Scofied
JF-Expert Member
- Jun 5, 2012
- 2,455
- 1,657
Inawezekana aisee...wanaume wa mkoani hatunaga hizo mambo....unamkimbiaje mkeo?
Inawezekana aisee...wanaume wa mkoani hatunaga hizo mambo....unamkimbiaje mkeo?
Pale alikuwa amebanwa ndiyo maana. Lakini huyu dada hana tabia hiyo ya kutembea na wanaume za watu.Ila kwenye video alikiri kuwa alikuwa na mahusiano na mume wa mtu,sasa sijuikama sheria zetu zinakataza mtu kuwa na mahusiano na mume au mke wa mtu.
Ila kumpiga mtu ni kosa kisheria.
PaukwaAcha sheria ichukue mkondo wake alifumaniwa hakufumaniwa haijalishi kwa namna walivyompiga na kumdhalilisha waende wakapambane magereza kwa walioazima akili maana watawatenda kweli
Mwanaume akicheat tambua kuna mahali unakosea kama Mama Mwenye Nyumba
Ona sasa wawili hao wanaishi kama digidigi
Mbona kwenye video yeye mwenyewe anakiri kuwa huyo Mwanaume alimwambia kuwa hajaoa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi tufanye ni kweli. Sasa, mnadhani basi hata kama ni kweli.... Je, ule udhalilishaji alio fanyiwa ni adhabu sahihi?huyu bibie atakuwa msanii.alichoongea kwenye video nitofauti kabisa...
Kuna kosa la mtandao wa kijamii na kosa la kuchukua Sheria mikononi. Pale wanalo kosa la kijibu .huyu bibie atakuwa msanii.alichoongea kwenye video nitofauti kabisa...
Kwa kweli nilitamani kushuhudia hii case ikifika mahakamani ila ndio hivyo huyu dada naye kawa msanii.huyu bibie atakuwa msanii.alichoongea kwenye video nitofauti kabisa...
Acha iwe hivyo , Ila yule msela aliyekimbia amezingua sana yote haya yasingetokea .Hasira hasara ndio hizi. Watu wataanza kuishi kwa wasiwasi kama digi digi.
ha ha ha pesa ndio imejificha kwenye huo mzozoKweli duniani inakimbia, wachaga mnaanza kugombea wanaume and not money
Sent using Jamii Forums mobile app
Pale alikuwa kwenye hali isiyokuwa na amani. Alikuwa anapigania uhai wake. Hivyo ilikuwa lazima ajitetee.huyu bibie atakuwa msanii.alichoongea kwenye video nitofauti kabisa...
Yaani hii ni fursa. Tena aitumie apate umaarufu asukume biashara zake.Kupitia hiyo changamoto aliyopitia,inaweza kumpeleka hatua nyingine ya mafanikio katika maisha
mbona kwenye mazungumzo ya kwenye video ilionekana alilala kabisa hapo nyumbani ndo akakutwa na mwenye mume akadakwa na ni kutokana na maelezo yake...kwanini abadilishe maelezo,maelezo yake ilitakiwa yabaki vilevile kuwa hakujua kama ni mume wa mtu so sio kosa lake..hii kuanza kubadilishabadilisha maelezo inaanza kuonesha kuwa ni msanii na wakati anatembea nae huenda alikuwa anajua kabisa huyu ni mme wa mtuPale alikuwa amebanwa ndiyo maana. Lakini huyu dada hana tabia hiyo ya kutembea na wanaume za watu.
Kaona Soo kutangaza kua kaliwa na Mume wa Mtu. Hata kama alikua hajui lakini kibao kinaweza kumgeukia.huyu bibie atakuwa msanii.alichoongea kwenye video nitofauti kabisa...
Jitu linalobadiri badiri maneno kama kinyonga linastahili kabisa kibanombona kwenye mazungumzo ya kwenye video ilionekana alilala kabisa hapo nyumbani ndo akakutwa na mwenye mume akadakwa na ni kutokana na maelezo yake...kwanini abadilishe maelezo,maelezo yake ilitakiwa yabaki vilevile kuwa hakujua kama ni mume wa mtu so sio kosa lake..hii kuanza kubadilishabadilisha maelezo inaanza kuonesha kuwa ni msanii na wakati anatembea nae huenda alikuwa anajua kabisa huyu ni mme wa mtu
Under duress ulitegemea asemeje?huyu bibie atakuwa msanii.alichoongea kwenye video nitofauti kabisa...