Mahesabu
JF-Expert Member
- Jan 27, 2008
- 5,972
- 3,830
Treni ina vyoo ndani kwa ndani, wakati inatembea watu wanakula, wanakunywa, wanalala, wanachimba dawa na kadhalika
Treni ina vyoo ndani kwa ndani, wakati inatembea watu wanakula, wanakunywa, wanalala, wanachimba dawa na kadhalika
Nitakutafuta
Haswa wenye mabasi wajipange mnoUnataka kula masanga?Sawa na kuwa club usiku asubuhi unaingia home.Nafikiri wa mabasi inawapasa kuwa wabunifu.
Nadhani mzuka wa watu kupanda na huduma bora ni sababu ya kipindi cha mwanzo. Mi sidhani kama hawa wataleta eti competition ya kutisha kwa mabasi, labda kuyasaidia tu kipindi hiki cha mwisho wa mwakaHaswa wenye mabasi wajipange mno
Mwenyewe nashangaa, uchafu mtupu..ptuuKwani mpaka treni za saivi haya mambo bado yapo mkuu ya kujisaidia kinyesi kinaenda ardhini na kama bado yapo huo si ni uchafuzi wa mazingira, maana zamani walikuwa wanavizia treni ikifika porini ndio watu wanaruhusiwa kujisaidia ila saivi mapori hakuna watu wanaishi takribani kila sehemu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Train huwa ni usafiri mzuri Sana safe comfortable and cheap/affordable.
Usafiri huu hupoteza mvuto pale unapokosa usimamizi mzuri na ustaarabu wa abiria.
Ukikitunza kitakutunza!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipeni ratiba kamili ya safari