Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,474
- 39,987
Jibu hoja, "haya" si hoja, ni kioja!
Acheni conspiracy theories hapa. Hiyo ajali, imetokea, imetokea. Huyo mbatia siku yake ndio ilikuwa imefika. Wote tutakufa, na hatujui tutakufa kwa jinsi gani na tutakutana wapi na ziraeli.
Kwani watanzania wangapi wanakufa kila siku kwa ajali za barabarani?? Kwani huyo marehemu ana tofauti gani na za kibanadamu na mwanakijiji wa chole samvula???
Yule dereva aliyehusika katika ajali ya Bi. Salome Mbatia na ambaye alikuwa ameajiriwa muda si mrefu kabla ya ajali ile na kutoweka kama mvuke na kutokomea kama "night crawler" wa matrix hakuacha hata vumbi? Hivi jina lake la kweli lilikuwa lile?
Huyu bwana alihusika na ajali ya Waziri ambaye kabla ya hapo aliwahi kushikilia nafasi ya Mweka Hazina Mkuu wa CCM wakati ufisadi wa EPA unatokea...
that is all sir, I was just thinking...
sorry to bother you.
Yule dereva aliyehusika katika ajali ya Bi. Salome Mbatia na ambaye alikuwa ameajiriwa muda si mrefu kabla ya ajali ile na kutoweka kama mvuke na kutokomea kama "night crawler" wa matrix hakuacha hata vumbi? Hivi jina lake la kweli lilikuwa lile?
Huyu bwana alihusika na ajali ya Waziri ambaye kabla ya hapo aliwahi kushikilia nafasi ya Mweka Hazina Mkuu wa CCM wakati ufisadi wa EPA unatokea...
that is all sir, I was just thinking...
sorry to bother you.