Aliyetakiwa kuwa Rais wa Tanzania

Sungi

Senior Member
Apr 29, 2009
149
47
IMG_3225.jpg


Dr. Salim Ahmed Salim (kushoto).
 
Muunganishi (yupo pichani na Kabwe, an opposition party leader), experienced, non-partisan, love for country ... and brought respect to our country ... Dr. Salim A. Salim a recognized name who brought recognisition to the country he is from. Kwa kifupi ni mimi nafikiri angetakiwa kuwa Rais wa nchi yangu Tanzania ... so sad he will "probably not" be my president.
 
Last edited:
Muunganishi (yupo pichani na Kabwe, an opposition party leader), experienced, non-partisan, love for country ... and brought respect to our country ... Dr. Salim A. Salim a recognized name who brought recognisition to the country he is from. Kwa kifupi ni mimi nafikiri angetakiwa kuwa Rais wa nchi yangu Tanzania ... so sad he will "probably not" be my president.
Wengi walipenda na wangependa huyu jamaa awe Rais. Uwezo anao, na is influencial and very experienced learder! Hivi wewe hujui kwa nini hakuwa Rais? Muulize privately FM-Es; hii ilishakuwa discussed before na veterans hapa.

In short, he is not "African Enough"; and most people I spoke to them and at the top had sentiments that way.

Dr. Salim needed a factor which Mr. Clean had in the campaign; Mr. Nyerere was the factor (if Nyerere had lived to 2005).
 
Sio Lazima Uchangie kama huna HOJA Kaka!
Unaweza ukakaa kimya ujifunze nidhamu ya utoaji maoni Kitu kidogo Mnaanza Ubaradhuli hayo ya Pemba yametokea wapi? ndio maana Koffi anan alitudharau sasa nimeshagunduwa
 
Wengi walipenda na wangependa huyu jamaa awe Rais. Uwezo anao, na is influencial and very experienced learder! Hivi wewe hujui kwa nini hakuwa Rais? Muulize privately FM-Es; hii ilishakuwa discussed before na veterans hapa.
In short, he is not "African Enough"; and most people I spoke to them and at the top had sentiments that way.
Dr. Salim needed a factor which Mr. Clean had in the campaign; Mr. Nyerere was the factor (if Nyerere had lived to 2005).

Mkuu kuna mtu mmoja (now retired) very senior alinidokeza kwamba baada ya Salim kukosa urais 1985 kwa Ali Hassan Mwinyi, hayati Nyerere alimtaka Salim arudi toka OAU agombee kwenye kinyanganyiro cha 1995 lakini Salim akasita ndio maana Mwalimu akambeba "Mr. Clean". Ni kweli 2005 bila Nyerere factor Salim asingefua dafu. Kumbuka kura karibu zote alizopata kwenye mchakato wa CCM 2005 inasemekana zilitoka Bara. Visiwani bado wanafikiri Salim ni msaliti wa Mapinduzi ya 1964!
 
Wengi walipenda na wangependa huyu jamaa awe Rais. Uwezo anao, na is influencial and very experienced learder! Hivi wewe hujui kwa nini hakuwa Rais? Muulize privately FM-Es; hii ilishakuwa discussed before na veterans hapa.
In short, he is not "African Enough"; and most people I spoke to them and at the top had sentiments that way.
Dr. Salim needed a factor which Mr. Clean had in the campaign; Mr. Nyerere was the factor (if Nyerere had lived to 2005).


upo 100%
 
Mimi naona kwa ccm hakuna hata mmoja anaefaa kuwa Rais,sasa sijui haya mawazo yangu ni sawa. hata Rais wetu mtarajiwa kwa upande wa znz Maalim seif akigombea kwa upande wa ccm,sitomkubali kabisa. yaani ccm wakieka mgombea na upinzani ukaweka jiwe basi mimi nitapigia jiwe...
 
CCM imekwisha na haina dira kiuongozi ,hata akitokea bilisi kuwaonyesha njia abora bado wao watafikiria ni vipi watakwiba ,hivi sasa viongoiz wa CCM wanafikiria ni vipi watazidi kujiimarisha kimaslahi kuliko kuongoza binadamu,hapa tulipo tu kama utachunguza kuanzia Raisi aliyepo madarakani na waliopita kila mmoja utaona ana kamradi ambacho si cha kawaida mbali ya mikataba isiyofungamana na serikali ambayo huwa wanapokea posho au kwa kiMisri wanaita bakhshishi ya mamilioni ya fedha za kimarekani.Hivyo tusiweke tamaa ya maisha bora wala maisha rahisi ,njia ni moja tu kubadili Katiba ya Nchi ili tuweze kujiondoa katika matope haya ya CCM.
 
.....
In short, he is not "African Enough"; and most people I spoke to them and at the top had sentiments that way.
Dr. Salim needed a factor which Mr. Clean had in the campaign; Mr. Nyerere was the factor (if Nyerere had lived to 2005).

Nikumbukavyo mimi ni kuwa alikosa u katibu mkuu UN kwa sababu alikuwa mwafrika na pia Mtz!, sasa tena inaelekea alikosa u rais wa Tz kwa sababu hakuwa mwafrika kamili!, Ama kweli duniani kuna mambo!
 
..Salim Salim alikataa kuwa Makamu wa Raisi wa Mkapa baada ya kifo cha Dr.Omar Ali Juma.
 
Game Theory said:
All i know SALIM ni mwandishi mzuri sana wa DIARY hivyo I am patiently waiting for his MEMOIRS

Game Theory,

..kuna sehemu nilisoma mahojiano ya Salim Salim and he ruled out the possibility of writting a memoir.
 
Mimi nilikuwa kati ya watu waliompinga sana Salim. Nilikutana na Wa Ethiopia miaka michache iliyopita wakanieleza ni jinsi gani Salim alivyokuwa anabagua watu weusi na kupendelea watu wenye asili ya kiarabu, mimi sikuamini na kufuatilia nikagundua ni kweli wafanyakazi wa OAU walisha lalamikia hili swala. Pili sikuona kama Salim angeleta jipya kwa OAU haikufanya kitu na Salim alikuwa kwenye serekali kuanzia miaka 19 niliona hajui uchungu wa Mtanzania wa kawaida kwani amekuwa kwenye uongozi karibu maisha yake yote. Mimi nilikuwa napendelea mfanyabiashara awe raisi.
 
Mimi nilikuwa kati ya watu waliompinga sana Salim. Nilikutana na Wa Ethiopia miaka michache iliyopita wakanieleza ni jinsi gani Salim alivyokuwa anabagua watu weusi na kupendelea watu wenye asili ya kiarabu, mimi sikuamini na kufuatilia nikagundua ni kweli wafanyakazi wa OAU walisha lalamikia hili swala. Pili sikuona kama Salim angeleta jipya kwa OAU haikufanya kitu na Salim alikuwa kwenye serekali kuanzia miaka 19 niliona hajui uchungu wa Mtanzania wa kawaida kwani amekuwa kwenye uongozi karibu maisha yake yote. Mimi nilikuwa napendelea mfanyabiashara awe raisi.

rostam au lowassa?
 
In short, he is not "African Enough"; and most people I spoke to them and at the top had sentiments that way.

QUOTE]

du...hivi kwa walioshangilia urais..wa obama marekani ,tutasemaje???

wamarekani wakiona hii watajiuliza kwa nini hawakusema obama was not muzungu enough??!!

wakati wa uteuzi nakumbuka kubishana sana tukiwa kwenye ndege kuelekea KIA..tulikuwa na mmoja wa mzee mdhamini wa CCM ...alikuwa na furaha akitokea dodoma ...ambako ndio kwanza kampeni za kuomba uteuzi zikiluwa moto...wote tuliokuwa kwenye cabin pamoja na mzee huyu tulikuwa tukimuunga mkono salim .... yule mzee aliropoka akasema ...maneno ya kibaguzi ambayo naona kinyaa kuyaandika hapa lakini maudhui yake yanafupishwa na muono ulioweka hapa!!!

salim nafasi ya urais kwake ilikuwa wazi lakini kilichotunyima fursa ya kuwa na rais bora ni:-

-kampeni chafu chafu sana za mtandao[yalipikwa mengi], na kama salim basi ameamua kumsamehe kikwete kwa uchafu aliomfanyia ...basi atakuwa amepata heri na kujiwekea hazina hata peponi...

-BARAZA LA MAPINDUZI ,,,,..that being another factor ...salim amekuwa the president in waiting wa tanzania tangu mwaka 1985....lakini hawa wanaojiita baraza la mapinduzi[ilhal wakati okello anaongoza mapinduzi na wazalendo wachache kama natepe na kanali.,wao walikuwa wakitorokea dar na kungojea kuitwa ] wamekuwa wakimchukia sana salim na kusema kuwa yeye kuwa rais labda wao na kizazi chao [kama rais karume] ....wote wafe...wanamtandao kwa kutumia weakness hiyo waliwabeba hawa vikongwe na kumtisha mkapa kuwa kama salim anapitishwa basi wao wanarudi na AFRO SHIRAZ yao .,pia walijipanga na kuhakikisha kati ya kura takribani 500 za zanzibal [kati ya 1,500] za wajumbe salim hapati hata moja.
kwa kifupi pale chimwaga kikwete aliingia akiwa anauhakika wa kura 500 za zanzibar......na kubakia kugombea kura zilizobaki 1,000 za bara...ambapo ..waligawana kwa salim kuzoa kura 500, na kikwete akapata 300...na zaidi na zilizobaki mwandosya.....laiti kuwa za zanzibar zingeenda kwa salim...basi hali ingekuwa tofauti ...SALIM ANGEMSHINDA KIKWETE KWA KISHINDO NA KUPEPERUSHA BENDERA YA CCM.....

HATA HIVYO ZANZIBAR WAMEPOTEZA KWA MIAKA MINGI IJAYO FURSA YA KUTOA RAIS WA MUUNGANO...HASA BAADA YA KUMKATAA MGOMBEA AMBAYE ALIKUWA NA UUNGWAJI MKONO BARA.....ijulikane kuwa zaidi ya kuwa na asili ya pemba ..salim pia anayo mizizi TABORA kwa wajomba zake!!

-pia mtandao walifanikiwa kupata uungwaji mkono wa mkapa dakika za mwisho....,ambaye kabla hakuwa upande wake ,hiii ni baada ya wajumbe wa zanziba kumtahadharisha kuwa hawamtaki salim,na pia baada ya watu wa mtandao kumtishia "maisha"...na aliona iwapo wangeshinda bila yeye kuwapa msaada wangemsulubu[hata hivyo bado wamemsulubu sana tu].

-hotuba ya mwenyekiti kwenye mkutano mkuuu ilimpendelea "mgombea kijana" ,"anayeijuwa nchi"...hapo huitaji kujiluliza kama mwenyekiti wa taifa tayari alikuwa ametekwa nyara na mtandao......matokeo yakawa historia!!!!

SALIM ALIKUWA AKIUNGWA MKONO NA WATU WOTE WANAOPENDA UADILIFU..TUNAJUWA ALIDHULUMIWA...LAKINI AMEBAKI MWAMINIFU KWA CHAMA.....NA KWA WENGI ATABAKI KUWA RAIS MIOYONI MWETU....

"SALIM AHMED SALIM ...THE PRESIDENT OF OUR HEARTS"
 
Back
Top Bottom