Kwa nini usimfuate na kwenda kumuulizia yeye mwenye. Uzito wako umeongezeka kwa sababu gani kilicho sababisha kuongeza mwili acha nacho.
Nyama kwa sehemu kubwa, inaongeza uzito, haipunguzi. Unless uwe very disciplined na specific nyama ya aina ganiHaihitaji diet special. Unaweza weka ya kwako.
Cha muhimu ni kujua formula na commitment.
Punguza chakula cha wanga yaani wali, ugali, viazi, ndizi, mihogo. Punguza pia vinywaji vyenye sukari ya viwandani.
Ongeza nyama, samaki,maharage,
Mboga za majani matunda na maji.
Halafu mazoezi. Kupika uwezavyo.
Yuko vizuri sana jamaa kuna shekhe wangu ameanza kufanya diet ya boaz mwezi wa nane kuanzia tarehe 12 mwaka 2018 mpaka mwezi wa kumi tarehe 29 amekata kama kilo nane hivi.ananiambia kitabu kizuri kaweka aina mbali mbali ya vyakula.
Pia kavunja mitazamo ya watu wengi kuhusu vyakula na kaeleza kwa upana sana kile kitabu chake mkuu kiko vizuri sana.
Pia ametumia fursa ya Wadanganyika kutokupenda kusoma machapisho mbalimbali. Elimu anayoifundisha ipo sahihi na ina ushuhuda mwingi kutoka katika tafiti nyingi za kiafya (kuhusiana na lishe). Tatizo ni kuwa anataka kuwaaminisha watu kuwa products anazouza ndizo pekee zitamletea mtu matokeo mazuri. Kimsingi watu wasome waelewe wanachopaswa kufanya. Mie naona kuna dalili za kuanzishwa "forever" nyingine kinamna.Yupo vizur anatuma hardcopy mkoa ulipo
AahhhahhahaahahhaPia ametumia fursa ya Wadanganyika kutokupenda kusoma machapisho mbalimbali. Elimu anayoifundisha ipo sahihi na ina ushuhuda mwingi kutoka katika tafiti nyingi za kiafya (kuhusiana na lishe). Tatizo ni kuwa anataka kuwaaminisha watu kuwa products anazouza ndizo pekee zitamletea mtu matokeo mazuri. Kimsingi watu wasome waelewe wanachopaswa kufanya. Mie naona kuna dalili za kuanzishwa "forever" nyingine kinamna.