Trust None
JF-Expert Member
- Feb 12, 2018
- 1,260
- 4,415
Ndugu zangu, bado wiki moja tu ya kufanya maamzi sahihi kwa yule aliyekuwa anatuona watu wa kawaida.
Kimsingi sisi ni watu wa juu na tutabakia juu kileleni.
- Alitutumbua nasi twendeni tumtumbue
- Alitunyima ajira nasi twendeni tumnyime ajira
- Alikataa kutuongezea mishahara nasi tusimwongezee, mshahara wa mwezi huu uwe wa mwisho
- Maisha yamekuwa magumu mtaani nasi tumrudishe mtaani akajionee alichotufanyia.
TUNAMKUMBUSHA KUWA AHADI NI DENI, kashindwa kulipa basi tumpuzishe tarehe 28/10/2020.
Kimsingi sisi ni watu wa juu na tutabakia juu kileleni.
- Alitutumbua nasi twendeni tumtumbue
- Alitunyima ajira nasi twendeni tumnyime ajira
- Alikataa kutuongezea mishahara nasi tusimwongezee, mshahara wa mwezi huu uwe wa mwisho
- Maisha yamekuwa magumu mtaani nasi tumrudishe mtaani akajionee alichotufanyia.
TUNAMKUMBUSHA KUWA AHADI NI DENI, kashindwa kulipa basi tumpuzishe tarehe 28/10/2020.