masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,882
- 13,168
Wizi uliohalalishwa unaitwa biashara.Wewe umeajiriwa na Magufuli hizo pesa utazipata wapi? Kama unazo wewe lazima ni mwizi, na siku si nyingi utakufa kwa stress na utarudishwa kwenu ziwani!!
Uwe na akili ya kutosha kuelewa hilo.
Hapa unajipangia gharama na faida yako, na kodi unalipia wizi huo.
Na ndio maana tuna kupa RIP ungali hai, maana umeshakufa, kiwiliwili chako chavuja jasho tu.