Aliyeniombea Matatizo Yanamrudia

UMASIKINI BWANA

JF-Expert Member
Oct 17, 2013
942
566
Wakuu Nilikwenda Sehemu Flan Kurekebisha Mambo Yetu Ya Jadi. Adui Yangu Yanamrudia Yale Yale Kapasuliwa Mdomo Na Mwiko Umevimba Kama Nundu.Yani Mule Mule Alimotaka Yanitokee Yanamrudia Yeye Kachakaa Kabisa Nimeamini Makorokoro Ya [HASHTAG]#mshanajr[/HASHTAG] Ya Kweli.
 
[HASHTAG]#skyeclat[/HASHTAG] Niliyumbishwa Na Mchawi Flani Lkn Cha Ajabu Kachakaa Sana Namsubiria At The Right Place Nimalize Yangu Alivunja Furaha Yangu Na Mipango Yangu Waiting...For [HASHTAG]#revenge[/HASHTAG]
 
Acha mara moja hiyo biashara ya kwenda kwa waganga wa jadi. Utaishia Jehanam ndugu yangu kwa ajili ya mambo ya Dunia yanayopita.
 
Wakuu Nilikwenda Sehemu Flan Kurekebisha Mambo Yetu Ya Jadi. Adui Yangu Yanamrudia Yale Yale Kapasuliwa Mdomo Na Mwiko Umevimba Kama Nundu.Yani Mule Mule Alimotaka Yanitokee Yanamrudia Yeye Kachakaa Kabisa Nimeamini Makorokoro Ya [HASHTAG]#mshanajr[/HASHTAG] Ya Kweli.
Hayo majaribio mngekuwa mnayaelekeza kwa yule jamaa mwenye komwe kubwa ili inapotokea kuwa kweli basi taifa lipate faida ya jumla si rejareja.
 
Wakuu Nilikwenda Sehemu Flan Kurekebisha Mambo Yetu Ya Jadi. Adui Yangu Yanamrudia Yale Yale Kapasuliwa Mdomo Na Mwiko Umevimba Kama Nundu.Yani Mule Mule Alimotaka Yanitokee Yanamrudia Yeye Kachakaa Kabisa Nimeamini Makorokoro Ya [HASHTAG]#mshanajr[/HASHTAG] Ya Kweli.
Ndiyo jana ulienda Mombo kwa ajili hii? Hebu loga warudishe bunge live
 
umefanya jambo jema sana
ukimuona nyoka usipomuua atakuua wewe

usisikilize ya wajf
 
Uko vizuri, MTU akikufanyia mabaya naye inapaswa alipwe kwa ubaya hakuna kusubili, huyo mtaalam yuko vizuri tupeane ramani mkuu wapi yupo huyo mtaalam?

Wakuu Nilikwenda Sehemu Flan Kurekebisha Mambo Yetu Ya Jadi. Adui Yangu Yanamrudia Yale Yale Kapasuliwa Mdomo Na Mwiko Umevimba Kama Nundu.Yani Mule Mule Alimotaka Yanitokee Yanamrudia Yeye Kachakaa Kabisa Nimeamini Makorokoro Ya [HASHTAG]#mshanajr[/HASHTAG] Ya Kweli.
 
Ukiwa mshika dini Mungu anakulinda hayo hayakupati. Faraja yangu ni kumshukuru Mungu kwa kila linalinitokea.
Dini ni ulevi mbaya sana , ww endelea kushika hizo dini maana ni moja ya sababu zinazotufanya tuwe watumwa hadi Leo ni hizo dini.
 
Acha mara moja hiyo biashara ya kwenda kwa waganga wa jadi. Utaishia Jehanam ndugu yangu kwa ajili ya mambo ya Dunia yanayopita.

Unauhakika gani kama jehanamu IPO ? Hayo ni mambo ya kufikirika tu hakuna aliye na uhakika kuwa kuna bingu na jehanamu, wazungu walitumia mbinu mbadala ili watutawale kimawazo zaidi, tutabaki watumwa siku zote kuanzia kidini hadi maisha.
 
Back
Top Bottom