Mukulu wa Bakulu
JF-Expert Member
- Aug 12, 2014
- 4,052
- 12,906
Amefanya jambo jema sana. Maana njaa ingemuua
Hakuukosa, muda wake uliisha!Hahahahahaaaaa,baada ya kuukosa ukatibu mkuu!
CHADEMA walisema huyu ndio katibu msomi kuliko wote dunianiMadaktari njaa sana aiseeeh! Hawaoni aibuu!?
Actually huyu alishaunga juhudi toka akiwa Katibu Mkuu CHADEMA, anachofanya ni kuhitimisha tu!
Kama kuna mtu anajua Mashinji akiwa katibu mkuu alifanya kipi kuimarisha CHADEMA aniambie! Karibu kundini
Well said and well put ila wenye chuki watakuja na maneno ya matusi na kashfa. Wewe subiri tu, utawaona muda si mrefu.Karibu CCM Dr.Haki yake kikatiba.aende tu
Kwahiyo ile Kesi yake iliyokuwa ikimkabili Yeye na Viongozi ( Wabunge ) wa CHADEMA atakuwa ameshanusurika nayo au atakuwa akiendelea Kuihudhuria huku akiwa amevalia Sare ya Chama chake Kipya?
Kweli kabisa,ndio alikua anaanza kupotea,kajiwahi mapema!Imagine asingepewa cheo Chadema then ahamie CCM sijui nani angemfahamu. Naona kawahi mapema kabla hawajamsahau!
.Mkuu wacha tuKwahiyo ile Kesi yake iliyokuwa ikimkabili Yeye na Viongozi ( Wabunge ) wa CHADEMA atakuwa ameshanusurika nayo au atakuwa akiendelea Kuihudhuria huku akiwa amevalia Sare ya Chama chake Kipya?