Mafiningo
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 4,436
- 4,646
Asilimia kubwa ya wanaume hucheat hata kama hakuna tatizo lolote kwenye ndoa zao.Acha sheria ichukue mkondo wake alifumaniwa hakufumaniwa haijalishi kwa namna walivyompiga na kumdhalilisha waende wakapambane magereza kwa walioazima akili maana watawatenda kweli
Mwanaume akicheat tambua kuna mahali unakosea kama Mama Mwenye Nyumba
Ona sasa wawili hao wanaishi kama digidigi
Kucheat ni hulka ya mwanaume. Mwanamke yakubidi umdhibiti mmeo asifanye hadi iwe kituko mtaani.
Udhalilishaji wa aina ile kwa mwanamke mwenzie ni ulimbukeni kwasababu hata yeye ndoa inaweza kumshinda muda wowote na akajikuta nayeye baadae anakuwa na mpenzi ambae ni mme wa mtu.
Kanuni inasema genye ni shurti zitulizwe kwa me na ke kupiga game.
Atalipishwa mamilioni kwa ushamba wake.
Anza na hiyo laki tisa + kuumizwa + kudhalilishwa + kuharibiwa biashara.
Sent using Jamii Forums mobile app