Mdomo bakuli
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 3,443
- 6,986
Mkuu cheki na Jamaa anaetibu huu ugonjwa namba yake ni
0655 821 550
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu cheki na Jamaa anaetibu huu ugonjwa namba yake ni
SawaaaMkuu cheki na Jamaa anaetibu huu ugonjwa namba yake ni
0655 821 550
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuuKukaa muda mwingi chooni kutokana na tatizo la kuharisha au tatizo la kukosa haja kabisa na kuwa na choo kigumu sana ndio hasa upelekea tatizo hili..
Kwa hyo mkuu epuka pia swala la kuharisha kwa kula chakula safi na salama.
Pia nakushauri jaribu kutumia dawa za tiba asilia za kutengeneza mzunguko wa damu vizur. Dawa hizo huwa na mchanganyiko wa kahawa.
Pia kama tatizo limekua kubwa sana, suluhisho ni upasuaji tu kwenda kukakata.
Pia endelea kula matunda na fanya mazoezi madogo madogo.
Hiyo hali ya kukaa sana wakati wa kazi haifai sana so, jitahid utumie kahawa za watu wa tiba asilia, ili kuimalisha mzunguko mzur wa damu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umri ulikuwa na uhusiano gani mkuu samahani?Kukaa muda mwingi chooni kutokana na tatizo la kuharisha au tatizo la kukosa haja kabisa na kuwa na choo kigumu sana ndio hasa upelekea tatizo hili..
Kwa hyo mkuu epuka pia swala la kuharisha kwa kula chakula safi na salama.
Pia nakushauri jaribu kutumia dawa za tiba asilia za kutengeneza mzunguko wa damu vizur. Dawa hizo huwa na mchanganyiko wa kahawa.
Pia kama tatizo limekua kubwa sana, suluhisho ni upasuaji tu kwenda kukakata.
Pia endelea kula matunda na fanya mazoezi madogo madogo.
Hiyo hali ya kukaa sana wakati wa kazi haifai sana so, jitahid utumie kahawa za watu wa tiba asilia, ili kuimalisha mzunguko mzur wa damu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu! Achana na hao wanaotaka pesa zako ili upone... mimi nakupa tiba ya bure kabisa sitaki hata mia yako kwa sababu mimi pia nilipatwa na ugonjwa huu na nikapata tiba humu mitandaoni sijalipia hata mia zaidi ya bando tuuu... Nenda duka la madawa ya asili popote unapopataka mimi sina duka... ukanunue mafuta ya Nyonyo(Castrol oil) uwe unapakaza hapo kwenye shida kila siku wakati unataka kulala mpaka iondoke yenyewe... mimi nimepona kabisa kwa tiba hiyo na haijachukua hata wiki...Habari wakuu,
Nimekuwa nikinywa sana maji, kula mboga za majani na matunda. Naomba kama mtu ambaye alishawahi kuumwa bawasiri/hemorrhoids na akapona kabisa, anijuze alifanya nini akapona.
Ahsanteni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante sana mkuu. Nitaijaribu.Mkuu! Achana na hao wanaotaka pesa zako ili upone... mimi nakupa tiba ya bure kabisa sitaki hata mia yako kwa sababu mimi pia nilipatwa na ugonjwa huu na nikapata tiba humu mitandaoni sijalipia hata mia zaidi ya bando tuuu... Nenda duka la madawa ya asili popote unapopataka mimi sina duka... ukanunue mafuta ya Nyonyo(Castrol oil) uwe unapakaza hapo kwenye shida kila siku wakati unataka kulala mpaka iondoke yenyewe... mimi nimepona kabisa kwa tiba hiyo na haijachukua hata wiki...
Sent using Jamii Forums mobile app
nainunuaje msaada tafadhariMkuu kula sna matunda,na cabbage m nakulaga SNA matunda maembe,mapapai na cabbage inasaidia sna acha vyoo vya kukaa piga sna maji
Jaribu na hii utaipata amazon inasaidia snaView attachment 993473
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba msaada wa namba ya huyo Dr. inboxPole mkuu ila kuna uzi humu ndani unaelezea vizuri kabisa ugonjwa huu na tiba zake na pia kuna mtaalam mmoja yuko dar anatibu kabisa na unapona mkuu, kuna jamaa yangu alimtumia akapona kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo kwenye dalili rekebisha mkuu...nadhani unamaanisha KINYESI kunuka DAMU wakati wa kujisaidia na si DAMU kunaka KINYESI wakati wa kujisaidia*BAWASIRI/MGOLO*
Bawasiri ni ugonjwa unaotokea katika njia ya haja kubwa, hujitokeza kama uvimbe au kijinyama ambacho huweza kuonekana hadi nje.
Kwa kiingereza hujuliakana kama piles.
Na kitaalam hujulikana kama hemorrhoids
AINA ZA BAWASIRI
BAWASIRI YA NJE
Aina hii ya bawasiri hutokea katika eneo la mwisho kabisa la mfereji wa haja kubwa, na huambatana na maumivu, pamoja na kuwashwa kwa ngozi katika eneo hilo. Mara nyingine mishipa hiyo ya damu (vena) hupasuka na damu huganda na kusababisha aina hii ya bawasiri kitaalamu inaitwa Thrombosed hemorrhoid.
BAWASIRI YA NDANI
Aina hii ya bawasiri hutokea ndani ya mfereji wa haja kubwa. Na huwa haimbatani na maumivu.
Aina hii imeainishwa katika mainisho ya madaraja manne yafuatayo:
Daraja la 1 - Bawasiri kutotoka katika mahali pake pa kawaida
Daraja la 2 - Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na kurudi yenyewe baada ya haja.
Daraja la 3 - Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na mtu kuweza kuirudisha mwenyewe baada ya haja.
Daraja la 4 - Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na vigumu mtu kuirudisha baada ya haja.
www.sangidaherbal.blogspot.com
BAWASIRI HUSABABISHWA NA NINI?
Kufunga choo au kupata choo kigumu kwa muda mrefu
Ujauzito – wakati wa ujauzito watu wengine wanaweza kupatwa na bawasiri sababu ya msukumo wa mtoto karibu na sehemu ya kutolea haja kubwa
Kushiriki mapenzi kinyume na maumbile
Uzee – kadri miaka inavyosogea ndivyo inavyokuwa rahisi kwako kupatwa na ugonjwa huu kwa baadhi ya watu
Sababu za kurithi – baadhi ya watu wanaweza kurithi udhaifu wa ukuta huo wa njia haja kubwa ingawa ni asilimia ndogo sana.
Kuharisha sana kwa muda mrefu
Kutumia vyoo vya kukaa
Kunyanyua vyuma vizito
Mfadhaiko/stress
Uzito na unene kupita kiasi.
DALILI ZA BAWASIRI
Maumivu wakati wa kujisaidia haja kubwa
Damu kunuka kinyesi wakati wa kujisaidia
Muwasho sehemu ya tundu la haja kubwa
Uvimbe au kinyama kujitokeza sehemu ya tundu la haja kubwa
Haja kubwa yaweza kujitokea tu muda wowote
ATHARI ZA BAWASIRI
Upungufu wa damu mwilini
Kutokwa na kinyesi bila kijitambua
Kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa
Kupungukia nguvu za kiume (kwa wanaume)
Kupungukiwa na uwezo wa kufanya kazi kutokana na maumivu
Kupata tatizo la kisaikolojia
NJIA ZA KUJIKINGA DHIDI YA BAWASIRI
Kula mboga za majani na nafaka zisizo kobolewa kwa wingi
Kunywa maji mengi lita sita hadi kumi na mbili kwa siku
Acha kufanya ngono kwa kutumia tundu la haja kubwa (kulawitiwa)
Punguza kukaa chooni kwa muda mrefu, kunaweza kuongeza shinikizo katika njia ya haja kubwa.
Kwa ushauri na dawa za magonjwa mbalimbali wasiliana nami
+255 655 821 550
Sulayman Sangida
Sent using Jamii Forums mobile app
yako ipoje mi nilipona bila dawa bila upasuaji ka uvimbe pembeni ya haja kubwa ila ongrza mapapai na ndizi pia fanya kama unakimasaji kama kukikanda kwa kuzungusha
kisababishi kikuu ni kuwa na haja kubwa ngumu inafanya misuli ijikusanye na kuleta uvimbe
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hapo kahawa zawatu watiba asili unamaanisha nnKukaa muda mwingi chooni kutokana na tatizo la kuharisha au tatizo la kukosa haja kabisa na kuwa na choo kigumu sana ndio hasa upelekea tatizo hili..
Kwa hyo mkuu epuka pia swala la kuharisha kwa kula chakula safi na salama.
Pia nakushauri jaribu kutumia dawa za tiba asilia za kutengeneza mzunguko wa damu vizur. Dawa hizo huwa na mchanganyiko wa kahawa.
Pia kama tatizo limekua kubwa sana, suluhisho ni upasuaji tu kwenda kukakata.
Pia endelea kula matunda na fanya mazoezi madogo madogo.
Hiyo hali ya kukaa sana wakati wa kazi haifai sana so, jitahid utumie kahawa za watu wa tiba asilia, ili kuimalisha mzunguko mzur wa damu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu unaweza ukawa unaifahamu tiba ya vagna wart, kama unaifahamu unaweza nisaidia
Mkuu unaweza ukawa unaifahamu tiba ya vagna wart, kama unaifahamu unaweza nisaidia
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu inauzwa bei gani hiyo dawa*SIRAAJUL MUNIYR HERBS MEDICINE*
*UTWAARID*
NI DAWA MUJARABU KWA MATATIZO YAFUATAYO
BAWASIRI
KUKOSA CHOO
*MATUMIZI*
KOROGA KIJIKO KIDOGO(CHA CHAI) KWA MAJI MOTO AU MAZIWA AU UJI KIKOMBE KIMOJA KUTWA X 3 SIKU 14.
*NB* :UTATUMIA PAMOJA NA MAFUTA YA NYONYO KUPAKA SEHEMU HUSIKA
Kwa ushauri na tiba za maradhi mbalimbali wasiliana nasi
+255 655 821 550
Sulayman Sangida---Dar es Salaam
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ujue nilitokewa navisundosundo pale yanapootea mavuzi nilikaa navyo sana badae vikaanza kupotea vikabakia kama viwili hivi, sasa nashangaa mpenzi wangu kimemtokea kwenye kiharage kabisa ndio nimepata wasiwasi, kuna mtu nilimuelezea akaniambia ni vagina wart ndio sasa tiba yake nilihitaji kuifahamu me nimwanaumeNdio tiba yake unatibu kama gonjwa la zinaa.
Ukienda duka la dawa unawaambia wakupe muunganiko wa dawa nne za kutibu gonjwa la zinaa.
Yan...
Metronidazole
Doxyciline
Amoxiciline na
Ciproflaxin. Zote unatumia.
Sent using Jamii Forums mobile app