Kuna mambo ukiyatafakari hayakuwa na sababu yoyote kufanyika kama yalivyofanyika!
Kauli kama hizi zimechangia Uzembe wa kuchukua tahadhali!
**Karibuni kijiweni tunywe kahawa**
Kauli kama hizi zimechangia Uzembe wa kuchukua tahadhali!
- Korona ni kaugonjwa kadogo sana kuliko Malaria na mafua (Hapo immediately huyu mtu alififisha mioyo ya tahadhari alistahili bakora)
- Tusitishane; Tunatishana mnooo! (Hii kauli haikutakiwa wakati ule)
- Watalii KIA wanaingia tunawaorodhesha majina na address zao ili iwe rahisi kuwafuatilia (Idiotic statement haikutakiwa kabisa)
**Karibuni kijiweni tunywe kahawa**