Habarini wana jamvii,
Naomba kuuliza HV m2 alietoka form 6 kombi za sayansi akahitaji kwenda kupiga kozi za afya Kama pharmacy, Clinical Officer, nae atasoma miaka 3 au 2?
Maana nimesikia sikia kua waliopita. Advance wanasoma miaka2 je nii kweli?
Naombeniii msaada wenuu mdogo wetuu hukuu yupo dilemma.
Naomba kuuliza HV m2 alietoka form 6 kombi za sayansi akahitaji kwenda kupiga kozi za afya Kama pharmacy, Clinical Officer, nae atasoma miaka 3 au 2?
Maana nimesikia sikia kua waliopita. Advance wanasoma miaka2 je nii kweli?
Naombeniii msaada wenuu mdogo wetuu hukuu yupo dilemma.