Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 29,537
- 25,843
Chadema kwisha kazi yao.
Hata Al Bashiri wa Sudani na Yule wa Algeria walikuwa na mawazo kama yako! Hata Kagame na Museveni wanawaza kama wewe tu!Kama kafu ilishindwa kuchukua nchi visiwani na chadema ilishindwa kuchukua nchi bara, basi tusubiri miaka mingine 50 ili kupata upinzani mwingine siriazi
Sent using Jamii Forums mobile app
Takribani miaka 3 iliyopita nilipitia Thread moja ambayo mwandishi alitabiri kuwa ACT- Wazalendo kitakuwa chama kikubwa cha upinzani na hatimaye kuwa chama cha kwanza nchini Tanzania kuitoa CCM madarakani huko mbeleni. Nilimuona mwendawazimu, na sikukubaliana naye. Leo namuona aliona mbali sana, nami binafsi namuunga mkono.
Baada ya Maalim na wafuasi wake kujiunga ACT- Wazalendo, imekifanya chama hicho kuwa na mvuto wa pekee katika pande zote za Tanzania mpaka msajili na chama tawala hawalali usingizi. Wanasababu ya kufanya hivyo kwani sasahivi ni uhalisia kuwa chama hicho kipo karibu sana kuwa kimbilio la Watanzania.
ACT- Wazalendo watachukua dola 2025 kwa sababu zifuatazo:
Haluta kontinua- mpaka kieleweke- CCM nje 2025.
- Chama kimejikita katika utatuzi wa matatizo ya nchi yetu kuliko propaganda.
- Chama kimeingiza nguvu mpya (sunami) toka CUF, ambao ni timu makini katika mapambano (wasionunulika)
- Idiolijia ya chama ni madhubuti, inayolenga kutatua matatizo ya watanzania wote.
- Chama kinarekodi nzuri ya matumizi ya fedha zake kutokana na ukaguzi wa CAG, toka kisajiliwe.
- Chama hakina migogoro, kutokana na kuwa na viongozi dhabiti
- Chama hakijaundwa katika misingi ya kikanda hivyo kuwasilisha watanzania wote.
- Chama kina kiongozi kijana mwenye mtazamo chanya kwa vijana
- Bendera ya chama ina rangi ya purple ambaye ni rangi pendwa kwa wanawake, hivyo akina dada wengi watavutiwa na rangi hiyo na kujiunga nacho.
- Ni chama kisicho na papara wala mihemko pale matatizo inapokikabili
- Viongozi wake hueleza mambo magumu kwa lugha nyepesi na ya kueleweka kwa watanzania wote hata wenye shule hafifu.
ACT watapata kura nyingi Pemba ambazo ni sawa na kura za Jiji la Arusha tu mbunge mmoja huku pemba ikitinga mjengoni na zaidi ya wabunge 20 kwa idadi ile ile ya wapiga kura.
Kama kafu ilishindwa kuchukua nchi visiwani na chadema ilishindwa kuchukua nchi bara, basi tusubiri miaka mingine 50 ili kupata upinzani mwingine siriazi
Sent using Jamii Forums mobile app
1.Chama kina kiongozi kijana. Huyo kijana hazeeki?.
2. Matumizi ya Fedha ni swala la Muda tu. Kinavyozidi kua kikubwa ndipo makosa yataanza kujitokeza. Nk
3. Chama hakijaundwa kwa Misingi ya Kikanda?.
Ehee. Maalim Seif yupo pale kwasababu anataka Zanzibar Huru.
4. Timu makini kutoka CUF?. Real
Umakini upi?. Mbona walisahahu k umfuta uanachama Lipumpa. Akarudi kuwapindua na mahakamani akawashinda.
Sent using Jamii Forums mobile app
wewe pmja na huyo aliyetabir mko kundi moja, kma fact yako kubwa ina base kwa Maalim Seif, pole sana, kma ana mvuto huo hata chadema mwaka jana urais ungekuwa wao, au mbna yeye hadi sasa ni miaka 20 hajawa rais, naiona chadema kikiwa cha cha kwanza kutoa rais huko mbeleni na si ACT. zunguka mikoani ndo utajua si cha kubeza.
Sent using Jamii Forums mobile app
hpo bado ni ndoto, mi kwa umakini katika hivi vyama naiona CDM, tuache unafiki, hicho chama bado sana, ni one mans part sasa kimekuwa cha wawili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nchi gani?
..ili kuiondoa ccm 2025 you must do a very serious damage to it in 2020.
Hiki ni chama chenye mihemko ya kidini na kitaface natural death kama vyama vingine vya kihuni vilivokufa..
Kitakuweko? 2020 Ni shida hadi huko watawazubiri tu...Takribani miaka 3 iliyopita nilipitia Thread moja ambayo mwandishi alitabiri kuwa ACT- Wazalendo kitakuwa chama kikubwa cha upinzani na hatimaye kuwa chama cha kwanza nchini Tanzania kuitoa CCM madarakani huko mbeleni. Nilimuona mwendawazimu, na sikukubaliana naye. Leo namuona aliona mbali sana, nami binafsi namuunga mkono.
Baada ya Maalim na wafuasi wake kujiunga ACT- Wazalendo, imekifanya chama hicho kuwa na mvuto wa pekee katika pande zote za Tanzania mpaka msajili na chama tawala hawalali usingizi. Wanasababu ya kufanya hivyo kwani sasahivi ni uhalisia kuwa chama hicho kipo karibu sana kuwa kimbilio la Watanzania.
ACT- Wazalendo watachukua dola 2025 kwa sababu zifuatazo:
Haluta kontinua- mpaka kieleweke- CCM nje 2025.
- Chama kimejikita katika utatuzi wa matatizo ya nchi yetu kuliko propaganda.
- Chama kimeingiza nguvu mpya (sunami) toka CUF, ambao ni timu makini katika mapambano (wasionunulika)
- Idiolijia ya chama ni madhubuti, inayolenga kutatua matatizo ya watanzania wote.
- Chama kinarekodi nzuri ya matumizi ya fedha zake kutokana na ukaguzi wa CAG, toka kisajiliwe.
- Chama hakina migogoro, kutokana na kuwa na viongozi dhabiti
- Chama hakijaundwa katika misingi ya kikanda hivyo kuwasilisha watanzania wote.
- Chama kina kiongozi kijana mwenye mtazamo chanya kwa vijana
- Bendera ya chama ina rangi ya purple ambaye ni rangi pendwa kwa wanawake, hivyo akina dada wengi watavutiwa na rangi hiyo na kujiunga nacho.
- Ni chama kisicho na papara wala mihemko pale matatizo inapokikabili
- Viongozi wake hueleza mambo magumu kwa lugha nyepesi na ya kueleweka kwa watanzania wote hata wenye shule hafifu.
haoni sasa kuwa hicho kimekuwa chama cha watu wawili, kigoma and pemba, ukizunguka sehemu nyingi za bara utakuta matawi mengi ya CDM sasa hiyo ACT itazipata nguvu lini hadi itoe rais.Mueleweshe huyo dogo katoka mwandiga jana haelewi mambo ya siasa
In God we trust
Wanaenda kufanya nn?
haoni sasa kuwa hicho kimekuwa chama cha watu wawili, kigoma and pemba, ukizunguka sehemu nyingi za bara utakuta matawi mengi ya CDM sasa hiyo ACT itazipata nguvu lini hadi itoe rais.
Sent using Jamii Forums mobile app
Very Truehpo bado ni ndoto, mi kwa umakini katika hivi vyama naiona CDM, tuache unafiki, hicho chama bado sana, ni one mans part sasa kimekuwa cha wawili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mie hapa nimecheka sana. Ha ha ha ha ha haKuna point moja inasema kua ACT wanatumia rangi ya purple na wanawake wanaipenda hio rangi kwa hio wataamia ....nimechekaaaa mpaka machozi yametoka aisee
Sent using Jamii Forums mobile app