sinafungu
JF-Expert Member
- Feb 13, 2010
- 1,524
- 863
MTUHUMIWA Mkuu wa kashfa kubwa iliyowahi kuitingisha nchi na Wizara ya Maliasili na Utalii ya kusafirisha wanyama hai wapatao 130 nje ya nchi, Kamran Ahmed (30), anashikiliwa na Polisi mkoani Arusha kwa tuhuma za kukutwa na fedha bandia kiasi cha shilingi milioni 18.