Pharaoh
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 843
- 157
Nikiwa na miaka 13 waliingia majambaji nyumbani hawakuchukua kitu chochote bali walimbaka mama wakamalizia na mimi, baba hakuwepo alikuwa masomoni uingereza, siwezi kuisahau siku hiyo iliyoninyang'anya ubikira wangu tena kwa maumivu makali. Sasa hivi nasoma digree ya sheria na malengo yangu nufikie kuteuliwa kuwa jaji natamani sana nikutane na mtu huyo aliyenipufua, wana Jf nisaidieni nitakapokua jaji na huyo aingie kizimbani nimfanyeje?
Uwe mpenzi wangu halafu nitamtafuta mimi nakuapia kwa jina lako kuwa nitampata uniambie tu ilikuwa wapi na mwaka gani, nitakutunza pia!