Wimbo
JF-Expert Member
- Oct 23, 2012
- 782
- 523
Nikiwa na miaka 13 waliingia majambaji nyumbani hawakuchukua kitu chochote bali walimbaka mama wakamalizia na mimi, baba hakuwepo alikuwa masomoni uingereza, siwezi kuisahau siku hiyo iliyoninyang'anya ubikira wangu tena kwa maumivu makali. Sasa hivi nasoma digree ya sheria na malengo yangu nufikie kuteuliwa kuwa jaji natamani sana nikutane na mtu huyo aliyenipufua, wana Jf nisaidieni nitakapokua jaji na huyo aingie kizimbani nimfanyeje?