Habari ndugu zangu,
Nishaibiwa zaidi ya mara tatu kwenye uwizi wa majumbani na kutapeliwa lakini hili limeniuma la kuvunjiwa na kuibiwa vitu vingi.
Kwa uchunguzi wa awali nimegundua anaweza akawa mtu anaenifahamu. Nataka nitumie njia yoyote ile halali na haramu asili na ya kisasa nimpate hutu mtu.
Kama kuna mtu ana ushuhuda alipata vitu alivyoibiwa kwa njia zingine mimi nipo tayari
Nishaibiwa zaidi ya mara tatu kwenye uwizi wa majumbani na kutapeliwa lakini hili limeniuma la kuvunjiwa na kuibiwa vitu vingi.
Kwa uchunguzi wa awali nimegundua anaweza akawa mtu anaenifahamu. Nataka nitumie njia yoyote ile halali na haramu asili na ya kisasa nimpate hutu mtu.
Kama kuna mtu ana ushuhuda alipata vitu alivyoibiwa kwa njia zingine mimi nipo tayari