mwanamakambako
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 780
- 119
Kazana kupika majungu mtoto wa kiume, tutakununuli vimini sio muda.
Sifahamu kiongoza nchi kunaendaneje na kura za maoni...lakini ukweli ndo huo na kamati inatakiwa ipewe pongezi kwa kuamua kumchukua mtu mwenye mvuto kwa wanakalenga...huu nao ni werevu wa hali ya juu ambao ulitakiwa uupongezeHw! Hii nayo ni mpya. Ndo kusema wajumbe waliopiga kura hawakuwa wajumbe halali. Kama mmeshindwa kujenga mfumo imara wa kidemokrasia ndani ya chama hadi kutoa nafasi kwa mamluki kushiriki na kuchagua mgombea, je mkipewa nchi itakuwaje?
kwani hapa ndo cc?
Kabwena hujazielewa sababu zilizotelwa au hujuwi sababu kuwa zimetolewa, tuanzie hapo kwanza
Sinkala Aligawa Kadi Kwa Vijana Ambao Si Wanakalenga, Walikua Wahuni tu. kwahyo ushindi wake haukua halali kwasababu haukuhusisha wapiga kura halali.
Sinkala ni jina la ZAMBIA. Kwa hiyo kuna citizenship concern hapo!
Go for it CDM, all the best
Sijaelewa Sababu Zilizotolewa, Gazeti La Mwananchi Limemnukuu Mbowe Akisema "sinkala Bado Ni Kijana Mdogo, Tunahitaji Kumkuza" Kauli Hii Imenishtua Sana Kwani Chadema Ilimwachia Habibu Mchange Agombee Ubunge Akiwa Na Miaka 24, Joshua Nassari 23, Mtela Mwampamba 26, David Sillinde 24 Na Mnyika 2005 Akiwa Na Miaka 24... Vp Leo Imkuze Sinkala Wa Miaka 29?
Mgombea wenu Sinkala hana kile kishimo anachopenda mwenyekiti wetu.Katika Hili Tumeshagawanyika, Tunahitaji Kupewa Sababu Za Kamati Kuu Kupingana Na Nguvu Ya Umma Ambayo Ni Falsafa Ya Chama.
Mgombea wenu Sinkala hana kile kishimo anachopenda mwenyekiti wetu.
huu ni ubakaji wa demokrasia...
wamedharau sauti ya wanachadema kalenga
hawatapata kitu
Mgombea wenu Sinkala hana kile kishimo anachopenda mwenyekiti wetu.
Huyu mama ni pandikizi la akina Slaa. Kilichomponza Sinkala ni misimamo yake isiyotetereka na usomi wake. Hakika chadema haiwapendi wasomi