Aliyewahi Kutumia tv aina ya Star x na Evvoli

monotheist

JF-Expert Member
Apr 30, 2017
719
920
Wajuvi wa teknolojia vipi ubora na uimara wa hizi tv aina ya Star x na Evvoli maana bei naona ni kitonga mno kulingana na bajeti yangu

Ni mpya inch 32

Star x led tv = Tsh 330,000
Star x smart tv = Tsh 370,000
Evvoli led tv = Tsh 350,000
Evvoli smart tv = Tsh 380,000
 
Star x ni tv ngumu kwa body zake ila ubovu wao upo kwenye quality ya picha,kama ni mtu unayependa picha nzuri syo chaguo sahihi ila kama ni mtu wa vitu vigumu kuharibika hapo umefika
Angalia na kin'gamuzi unachotumia mkuu,isijekuwa unatumia vin'gamuzi vyenye HD low quality ukasingizia shida ni TV,jaribu kutumia DSTV kwenye Star X halafu ulete mrejesho...
 
Star x ni tv ngumu kwa body zake ila ubovu wao upo kwenye quality ya picha,kama ni mtu unayependa picha nzuri syo chaguo sahihi ila kama ni mtu wa vitu vigumu kuharibika hapo umefika

Hii brand ya star x msiichukulie poa, south africa huwambii kitu juu ya hii brand

Ubora wa picha ziko safi sana, ukinunua star x jitahidi upate ile yenye mark ya masadubai.

shukrani
 
Kujua ubora wa picha ni utaalamu. wabongo wao kila tv ni nzuri ilimradi tu eti kaiweka kwenye dstv.

Kuangalia picha na kujua ubora ni aghalabu uwe mtaalamu au upewe TV zaidi ya moja kwa wakati mmoja ukar uziangalie.

Kwa mfano kaa na tecno yako, utaisifia kioo sana na picha zake. Lakini tafta hata samsung s4 tu, a10, j4 weka video sawa na simu yoyote ya tecno, ukianza na hizi spark, paviour ndio utajua utofauti wa rangi, picha na ubora
 
Nunua hisense kama suala ni bei. Model ile ya 6100 au 5100. Kama sio bei angalia TCL S 6800 imetoka na android
Wajuvi wa teknolojia vipi ubora na uimara wa hizi tv aina ya Star x na Evvoli maana bei naona ni kitonga mno kulingana na bajeti yangu

Ni mpya inch 32

Star x led tv = Tsh 330,000
Star x smart tv = Tsh 370,000
Evvoli led tv = Tsh 350,000
Evvoli smart tv = Tsh 380,000
 
Hii brand ya star x msiichukulie poa, south africa huwambii kitu juu ya hii brand

Ubora wa picha ziko safi sana, ukinunua star x jitahidi upate ile yenye mark ya masadubai.

shukrani
Fafanua vizuri mkuu ndo model gani hiyo?
 
Kujua ubora wa picha ni utaalamu. wabongo wao kila tv ni nzuri ilimradi tu eti kaiweka kwenye dstv.

Kuangalia picha na kujua ubora ni aghalabu uwe mtaalamu au upewe TV zaidi ya moja kwa wakati mmoja ukar uziangalie.

Kwa mfano kaa na tecno yako, utaisifia kioo sana na picha zake. Lakini tafta hata samsung s4 tu, a10, j4 weka video sawa na simu yoyote ya tecno, ukianza na hizi spark, paviour ndio utajua utofauti wa rangi, picha na ubora
Umenena mkuu..sasa kwa wanaojua picha ,starx picha kali kaanza kua nayo lini? Watu hata view angle hawajui...hizi star x ni kituko kama tecno tu
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom