Atakayeumia ni Huyo bwana..lazima ajute..na Kama Ni mtumishi wa uma itakua Ni tabu kweli kweli
Kama wana watoto ndio worse maana ni aibu kwao hakuna mtoto yoyote anayetaka ndoa ya wazazi wake ivunjike so sad kwa this family
Atakayeumia ni Huyo bwana..lazima ajute..na Kama Ni mtumishi wa uma itakua Ni tabu kweli kweli
Na wengine kazaneni kupiga watu na kuwarekodi kuweka ushahidi kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kujichukulia sheria mkononi ni kosa la jinai,halafu unaanzaje kumpiga mwenzio kisa mwanaume ambaye mmejuana ukubwani?
Hahaaa warogaji noma sana but still ni vyema kufikiri kabla ya kutenda maana kuna maamuzi mengine yanaweza kukupeleka jela na ukajikuta unatenganishwa na watoto wako ambao angalau ulkuwa unakula nao ugali mkavu uraiani pindi mume anapokuwa haleti huduma ..Ujue mara nyingi inakuaje. Unakuta mume nyumban haachi matunzo watoto unahangaika nao mwenyewe. Kumpiga huwezi sababu mwanaume ni mwanaume tu. Ukipata mnyonge kama hivyo hasira zote unahamishia kwake.
Simaanishi kama ni halali kupiga mchepuko lakini kiuhalisia mwanamke akiona mume wake anachepuka halafu mchepuko unapata matunzo huku kwake anashindia ugali dagaa daily lazima adate.
Kama unachepuka basi nyumban tunza sio unachepuka unahamia huko unasahau una familia. Tena hapo bado hujakutana na warogaji
Hahaa Mimi nadhani alipaswa kutaja kiwango kikubwa zaidi ya hicho ... Na corona hii mbona watazitafuta kwa torch mchana kweupeamesema amepoteza laki 9 mkuu
kuna braza angu alioa kabinti kadogo tu afu kisu sana,akaanza kuchepuka hakaachii pesa,sasa kuna jamaa wa nyumba ya jirani kumbe anakatamani kila siku kanakataa si mwisho wa siku kalimkubali jamaa ili kapate pesa ya kulisha watoto,mumewe alikua anamaliza hata mwezi yupo kwa michepuko haonekani homeUjue mara nyingi inakuaje. Unakuta mume nyumban haachi matunzo watoto unahangaika nao mwenyewe. Kumpiga huwezi sababu mwanaume ni mwanaume tu. Ukipata mnyonge kama hivyo hasira zote unahamishia kwake.
Simaanishi kama ni halali kupiga mchepuko lakini kiuhalisia mwanamke akiona mume wake anachepuka halafu mchepuko unapata matunzo huku kwake anashindia ugali dagaa daily lazima adate.
Kama unachepuka basi nyumban tunza sio unachepuka unahamia huko unasahau una familia. Tena hapo bado hujakutana na warogaji
pumbafu zake, huyo aalitakiwa auwawe kabisaa, na hilo ndiyo kosa tunalofanya watu wengi unakamata mtuhumiwa alafu unampiga makofi au panga mbili tatu alafu unamwacha, akipata wachumia tumbo kama kiria lazima akusumbue mahakamani….uwaa kabisaa na na uchome motto
kabisa mkuu,ila ukijumlisha na medical bills pamoja na fidia lazima itafika m3 hapo,sasa jiulize kwa hali ya Mwalimu si ni saving kabisa hiyoHahaa Mimi nadhani alipaswa kutaja kiwango kikubwa zaidi ya hicho ... Na corona hii mbona watazitafuta kwa torch mchana kweupe
Sent using Jamii Forums mobile app
Upo sahihi kabisa boss lakini jaribu kuvaa uhusika yani unakuta kidume kipo na mkeo kwenye nyumba yako (DHARAU) hiiHahaaa warogaji noma sana but still ni vyema kufikiri kabla ya kutenda maana kuna maamuzi mengine yanaweza kukupeleka jela na ukajikuta unatenganishwa na watoto wako ambao angalau ulkuwa unakula nao ugali mkavu uraiani pindi mume anapokuwa haleti huduma ..
Kuliko kwenda jela kuishi maisha ya shida na kuwaacha watoto wana taabika na kuishi maisha ya vifaranga Vya kuku vilivyo fiwa na mama yao.. Still tunapaswa kuipa nafasi akili katika kufikiria vyema pindi tunapofikwa na madhila kama hayo ...
Waweza kufanya tukio ukidhani kuwa unamkomoa mtu kumbe ndio unajiingiza katika mtego wa jehanamu ya ulimwengu tena wewe na family yako yote
Tujitahidi kuepuka kutengeneza matatizo tuache yaje yenyewe kwa mfumo wa nature ya ulimwengu
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora huyo aliyejiongeza kwa jamaa mwingine. Mwingine hataki kusaliti ndoa yake ila ndio akikutana na kiviruge wa ndoa yake lazima amkalishe chupa.kuna braza angu alioa kabinti kadogo tu afu kisu sana,akaanza kuchepuka hakaachii pesa,sasa kuna jamaa wa nyumba ya jirani kumbe anakatamani kila siku kanakataa si mwisho wa siku kalimkubali jamaa ili kapate pesa ya kulisha watoto,mumewe alikua anamaliza hata mwezi yupo kwa michepuko haonekani home
Ni kweli mkuu. Mtu ujiweke upande wa mtendewa inauma sana. Ndio maana tunasikia habari nyingi mwanaume kajinyonga, kajipiga risasi, kaua kisa mapenzi na mara zote ni baada ya kufumaniaUpo sahihi kabisa boss lakini jaribu kuvaa uhusika yani unakuta kidume kipo na mkeo kwenye nyumba yako (DHARAU) hii
pili ni mara ngapi huwa unashirikisha kichwa kifikiri ukipatwa na maswahibu?
Ok tuachane na hayo, Je huyo barmaid ni wakwanza kufanyiwa hivyo baada ya kushikwa ugoni?
Huko kwenu huwa wagoni wanafanyiwa nini baada ya kukamatwa?
Mkuu hii kitu msiiangalie kiwepesi wepesi ikiwa demu tu anauma vipi umkute mkeo? alichofanyiwa huyo dada nafikiri kiwe fundisho kwa wenye tabia kama zake na si jumba bovu limuangukie Agnes
Kama huyo barmaid atakuwa mshindi itakuwa ni kuhalalisha ugoni na hasara ya ugoni haiishii tu kwa mme/mke na watoto pia huathirika
Hivi ukiingia kwwnye nyumba yenye mwanamke huwezi kisushtuka kutokana na mazigira ya mle ndani?!! Vivo hivyo hata kwenye nyumba yenye mwanamme ndani.Mimi pia naona usanii
Itakupongeza na kukupa haki yakoWewe hujui nakwambia huzijui hasira.
Mimi kwa demu wangu tu nakukata dudu hilo sembuse mke.
Mimi sijui sheria ila wanaojua watanisaidia.
Nimekushika na mke wangu mnafanya ugoni hasira zikanipata balaa nikanyanyua jeki nikakutwisha nayo kichwani ukafa sheria inasemaje?
Dina usithubutu kushawishika ukafamya hivyo mrembo wangu, ni wachache sana wenye roho nzuri kama Agnes watakaoweza kukuacha unapumua wakikukuta ndani kwao.
Kumbuka ile ni territory ya muhusika uliyemvamia.
Hata hali iwe ngumu vipi bado gesti ni salama zaidi.
Hadi mkeo au mmeo anaingiza mchepuko na kulala kwenye kitanda chako jua kitu kimoja Ni dhahiri....penzi limekwisha !!!Wanawake na wanaume wenzangu mnaomlaumu Mwalimu Aggy kwa hatua aliyochukua natamani mniambie ukimkuta mtu anazini na mume au mke wako ndani ya nyumba yako tena kwenye kitanda chako ni hatua gani utachukua?
Acheni unafiki katika hili hayupo binadamu wa kuvumilia hilo kwa namna yeyote ile. Haijalishi kuwa alidanganywa lakini vaa sasa viatu vya huyo Mwalimu unamkuta mwanamke mwingine na mume wake kitandani kwake, unategemea awe na hali gani haswa??
Unafiki ni kitu kibaya sana nyie viumbe. Kutwa kuchwa tunasoma visa vya haya magazeti pendwa kwenda kufanya mafumanizi guest house na kuwapiga picha wahusika, hamsemi ni udhalilishaji lakini huyu kwenda kufanya ngono kwenye nyumba ya mwanamke mwenzie ndio mmeona ni uzalilishaji kupigwa picha, vp kuhusu mwalimu Aggy yeye amedhalilishwa kwa kiwango gani?
Sio dunia ya sasa mkuu unaeza ukafumania na ukachukua hatua ambazo zitakupeleka Jela vile vile,Kuna watu wanajitoa ufahamu mkuu alichokifanya Agnes ndio huwa kinafanyika baada ya fumanizi
Umfumanie mke/mme halafu umwache we ni chizi kuliko hata mzee baba VICENT na ticha Agnes anastahili pongezi kwa maana kumtetea huyo MWIZI ni sawa na kuhalalisha uzinzi
Haijalishi banahMbona kwenye video yeye mwenyewe anakiri kuwa huyo Mwanaume alimwambia kuwa hajaoa?
Sent using Jamii Forums mobile app