technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,843
Aliyeyaona ya Mrema miaka hiyo hawezi kumshangaa Zitto wote wapo kimkakati kutumika kumaliza kabisa nguvu ya upinzani Mrema alifanikiwa kukiua CUF badala ya CCM kama ambavyo zitto anataka kukiua chadema badala ya CCM kinachoendelea kwa zitto ni mkakati wa kukiua chadema na sio CCM muda utaongea.
Leo Mrema anakula pension yake kupitia kupewa vyeo na CCM pia siku zitto akichoka msishangae anapewa vyeo ili kumpa fadhira ya kazi atakayokuwa ameifanya.
Ukweli mchungu CHADEMA hamuwezi kwenda Ikulu kwa kuendelea kuwakumbatia mamluki ndani ya upinzani kama wakina zitto mtaendelea kupigwa na ccm uo ndio ukweli.
Leo Mrema anakula pension yake kupitia kupewa vyeo na CCM pia siku zitto akichoka msishangae anapewa vyeo ili kumpa fadhira ya kazi atakayokuwa ameifanya.
Ukweli mchungu CHADEMA hamuwezi kwenda Ikulu kwa kuendelea kuwakumbatia mamluki ndani ya upinzani kama wakina zitto mtaendelea kupigwa na ccm uo ndio ukweli.