Karne
JF-Expert Member
- Jun 13, 2016
- 7,473
- 12,153
Hayo ni yako ila wafia chama wanaojulikana humu hawatambui huo uwezo binafsi wala mchango wake baada ya 2015!Kwa taarifa yako, uimara na kukubalika kwa cdm ilikuwa ni uwezo binafsi wa Slaa kujenga hoja. Mbowe alikuwa anatembelea nyota Slaa na ndio maana Slaa kaondoka Mbowe kaishia kuchemsha na kuomba maridhiano yasiyo na kichwa wala miguu. Huyo Mashinji alikuwa takataka kama takataka nyingine.
Naheshimu maoni yako.