FDR.Jr
JF-Expert Member
- Jun 17, 2008
- 1,359
- 353
Kabla ya kusababisha mauaji huyu jamaa amewatumia polisi wa wazo ku fubricate kesi hewa na mpaka sasa unapoisoma thread hii kuna kijana na mafundi wake ujenzi wako segerea kwa kesi hiyo kwa zaidi ya wiki mbili sasa.
Nawaomba wataalam wa sheria na wapenda haki, wana usalama hususani polisi na pccb iangalieni kesi ya jinai na 400/2011 iliyoko mhakama ya hakimu mkazi kinondoni mbele ya mh. Kiwonde.
Mlalamikaji ni dola (baada ya malalamikaji wilson s.o.kiguna chacha).
Mahakama haiko aware na uchafu huu uliofanywa na huyu jamaa kwa kutumia polisi wazo, mwendesha mashitaka naye sidhani kama anajua kesi nzima ni ubambikaji kisa jamaa anataka ardhi, kijana kanyimwa dhamana kwa mujibu wa charge alizofunguliwa hapo makamani, anapaswa kuwa na 200m...
Nimewasilishailisha ili asaidiwe huyu kijana emmanuel philbert wa kinondoni msufini maana 2weeks sasa yuko segerea na kama angelikuwa nje huenda angelipewa kesi ya hayo mauaji.
Nawaomba wataalam wa sheria na wapenda haki, wana usalama hususani polisi na pccb iangalieni kesi ya jinai na 400/2011 iliyoko mhakama ya hakimu mkazi kinondoni mbele ya mh. Kiwonde.
Mlalamikaji ni dola (baada ya malalamikaji wilson s.o.kiguna chacha).
Mahakama haiko aware na uchafu huu uliofanywa na huyu jamaa kwa kutumia polisi wazo, mwendesha mashitaka naye sidhani kama anajua kesi nzima ni ubambikaji kisa jamaa anataka ardhi, kijana kanyimwa dhamana kwa mujibu wa charge alizofunguliwa hapo makamani, anapaswa kuwa na 200m...
Nimewasilishailisha ili asaidiwe huyu kijana emmanuel philbert wa kinondoni msufini maana 2weeks sasa yuko segerea na kama angelikuwa nje huenda angelipewa kesi ya hayo mauaji.