dubu
JF-Expert Member
- Oct 18, 2011
- 3,496
- 3,461
Salaam Wakuu,
Kwa wale mnaomfahamu Mhando, aliyekuwa mhasibu mkuu wa Mkoa Dar Es Salaam (chief accountant) amefariki Dunia Hospitali ya Mloganzila.
Mhando amestaafu na kuagwa na Wafanyakazi mwezi mmoja ulioisha.
Pichani, Shabani Mhando akisalimiana na RC Makonda siku alipowasili kuanza kazi rasmi kama Mkuu wa Mkoa wa Dar.
Mungu aweke Mahali pema Peponi roho ya Marehemu.
Kwa wale mnaomfahamu Mhando, aliyekuwa mhasibu mkuu wa Mkoa Dar Es Salaam (chief accountant) amefariki Dunia Hospitali ya Mloganzila.
Mhando amestaafu na kuagwa na Wafanyakazi mwezi mmoja ulioisha.
Mungu aweke Mahali pema Peponi roho ya Marehemu.