Hazchem plate
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 11,025
- 15,312
Sheik wetu kaweka breach
Mkuu shikamoo hahahahaahahahaha nimecheka sana yhn
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu shikamoo hahahahaahahahaha nimecheka sana yhn
Doh kwahyo hapo imewapendeza unavyoona
Kutokuvaa soksi ni uhuni tuHivi fundi aliyewashonea zile suti alikua hana futi kamba? Au alipoteza vipimo?Mbona amewashonea vijana wa taifa suti ngoko zote nje..na kwanini hawa vijana wengine hawajanunuliwa soksi. Ni ajabu sana..
View attachment 1121104View attachment 1121106
Suti kuninginia kuna shida gani? Unataka kutuaminisha wale wanaovaa suruali fupi kwenye dini yao wote hawana akili timamu?Kipimo cha hekima na busara huanza na muonekano ( mavazi)
Unavaa suruali inaning'inia miguuni halafu uje useme una akili timamu WTF
Hivi fundi aliyewashonea zile suti alikua hana futi kamba? Au alipoteza vipimo?Mbona amewashonea vijana wa taifa suti ngoko zote nje..na kwanini hawa vijana wengine hawajanunuliwa soksi. Ni ajabu sana..
View attachment 1121104View attachment 1121106
Sijakataa kama huwa unavaa suti angalia vizuri makoti hayajakaa poa kabisa fashion sio issue ila zimelipuliwaMkuu umeambiwa ndio fashion ya sasa hivi,ulitaka wavae suti za kizee?
Haukuna kazi ngumu kwetu sisi mafundi kama kumpima mcheza mpira, hatulii; unatulaumu bure na kama fupi wafumue pindo la chini haina shida.Hivi fundi aliyewashonea zile suti alikua hana futi kamba? Au alipoteza vipimo?Mbona amewashonea vijana wa taifa suti ngoko zote nje..na kwanini hawa vijana wengine hawajanunuliwa soksi. Ni ajabu sana..
View attachment 1121104View attachment 1121106
Kaka
Mishe poa kaka, Sema nini, uko kimya.Inakuaje aise, mishe vipi?
Acha ushamba hyo ndo stayle ya mjn.. Sio zile suti zenu za mwaka 47 km lile shuka la mashineniHivi fundi aliyewashonea zile suti alikua hana futi kamba? Au alipoteza vipimo?Mbona amewashonea vijana wa taifa suti ngoko zote nje..na kwanini hawa vijana wengine hawajanunuliwa soksi. Ni ajabu sana..
View attachment 1121104View attachment 1121106