Aliyezuia mechi ya Simba na Yanga kuchezwa awajibike mwenyewe!

jingalao

JF-Expert Member
Oct 12, 2011
35,053
28,245
Siamini kama Rais Samia alikataza mechi hii kubwa isiendelee kisa ni uzinduzi wa Kitabu cha Rais Mwinyi ulioandamana na birthday yake.
Matukio yote yalijulikana mapema na yalipangwa mapema.
1-Mechi hii ilijulikana itachezwa mapema sana sio dharura.

2-Tukio la uzinduzi wa kitabu cha Rais Mwinyi lilipangwa mapema ikiwemo Mh Rais na waalikwa wengine kuhudhuria.

Yupo mpima kina cha maji na anayejipendekeza na amechafua hali ya hewa anayetakiwa kuwajibika.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
 
Yeye kama amiri jeshi na kiongozi wa nchi awezi kukwepa lawama, hapo ndio lazima tumkumbuke hayati angeweka sawa viongozi wa timu zote halafu ange deal walioaribu wote kuanzia wizarani hadi TFF.

Tunachukulia poa kwasababu watanzania ni watu wenye busara ingekuwa nchi nyingine kiwanjani pale pangechimbika na uharibufu mkubwa na fujo zingetokea.

Unafikiri mama angewapigia viongozi wa timu zote kurudisha timu uwanjani wangegomea?
 
Yeye kama amiri jeshi na kiongozi wa nchi awezi kukwepa lawama, hapo ndio lazima tumkumbuke hayati angeweka sawa viongozi wa timu zote halafu ange deal walioaribu wote kuanzia wizarani hadi TFF.

Tunachukulia poa kwasababu watanzania ni watu wenye busara ingekuwa nchi nyingine kiwanjani pale pangechimbika na uharibufu mkubwa na fujo zingetokea.

Unafikiri mama angewapigia viongozi wa timu zote kurudisha timu uwanjani wangegomea?
Hapa busara imepitiliza. Umelipa kiingilio, umeacha kazi, umeingia uwanjani kusubiri muda wa tukio, halafu anatokea kiongozi anasema tukio limeahirishwa. Kuvumilia si busara, bali ni ujinga.
 
Watanzania mnapenda sana anasa na uwezo hamna. Huo muda wa kwenda uwanjani na kuangalia mpira mnautoa wapi? Tunapitia wakati mgumu kiuchumi and time is money.

Unaweza kusafiri nchini kilomita 500 ukakutana na mapori yasiyoendelezwa halafu mnakusanyika uwanjani kuangalia mpira.
 
Watanzania mnapenda sana anasa na uwezo hamna. Huo muda wa kwenda uwanjani na kuangalia mpira mnautoa wapi? Tunapitia wakati mgumu kiuchumi and time is money.

Unaweza kusafiri nchini kilomita 500 ukakutana na mapori yasiyoendelezwa halafu mnakusanyika uwanjani kuangalia mpira.
Kna mtu kaja kwa mguu kutoka kigoma

Ova
 
Kumbuka kua dini ya Kiislam muda huu si muda wa furaha ...Sasa wewe Abdul ufunge gori alafu Mohammed ashangilie ilo gori wakati ni mwezi mtukufu wa Ramadhani
 
Watanzania mnapenda sana anasa na uwezo hamna. Huo muda wa kwenda uwanjani na kuangalia mpira mnautoa wapi? Tunapitia wakati mgumu kiuchumi and time is money.

Unaweza kusafiri nchini kilomita 500 ukakutana na mapori yasiyoendelezwa halafu mnakusanyika uwanjani kuangalia mpira.
Mkuu usiseme "tunapitia" sema "ninapitia".
Kila mtu anasehemu yake ya starehe. As long as hawavunji sheria yoyote usiumie sana mkuu.
 
Watanzania mnapenda sana anasa na uwezo hamna. Huo muda wa kwenda uwanjani na kuangalia mpira mnautoa wapi? Tunapitia wakati mgumu kiuchumi and time is money.

Unaweza kusafiri nchini kilomita 500 ukakutana na mapori yasiyoendelezwa halafu mnakusanyika uwanjani kuangalia mpira.
Ona hii kima
 
ALIYEZUIA?

Haijazuiwa mechi ila ilisogezwa mbele kukiwa na sababu zao wanasiasa, moja ni uzinduzi wa kitabu, hapo nani apigwe mawe?
 
AxVmM9o.gif
 
Watanzania mnapenda sana anasa na uwezo hamna. Huo muda wa kwenda uwanjani na kuangalia mpira mnautoa wapi? Tunapitia wakati mgumu kiuchumi and time is money.

Unaweza kusafiri nchini kilomita 500 ukakutana na mapori yasiyoendelezwa halafu mnakusanyika uwanjani kuangalia mpira.
Hahaha,mkuu karibu Kigoma kwenye kilimo cha Vanilla ndiyo dili kwa sasa zaidi ya madini, mapori yapo ya kutosha
 
Hapa busara imepitiliza. Umelipa kiingilio, umeacha kazi, umeingia uwanjani kusubiri muda wa tukio, halafu anatokea kiongozi anasema tukio limeahirishwa. Kuvumilia si busara, bali ni ujinga.
Sasa hiyo nafuu. Fikiria MTU katoka Kigoma kwa mguu kuja kuangalia mechi kamwacha mkewe bila unyumba labda jamaa wanajisevia huko na watoto wapweke atasema nini
 
Siamini kama Rais Samia alikataza mechi hii kubwa isiendelee kisa ni uzinduzi wa Kitabu cha Rais Mwinyi ulioandamana na birthday yake.
Matukio yote yalijulikana mapema na yalipangwa mapema.
1-Mechi hii ilijulikana itachezwa mapema sana sio dharura.

2-Tukio la uzinduzi wa kitabu cha Rais Mwinyi lilipangwa mapema ikiwemo Mh Rais na waalikwa wengine kuhudhuria.

Yupo mpima kina cha maji na anayejipendekeza na amechafua hali ya hewa anayetakiwa kuwajibika.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Wacha kudanganya watu wewe siyo mtanzania
 
Back
Top Bottom