Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,867
#TANZIA Aliyewahi kuwa Mbunge wa Vunjo Kilimanjaro kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) , Aloyce Kimaro amefariki dunia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
RIP......what is the cause of death...#TANZIA Aliyewahi kuwa Mbunge wa Vunjo Kilimanjaro kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) , Aloyce Kimaro amefariki dunia.View attachment 1435556
Labda respiratory difficulties!RIP......what is the cause of death...
Subiria uone namna atakavyozikwa, utaelewa tu.RIP......what is the cause of death...
Siku hizi kila chanzo kinaaminika blooChanzo cha kifo alafu now dyz Jf habari zinachelewa niliona hii habari fb nikaipuuza maana ilitoka kwenye chazo sio cha kuaminika
Dah R I P, huyu mzee alikuwa bold sana#TANZIA Aliyewahi kuwa Mbunge wa Vunjo Kilimanjaro kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) , Aloyce Kimaro amefariki dunia.View attachment 1435556
Siku hizi kila chanzo kinaaminika bloo
Kweli mjumbe watu wako deepMange na bloo kigogo wanatoaga habari zingine ukosa kuziamini mpk unabidi uzime data na kutubu
sipati picha jiwe akikata moto utakavyofurahi.vipi utahudhuria mazishi?Analiwa denge mwenyekiti wao! Mwambieni atubu.
je habari za misiba zitawasaidia Chadema kupanda kisiasa?#TANZIA Aliyewahi kuwa Mbunge wa Vunjo Kilimanjaro kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) , Aloyce Kimaro amefariki dunia.View attachment 1435556
Naomba wanipe jukumu la kuichimba kaburi yake ili niifikishe 12 feet down the groundsipati picha jiwe akikata moto utakavyofurahi.vipi utahudhuria mazishi?
Sent using Jamii Forums mobile app
hii kitu inakula wao tu au na wengine ndaniWana siasa wana pepea kama upepo