Mreno17
Member
- May 13, 2013
- 8
- 3
Huyu jamaa anaitwa Ally a.k.a Pwiru au 50 Cent.. Huyu jamaa ndiye aliyenipa jina la Mreno akiwa katika hali hiyo hiyo kama anavyoonekana kutokana na uwezo wangu wa kupachika mabao. Jina likapata Exposure kubwa tu na ya kutosha ktk medani ya soka. Jamaa alikuwa "boxer" mzuri sana, Thomas Mashali anamjua vzr na hawezi kusimama nae ulingoni kutokana na uzito wa ngumi zake. Dah! Kipaji hiki kimepotea.. ROHO INANIUMA SANA.