MTAKA HABARI
Senior Member
- Jan 17, 2019
- 123
- 149
Mi naona ni kama mkuu hajui chochote kuhusu utekaji unaoendelea nchini.
Anahusika Huyo ndo anawatuma akina bashite na jerryAliwahi kumwambia IGP kuwa “wananchi siyo wajinga”, Siro akasema baada ya siku tatu atatoa taarifa za uchunguzi wa kutekwa kwa Mo, ni miezi imeisha sasa
Mi naona ni kama mkuu hajui chochote kuhusu utekaji unaoendelea nchini.
Sometime kuzuga kumo mkubwa ukimess up!Aliwahi kumwambia IGP kuwa “wananchi siyo wajinga”, Siro akasema baada ya siku tatu atatoa taarifa za uchunguzi wa kutekwa kwa Mo, ni miezi imeisha sasa. Lakini suala likimuhusu Bashite mkuu ni kama anaishiwa nguvu kabisa!
Hajui au ndio master??Mi naona ni kama mkuu hajui chochote kuhusu utekaji unaoendelea nchini.