Aliyesababisha kifo cha Salome Mbatia akamatwa

Yule dereva aliyehusika katika ajali ya Bi. Salome Mbatia na ambaye alikuwa ameajiriwa muda si mrefu kabla ya ajali ile na kutoweka kama mvuke na kutokomea kama "night crawler" wa matrix hakuacha hata vumbi? Hivi jina lake la kweli lilikuwa lile?

Huyu bwana alihusika na ajali ya Waziri ambaye kabla ya hapo aliwahi kushikilia nafasi ya Mweka Hazina Mkuu wa CCM wakati ufisadi wa EPA unatokea...

that is all sir, I was just thinking...

sorry to bother you.

Mkjj, hizo ndiyo tunaita conspiracy theories.............

1. Dereva wake wa kila siku (wa wizara) ghafla siku ya safari hapatikani hata kwa simu na gari ya kazini. Lakini anatokea mara baada ya Mama kuanza safari.

2. Dereva wa nyumbani na gari ya nyumbani safari yake ya kwanza kwenda mikoani (zaidi ya Moshi na Arusha).

3. Dereva wa lorry hajulikani alipo japo mwajiri wake kakamatwa na kuachiwa kwa dhamana.


4. Endeleza theories (zikifika kama kumi hivi ndiyo inanoga)


Ila kama ni hivyo, kwa nini Njombe tena mchana badala ya let's say Mikumi, au Kitonga kwenye milima au njiani akienda Songea maporini huko?
 
muda husahaulisha...

That was then, this is now!

Mbinu hii inayotumiwa na viongozi ya kutumia muda kusahaulisha watu mambo mazito imepitwa na wakati. Kila mara tutakumbushana tutakapokuwa tunakutana kwenye kumbi kama hizi za JF.

Watafute mbinu nyingine, hii haifanyi kazi.

Seriously, where is that driver? Why is it that nobody, even makanjanja seem to have lost interest in this? Au kuna utaalam wa kijadi wa kuzima bongo za watu?

Na familia wanasemaje, au walishapewa fidia yakaisha?
 
Mkjj, hizo ndiyo tunaita conspiracy theories.............

1. Dereva wake wa kila siku (wa wizara) ghafla siku ya safari hapatikani hata kwa simu na gari ya kazini. Lakini anatokea mara baada ya Mama kuanza safari.

2. Dereva wa nyumbani na gari ya nyumbani safari yake ya kwanza kwenda mikoani (zaidi ya Moshi na Arusha).

3. Dereva wa lorry hajulikani alipo japo mwajiri wake kakamatwa na kuachiwa kwa dhamana.


4. Endeleza theories (zikifika kama kumi hivi ndiyo inanoga)


Ila kama ni hivyo, kwa nini Njombe tena mchana badala ya let's say Mikumi, au Kitonga kwenye milima au njiani akienda Songea maporini huko?

kiungani sijatoa conspiracy yoyote ni katika kuwaza na kuwazua tu... do you have any idea where is the lorry drive?
 
Na ni nani aliyesema kulikuwemo sh. 200 million kwenye gari lile? Zilisalimika hizo!

1. Ndani ya gari kulikuwa na shillingi millioni 200, zilizobaki baada ya kugawa mikoani, zilikuwa zimebaki kwa ajili ya mikoa kumi zaidi, kutafuta ujumbe wa NEC.

2. Wa kwanza kuyaona yote hata kabla ya Zitto, alikuwa waziri Mathayo.

3. Marehemu alimdanganya mkuu wake wa kazi waziri Sophia Simba, kuwa anakwenda kijijini kwao kuna ugonjwa wa wazee, Mume hakujua anything maana walikuwa kwenye dakika za majeruhi wakilekea kwenye divorce, baada ya mama kuanza kuwa kichwa mbele sana.

4. Dereva yupo, lakini under usimamizi mzito wa .........!
 
mwana kjiji do u know whr is 200 million ans u ll get whr is driver may b he run away with money in heaven.......
 
Kwa nini watu wanasafiri na pesa wakati kuna bank si unaweza kwenda draw pesa utapofika sehemu husika.Pia si unaweza andika check kwani lazima cash kama biashara haramu,mbona mambo ya kizamani yanafanywa na viongozi wa serikali.

Duh ila story zima naona kama mapichapicha ...dereva n.k
 
Kuna simu zilipigwa eneo la ajali kabla Zitto hajafika, na yule dereva licha ya jitihada za kininja za kutoweka bado inasadikika aliacha vumbi kama la "night crawler"; tatizo ni kuwa hakuna mwandishi aliyejaribu kumuuliza Kamanda wa Mkoa wa Iringa alipo huyu bwana... ila siwezi kushangaa kiwiliwili chake kikakutwa mahali fulani...

Nini kiliondolewa hapo... kuna vyanzo toka eneo la ajali vimeanza "kunong'ona"...
 
1. Ndani ya gari kulikuwa na shillingi millioni 200, zilizobaki baada ya kugawa mikoani, zilikuwa zimebaki kwa ajili ya mikoa kumi zaidi, kutafuta ujumbe wa NEC.

2. Wa kwanza kuyaona yote hata kabla ya Zitto, alikuwa waziri Mathayo.

3. Marehemu alimdanganya mkuu wake wa kazi waziri Sophia Simba, kuwa anakwenda kijijini kwao kuna ugonjwa wa wazee, Mume hakujua anything maana walikuwa kwenye dakika za majeruhi wakilekea kwenye divorce, baada ya mama kuanza kuwa kichwa mbele sana.

4. Dereva yupo, lakini under usimamizi mzito wa .........!

Mathayo ndio alipiga zile picha..? Alafu na ile story ya kuwa Sophia Simba alizirai aliposikia kuhusu habari za kifo ni za kweli?

Ila kuna jambo hapa...na I can sense it coming faster....
 
Kwa nini watu wanasafiri na pesa wakati kuna bank si unaweza kwenda draw pesa utapofika sehemu husika.Pia si unaweza andika check kwani lazima cash kama biashara haramu,mbona mambo ya kizamani yanafanywa na viongozi wa serikali.

Duh ila story zima naona kama mapichapicha ...dereva n.k

Hapo nilipoweka alama ulikaribia kupatia. Mtu ameisha kwapua tena apeleke benki kuongeza ushaidi?
 
Kwa nini watu wanasafiri na pesa wakati kuna bank si unaweza kwenda draw pesa utapofika sehemu husika.Pia si unaweza andika check kwani lazima cash kama biashara haramu,mbona mambo ya kizamani yanafanywa na viongozi wa serikali.

Duh ila story zima naona kama mapichapicha ...dereva n.k

Mkuu Mutu fedha za EPA haziandikiwi check.
 
Hivi ni viongozi wangapi walikufa (waliuwa) katika mazingira ya ajabuajabu halafu hatuambiwi wahusika?
Sokoine, Kombe, Mbatia, Kolimba, Dr. Fupi (+ mashahidi wengine muhimu katika ile kesi ya mchele mbovu).....
Kwa hili la mama Mbatia kuna maswali yanahitaji majibu sahihi....otherwise vyombo vyetu vya usalama havijui vitendalo (au vinajua ila vimenyamazishwa?)
 
Alafu na ile story ya kuwa Sophia Simba alizirai aliposikia kuhusu habari za kifo ni za kweli?[/B
]

Alibonyezwa kuwa marehemu yuko Mwanza, na sio kwao kwenye ugonjwa kama alivyomuaga, hawa walikuwa maadui wakubwa maana wote walikuwa na vigogo nyuma zao, akamtumia fax nzito sana ya kumuonya kuwa aache mchezo na kazi na arudi Dar haraka sana,

Siku mbili baadaye Sophia anajitayarisha kwenda SA, akaambiwa adui yake amepatwa na ajali mbaya amefariki, akazirai pale pale.....!
 
Alibonyezwa kuwa marehemu yuko Mwanza, na sio kwao kwenye ugonjwa kama alivyomuaga, hawa walikuwa maadui wakubwa maana wote walikuwa na vigogo nyuma zao, akamtumia fax nzito sana ya kumuonya kuwa aache mchezo na kazi na arudi Dar haraka sana,

Siku mbili baadaye Sophia anajitayarisha kwenda SA, akaambiwa adui yake amepatwa na ajali mbaya amefariki, akazirai pale pale.....!
utamu kunoga!.............endeleaaaaaaaa
 
1. Ndani ya gari kulikuwa na shillingi millioni 200, zilizobaki baada ya kugawa mikoani, zilikuwa zimebaki kwa ajili ya mikoa kumi zaidi, kutafuta ujumbe wa NEC.

2. Wa kwanza kuyaona yote hata kabla ya Zitto, alikuwa waziri Mathayo.

3. Marehemu alimdanganya mkuu wake wa kazi waziri Sophia Simba, kuwa anakwenda kijijini kwao kuna ugonjwa wa wazee, Mume hakujua anything maana walikuwa kwenye dakika za majeruhi wakilekea kwenye divorce, baada ya mama kuanza kuwa kichwa mbele sana.

4. Dereva yupo, lakini under usimamizi mzito wa .........!

mmhhhh, interesting,......very interesting!
 
Subirini nikatafute pocon na juice maana picha ndo kwanza linaanza, kama walifikiri limeisha ile ilikuwa tralor
 
Back
Top Bottom