nanjanga
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 328
- 110
Aliyetishia kumuua Trump mitandaoni aonja joto la jiwe Aliyetishia kumuua Trump mitandaoni aonja joto la jiwe | MPEKUZI
Umesoma hiyo habari ? Hao maafisa usalama wamemfanya nini huyo muhusika ?Kumbe Trump anamuiga Magufuli?
Umesoma hiyo habari ? Hao maafisa usalama wamemfanya nini huyo muhusika ?
Kakuambia nani??! kwanza jiulize kwa nini wao wamemfata kwake?? Na sio kumuita na kumuhoji..kitendo cha kwenda kwake kwanza ni kujiridhisha..hapo walikuwa wanaongea nae sitting room lakini walikuwa wanaona hadi alichoweka kwenye begi chumbani..pili huyo mtoto kwa sasa yupo chini ya uangalizi bila yeye kujijua..marekani huwa haicheck na hao watu hata kidogo..ndio maana pamoja na aina zote za ulinzi walio nao wangeweza kupuuza tu na kumuacha..ila wamemtafuta hadi kwake..hapo kazi ndio imeanzaBila shaka hajasoma mkuu, yeye alivyoona tu hiyo heading akakimbilia kusema anamuiga Magufuli.
Wenzetu huwa hawachukulii serious sana vitisho vya mitandaoni wanajua ni mihemko tu, tofauti na hapa kwetu huyo jamaa sasahivi angekuwa pamoja na Lema.
Kakuambia nani??! kwanza jiulize kwa nini wao wamemfata kwake?? Na sio kumuita na kumuhoji..kitendo cha kwenda kwake kwanza ni kujiridhisha..hapo walikuwa wanaongea nae sitting room lakini walikuwa wanaona hadi alichoweka kwenye begi chumbani..pili huyo mtoto kwa sasa yupo chini ya uangalizi bila yeye kujijua..marekani huwa haicheck na hao watu hata kidogo..ndio maana pamoja na aina zote za ulinzi walio nao wangeweza kupuuza tu na kumuacha..ila wamemtafuta hadi kwake..hapo kazi ndio imeanza
Haahaaahaaaaa umenifurahisha kwa mkurupuko huu.Kumbe Trump anamuiga Magufuli?
Maafisa walifika kwa aliyepost kumuuwa Trump. Alidai ilikuwa utani tu na waliondoka hawakumfanya chochote.Kumbe Trump anamuiga Magufuli?