BekaNurdin
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 2,267
- 2,041
Kifo ni mwisho wa ujanja wa mwanadamu!
Baada ya Makonda Huyu Kandoro ndio RC
Maarufu zaid katika Miaka ya karibuni
Allah amsamehe Makosa yake Na AMPE Kauli thaabet huko aliko
siwezi kujisahau kwani natabua hilo ila walevi wa madaraka hujisahau
USITUTISHE,USITUTISHE,USITUTISHE....vifo kama hivi ni reminder kwa watawala kuwa kuna kufa....hakuna aishie milele...na hivyo tuache kutishana.....
Alazwe mahala pema peponiImethibitishwa Abass Kandoro hatunaye tena. Source inasema alihamishiwa Hospitali ya Muhimbili mapema leo baada ya hali yake kubadilika katika Hospitali Benjamin Mkapa ya Dodoma.
Kandoro amewahi kuwa katika nafasi ya ukuu wa Mkoa katika zaidi ya Mikoa Sita Tanzania Bara ikiwemo Dar es salaam, Arusha, Mwanza Singida na Mbeya.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alipomtembelea Mkuu wa Mkoa Mstaafu, Abbas Kandoro hospitali ya Benjamin Mkapa mjini Dodoma, Aprili 25, 2018.
********************** UPDATES I Aprili 28, 2018 ************************Rais Magufuli ametuma salamu za rambirambi kwa familia, ndugu jamaa na marafiki wa aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Abbas Kandoro.
----
Mwili wa Abas Kandoro ukiingizwa kwenye msikiti wa Manyema kwa ajili ya kuswaliwa kabla ya kuelekea nyumbani kwake Mbweni utakapoagwa na kusafirishwa kuelekea kijiji cha Ihemi mkoani Iringa kwa mazishi yatakayofanyika hapo Kesho.
kipaumbele chake kili kuwa ni usafi kila mkoa alioongoza. sasa ayo maji ya kwenye vikaratasi yalikuwa ni chanzo kikubwa cha uchafu dar aliyapiga marufuku ndio yakawa dubbed "kandoro".Ilikuaje yakaitwa jina lake ?
Ukisikia mtu anaongelea uchochezi jua ni kati ya wale walioishiwa hojaInawezekana kuwa uko sahihi kuwa kuna walevi wa madaraka...lakinipia kumbuka wako walevi wa uchochezi, dharau, udhalilishaji, kutumika na kulalamika kwa kila kitu
mimi kaka yako tena naweza kukuoa kabisa
uwe na heshima
Jibu swali, umezaliwa 2000 na ngapi? Kandoro si juzi kati alikuwa mkuu wa mkoa wa Dar kama ulikuwa mtoto ebu toa shkamoo kwa wakubwa zako
Kuwa na akiba ya maneno mkuu.
Hakuna wa kukibeza kifo, ndo adui wa mwisho kwa kila binadamu.
Huyu marehemu Abbas Kandoro kwa tuliomfahamu alikuwa mtu mwema, na kumbukumbu hiyo inaishi hata baada ya kifo
Na si ukatili tu jumlisha na ulimbukeni na showoff za kumwagaInategemea umaarufu wa nini hata Idi Amini alikuwa maarufu,
umaarufu wa Kandoro ulitokana na utendaji kazi wake uliotukuka tofauti na Bashite unaotokana na ukatili wake.
Alikuwa mkali sana lakini mwingi wa hekima na busara, mchapa kazi kweli kweli, aliwaamini sana wasaidizi wake huku akimwachia kila mtu kutekeleza majukumu yake, aliijua vyema sana teamwork na ilimsaidia. Pia hakuweka siasa sana kwenye kazi. Awamu hii mambo yamebadilika sana na wasaidizi wote wanaucheza muziki wa mkulu.Kandoro pamoja na kuwa RC lakini alikuwa mtu mwenye roho nzuri. Aliwaongoza watu bila ya kuwanyanyasa kutokana na ufuasi wao wa vyama vya siasa, tofauti na wakuu wengine wengi wa mikoa.
Mungu mwenye huruma amjalie pumziko jema.
Wewe ndobhuwezi elewa kitu.Akiba ya maneno huwekewa wale waliojitambua sio nyie wabembeleza vyeo; Magufuli kawakalia kooni wanaume wazima mnashindwa kumwambia ukweli!! Kifo ni adui kwa nyinyi mnaojisahau lakini kwa sisi wengine kifo ni faradhi!!! Umeelewa?
Ungejua nina pesa kuliko mkoloni ungeshangaa