THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,373
- 12,822
upepo tuh huu utapita
Na sijui aliingiaje KKKT kwakua kuna tetesi kua ni Muislamu!
Katika kule tunaposema ni kulindana na nani amfunge Paka Kengele ni kua kuna yule bwana aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) kwa takribani miaka 20, Amani Mwenegoha naye ameukwaa ukuu wa wilaya.
Huyu mtu alikuwa na kesi ya kula hela za Kanisa; hapa napata mshtuko kuhusiana na kulindana huku.