Kituko wewe ni kituko kwelikweli. Unawezaje kumtofautisha Kikwete na CCM? Kikwete anagombea urais kupitia chama gani? Wananchi wa Tanzania hawamtaki Kikwete na CCM yote. Utetezi wako ni kituko.
Nani anasema CCM Mgombea Urasi wa CCM hana mkono katika hizi meseji.... Ushahidi wa kimazingira huu hapa: Uki-fatilia domain 6telecoms.co.tz, iliyotumika utaona wazi share the name IP ya Kikwete2010co.tz na JK web site yake na nyingine za mafisadi wa papa ziko hosted nao.
Angalia maandishi mekundu!
"
Kikwete2010.co.tz is a domain controlled by two name servers at co.tz. Both are on different IP networks. The name server kikwete2010.co.tz stated in SOA record is not in the list of name servers. Incoming mail for kikwete2010.co.tz is handled by two mail servers also at co.tz. Both are on different IP networks. kikwete2010.co.tz has one IP number (41.77.226.253).
212.233.84.in-addr.arpa, 229.77.41.in-addr.arpa, 228.77.41.in-addr.arpa and 227.77.41.in-addr.arpa share name servers with this domain. 6telecoms.co.tz share mail servers with this domain.
lazma Slaa azae nae kama akiingia kiti cha enzi maana serikali ya mafisadi inaona sawa kuhusu uchochezi wake! nathani hawa ndo tunawaita waliochoka amani au wale waganga njaa!
mkwere huyo ni mnafki siku zote mpaka kufa ataendelea kuwa hivyo kalaghabao kwa watakaompigia kura naona Wachagga ni tishio lao sana hivi tujiulize hao Wachagga wamekosea nini? je wameenda kinyume na demokrasia ku-support Slaa na Chadema? Je wao kama wao wamekosa nini in such mpaka waonekane wana uchu saana na madaraka? nani ambaye hajui katika Watanzania wenye asili ya Kiafrika wanajiweza na kujiajiri wenyewe? au ndo siasa za ukabila zinaanza kuletwa nchini na CCM. Au kwa zile kampeni za kuhusisha Uchagga na CHADEMA zimeanza kugonga ukuta sasa? zinaanza kuhamia kwenye simu zetu! Wadanganyika wamebumburuka sasa!!!!Ile speech ya Kikwete ya "kukemea" text za vitisho ilikuwa ni ya kinafiki tu (kwa maoni yangu).
View attachment 15400mkuu hebu ifanyie ectraction hiyo picha uiweka moja kwa moja hapa.... Sio mpka kuifuata huko kwnye link!!
Bw. Solomon,
Misingi ya amani na utulivu aliyoacha Baba wa Taifa Hayati Mwl. Nyerere bado ingali hai ikiishi mioyoni mwa Watanzania. Ninaamini kabisa watanzania ni waelewa wanaoweza kupembua pumba na mchele. Kinachompata kikwete hadi kufikia hatua ya kutumia familia yake na jamaa zake wa karibu kutafuta ushindi kwa propaganda chafu ni laana inayomfuata mgongoni. Kumbuka ushindi wake mwaka 2005 ulipatikana kwa kuchafua na kuwakashfu wana ccm wenzake kwa kutumia vyombo vya habari. Walimchafua Mtanzania Mzalendo aliyependwa sana na Baba wa Taifa Dr. Salim, wakamchafua Mhe. Sumaye, na wengine wengi tu waliokuwa wanaona ni tishio katika kinyang'anyiro cha urais. Kwa uchafu huo, hatimaye, alifika ikulu (mahali patakatifu).
Ninachopenda kukuhakikishia Bw. Solomon ni kwamba propaganda za akina Shamte, ni za kikwete na familia yake na wala siyo za ccm. Asilimia kubwa ya wanachama wa ccm hawana amani na namna kiongozi wao anavyoendesha nchi na chama kwa ujumla. Mfano mzuri ni wazee na viongozi waandamizi wa ccm, si umeona jinsi walivyo kimya!!! Hakuna hata mmoja anayemsaidia kwenye kampeni. Hii ina maana kwamba watanzania hawatakubali kuacha nchi inaingia kwenye ugomvi wa kikabila kwa maslahi ya familia moja. Maombi yanafanywa kwa nguvu zote na Mungu mwenye uweza na nguvu zote anaweza akaionesha Dunia maajabu. Ondoa hofu, kaa kwa amani na familia yako.
Bw. Solomon,
Misingi ya amani na utulivu aliyoacha Baba wa Taifa Hayati Mwl. Nyerere bado ingali hai ikiishi mioyoni mwa Watanzania. Ninaamini kabisa watanzania ni waelewa wanaoweza kupembua pumba na mchele. Kinachompata kikwete hadi kufikia hatua ya kutumia familia yake na jamaa zake wa karibu kutafuta ushindi kwa propaganda chafu ni laana inayomfuata mgongoni. Kumbuka ushindi wake mwaka 2005 ulipatikana kwa kuchafua na kuwakashfu wana ccm wenzake kwa kutumia vyombo vya habari. Walimchafua Mtanzania Mzalendo aliyependwa sana na Baba wa Taifa Dr. Salim, wakamchafua Mhe. Sumaye, na wengine wengi tu waliokuwa wanaona ni tishio katika kinyang'anyiro cha urais. Kwa uchafu huo, hatimaye, alifika ikulu (mahali patakatifu).
Ninachopenda kukuhakikishia Bw. Solomon ni kwamba propaganda za akina Shamte, ni za kikwete na familia yake na wala siyo za ccm. Asilimia kubwa ya wanachama wa ccm hawana amani na namna kiongozi wao anavyoendesha nchi na chama kwa ujumla. Mfano mzuri ni wazee na viongozi waandamizi wa ccm, si umeona jinsi walivyo kimya!!! Hakuna hata mmoja anayemsaidia kwenye kampeni. Hii ina maana kwamba watanzania hawatakubali kuacha nchi inaingia kwenye ugomvi wa kikabila kwa maslahi ya familia moja. Maombi yanafanywa kwa nguvu zote na Mungu mwenye uweza na nguvu zote anaweza akaionesha Dunia maajabu. Ondoa hofu, kaa kwa amani na familia yako.
Mimi si mchaga, lakini nitakuwa mstari wa mbele mstuni, kama itabidi! Hawa nyang'au ajenda yao ni ndefu kuliko ukabila na udini!..yes nasema hivyo hata wewe makamba utaisoma hii, ajenda yao ni kututenga watanzania ili watawale (DEVIDE AND RULE!)
Hatari zaidi wameenda mbali zaidi mpaka jeshini ambako tegemeo letu watanzania lipo. Ndg Solomon, hali inatisha kuliko unavyofikiri! wamejiandaa kikamilifu kurudisha lawama kwa wanayemuonea......:mmph:!........siwezi kuandika zaidi! Mwafrika wa jamii ya Makamba yuko tayari kufanya LOLOTE ili aendelee kutawala!
Tumewaskia wakinunua vichwa vyenye kipara, viungo vya albino, tumewaona kwa waganga wa kienyeji wakiagua....tunasubiri kuwaona wakinyanyua mitutu dhidi ya wananchi wenye bendera na picha za baba wa taifa!
Mungu hataibariki Tanzania bila watanzania wenyewe kusimama kwa UMOJA na kusema SASA BASI, LIWALO NA LIWE!