajificha kusikojulikana. Kumbe bwana G alikuwa Japan .... saasaa pale airport sasa hivi kuna system na habari za kutafutwa huyu bwana zilizagaa kwenye vyombo vingi vya habari. Je watu wa airport hapakuwa kuwa bwana G anatafuta na polisi? Au nao walimsaidia bwana G kujificha? Haya siku anarudi palepale airport polisi hao wakasema wamemkamata. ..... mii sielewi hii game ndo HIDE AND SEEK au bwana G nae ni sehemu ya mission.....???

Mwisho wa yote ya ngoswe muachie ngoswe. ..

Kasie.
 
Mie naona seriakaalii inacheza mchezo wa HIDE AND SEEK lama watoto wa nursery. Yaani huyu bwana alitoa tamko siku aliyotoa wasipangane kumkamata kisha baada ya muda waanze kutangaza tunatafuta huyu bwana G na wakaweka ulinzi mkali nyumbani kwake for free huku wakisema bwana G kajificha kusikojulikana. Kumbe bwana G alikuwa Japan .... saasaa pale airport sasa hivi kuna system na habari za kutafutwa huyu bwana zilizagaa kwenye vyombo vingi vya habari. Je watu wa airport hapakuwa kuwa bwana G anatafuta na polisi? Au nao walimsaidia bwana G kujificha? Haya siku anarudi palepale airport polisi hao wakasema wamemkamata. ..... mii sielewi hii game ndo HIDE AND SEEK au bwana G nae ni sehemu ya mission.....???

Mwisho wa yote ya ngoswe muachie ngoswe. ..

Kasie.

Aisee! Nilijua you are most better MMU kumbe hata kwenye hili jukwaa you are best?! Nice comment ever. Nikutakie usiku mwema Kasie.
 
Mnamo mwezi wa 6 mwaka huu katika ibada ya Jumapili askofu wa kanisa la ufufuonauzima Josephat Gwajima alisema kuna watu wamejipanga kupinga Magufuli kupewa Uenyekiti.

vijana wa lumumba walipiga kelele alafu yule akatuma police wakazingira nyumba ya Askofu huyo na silaha nzito nzito kama wanapigana na Gaidi la kimataifa wakazusha tena wakidai askofu huyo katoroka nchi sasa leo tunayaona aliyosema tunataka sasa vijana wa lumumba mmubishie na Bulembo anayesema kuwa kunawatu wamejipanga kupinga Magufuli kupewa Uenyekiti waondoke sasa CCM mjifunze msikurupuke!
Hayo ndiyo maajabu ya siasa za TZ....

Gwajima katangaza kuwa kuna mizengwe inafanywa na baadhi ya makada wa CCM kuzuia JK asimkabidhi kijiti cha uenyekiti JPM, Polisi wakatangaza kumtafuta na majuzi aliporejea tu kutoka nje ya nchi akadakwa pale airport.

Majuzi Bulembo naye katamka maneno yale yale aliyotamka Gwajima kuwa kuna baadhi ya viongozi wa CCM wanafanya njama ya kukwamisha JK asimkabidhi uenyekiti JPM, tena yeye Bulembo akaenda mbali zaidi kwa kupendekeza kwa chama chake kuwa iwavue uanachama hao aliowaita wasaliti wa Chama......

Cha kushangaza ni kuwa Polisi 'wanagwaya' kumtia mbaroni Bulembo ili wamhoji kuhusiana na matamko yake hayo.

Hapo ndipo unapoweza kuthibitisha utendaji kazi wa double standard wa Jeshi letu la Polisi......
 
Huyu Askofu ana matatizo
ni yeye alisema CCM haichukui Nchi
mara Kardinal Pengo
yaani ni matatizo tupu na waumini wale
kweli siku za mwisho zaja watabiri uchwara wataongezeka

Na wanaomwamini wamepotea njia. wajirudi.
 
Hili Jambo wala lisitake kukuzwa na kupitia ha umma , Suala la Raisi kuwa Mwenyekiti wa Chama au kutokuwa liliwahi kuzungumzwa hata wakati wa Kikwete na Kulinganishwa na hali ilivyo kwa Mfano ANC nk , na hata hizi propaganda zilivyo Anza , Watu walisema Wala Magufuli ashobokei kuwa Mwenyekiti , hivyo chochote kitacho tokea hakitakuwa cha ajabu, Kama vile Bali itakuwa ni maboresho ya uongozi wa Chama tawala .
 
Mnamo mwezi wa 6 mwaka huu katika ibada ya Jumapili askofu wa kanisa la ufufuonauzima Josephat Gwajima alisema kuna watu wamejipanga kupinga Magufuli kupewa Uenyekiti.

vijana wa lumumba walipiga kelele alafu yule akatuma police wakazingira nyumba ya Askofu huyo na silaha nzito nzito kama wanapigana na Gaidi la kimataifa wakazusha tena wakidai askofu huyo katoroka nchi sasa leo tunayaona aliyosema tunataka sasa vijana wa lumumba mmubishie na Bulembo anayesema kuwa kunawatu wamejipanga kupinga Magufuli kupewa Uenyekiti waondoke sasa CCM mjifunze msikurupuke!
Link Tetesi: - Kinara wa kukwamisha Rais Magufuli asiwe Mwenyekiti wa CCM ni Rajab Luhwavi, NKM CCM Bara
 
Nadhani huyo aliyesema hivyo naye ahojiwe na polisi amepata wapi hiyo habari?
Mnawatumia vibaya polisi jamani!! Mambo ya siasa mnatumia polisi? Ina maana ccm bila polisi hawawezi hata kushinda uchaguzi!! Kila kitu chao ni kutumia polisi!!!
 
Mnamo mwezi wa 6 mwaka huu katika ibada ya Jumapili askofu wa kanisa la ufufuonauzima Josephat Gwajima alisema kuna watu wamejipanga kupinga Magufuli kupewa Uenyekiti.

vijana wa lumumba walipiga kelele alafu yule akatuma police wakazingira nyumba ya Askofu huyo na silaha nzito nzito kama wanapigana na Gaidi la kimataifa wakazusha tena wakidai askofu huyo katoroka nchi sasa leo tunayaona aliyosema tunataka sasa vijana wa lumumba mmubishie na Bulembo anayesema kuwa kunawatu wamejipanga kupinga Magufuli kupewa Uenyekiti waondoke sasa CCM mjifunze msikurupuke!
hahah 'wakazunguka nyumba na salama nzito nzito kama wanataka kupigana na gaidi' police wa Tanzania bhana
 
Huyu Askofu ana matatizo
ni yeye alisema CCM haichukui Nchi
mara Kardinal Pengo
yaani ni matatizo tupu na waumini wale
kweli siku za mwisho zaja watabiri uchwara wataongezeka
Chama Cha Majipu (CCM) hakijawahi kushinda Uchaguzi wowote. Huwa kinaiba kura.
 
Vijana wa Lumumba wameheuka wana mzuka mbona maneno Yale Yale ya Askofu Gwajima Bw. Bulembo kayasema ?
 
Back
Top Bottom