Aliyemuelewa Mo Dewji kuhusu uwekezaji Simba atujuze

Usilalamike kama mo, jibu maswali haya kama una unaachokifahamu. Mnataka watu wa sympathise na mo kwakuwa eti Simba inaleta makombe anayedanganya watu eti kila mtu Tanzania ni Simba na mashabiki wa Simba Wana purchasing power kubwa kuliko wale wa Yanga. Huo utafiti aliufanya lini? Sample size yake ilikuwa watu wangapi? Ethical clearance aliipata wapi? Amelidanganya taifa. Lengo la uongo huo ni wivu wa Azam media kuipa Yanga 40b wakati yeye kasini hela kiduchu, pia anataka Sportpesa impe hela nyingi kuliko Yanga.
Basi hapo wewe geuza iwe kinyuma chake. Fanya wa yanga ndiyo wengi na ndiyo wenye hiyo sijui purchasing power ili ufurahi.
 
Mashabiki wa Liverpool FC, Manchester United, FC Barcelona, Real Madrid, Bayern Munich, PSG, AC Milan, Al Ahly, Mamelodi Sundowns, TP Englebert Mazembe, Kaizer Chiefs FC na Simba SC hatuna haja sana ya kujua Mapato, ila tuna haja mno ya Ubingwa na Klabu zetu Kuzidi Kung'aa Locally na Internationally kama zing'aavyo sasa.

Hivi kwa Mfano kama Mimi GENTAMYCINE nasikia Simba SC inachukua Ubingwa wa VPL na ASFC tena mfululizo huku katika CAF CL najitahidi kufanya vyema na hata huyo ( hao ) Wababe wa Afrika akina Al Ahly na Kaizer Chiefs nawafunga na Moyo wangu Unaridhika huku nikinenepa kwa Furaha hizo Pesa za Mo au kama anatuibia Simba SC zinanihusu nini?

Halafu kuna Watu wengine ni Wapumbavu na mna Wivu wa Kiuswahili. Hivi kuna Mfanyabiashara ambaye anawekeza kisha nae asitafute mwanya wa Kupiga Hela na Kujifaidisha na Kujitajirisha zaidi? Mnafiki mkubwa Wewe na Chuki zako na Mawazo yako haya ya Kimasikini.

Unashangaa Mo Dewji Kujitajirisha kupitia Simba SC mbona hushangai GSM alivyowadanganyeni Yanga SC kuwa tokea aingie hapo amechapisha tu Jezi 80,000 wakati ukweli ni kwamba mpaka hivi sasa GSM amechapisha Jezi 250,000 za Yanga SC? au unataka sasa tunaoyajua ya ndani ya Yanga SC kupitia Viongozi wao Waandamizi ambao ni Marafiki zetu tuseme yanayoendelea huko Yanga SC Kwenu ili Amani itoweke na Mvurugane zaidi?

Mo tuibie Baba, ila tupe raha Simba SC!!
Wanashangaza mkuu. Yani wanataka mtu atoe mabilioni yake bila kupata faida..
 
Binafsi nilimsikiliza Mohamed Dewji kuhusu utoaji wa 20 billion za hisa 49%. Huyu Bwana anaonekana anatoa hela lakini ananung'unika na kulalama kama vile mtu anaelazimishwa. Anataka aonewe huruma na watu wasihoji chochote kwakuwa anatoa pesa. Yaani asiwepo mtu anayehoji kwakuwa timu inaleta makombe.

Hii ni hatari sana Simba kumpa mtu kama huyu 49% peke yake kabisa kabisa. Ogopa sana mtu anayelalama wakati anakuhudumia, muda wowote atakuacha.

Ambacho sijamuelewa ni:
1. Hiyo tume ya fair competition amemalizana nayo kivipi?

2. Zile 49% hiza ni zake zote mtu mmoja? Kama sio mbona cheque imetoka kwa mo peke yake, hao wawekezaji 2 wengine wanaotakiwa na kanuni wako wapi na ni nani?

3. Alisema ameihudumia Simba 24.3b kwa miaka 4, hizo ni pamoja get collections, mauzo ya jezz, michango ya wanachama, bonuses za kuingia hatua ya makundi na robo finali, bonus za Sportpesa, zawadi za ushindi wa ligi na FA, Sportpesa, haki za matangazo na kodi za majengo ya Simba?

4. Je, matangazo yake ya mo energy kwenye jezz ya Simba thamani yake ni sh ngap, anailipa Simba kiasi gani kutangaza? Je, Iko humo kwenye 24.3b alizodai ameipa Simba?

5. Kwanini huwa analalamika kuhusu kuihudumia timu kila anapopata nafasi ya kuzungumza?

6. Je, hizo 20b ameshazilipa kwenye account ya Simba tayari au ndio anataka kwenda kuzilipa?
Weweuna hisa ngapi pale simba? Unachojua ni kulalma tu halafu huna hata hisa moja.
 
Usilalamike kama mo, jibu maswali haya kama una unaachokifahamu. Mnataka watu wa sympathise na mo kwakuwa eti Simba inaleta makombe anayedanganya watu eti kila mtu Tanzania ni Simba na mashabiki wa Simba Wana purchasing power kubwa kuliko wale wa Yanga. Huo utafiti aliufanya lini? Sample size yake ilikuwa watu wangapi? Ethical clearance aliipata wapi? Amelidanganya taifa. Lengo la uongo huo ni wivu wa Azam media kuipa Yanga 40b wakati yeye kasini hela kiduchu, pia anataka Sportpesa impe hela nyingi kuliko Yanga.
Kumbe wewe zwazwa la yanga halafu unakuja kuleta mvurugo kwa wana simba? Pimbi weee.
 
Wakina Nchimbi, akina waziri junior, akina Juma Athumani, akina dilunga, mzamiru, mo, ndemla, nk ambao wanapewa nafasi uwanjani kwa kubip kama wangepewa fursa wangewazidi akina chikwende, sarpong.
Hivi nafasi mtu anapewa au anatakiwa aitafute mazoezini?.
 
Acha kudanganya watu, 40B sio uwekezaji ni haki ya matangazo ambayo hata klabu nyingine zipo katika mazungumzo na Azam.

Usijelia siku ukisikia simba kachukua zaidi ya hiyo 40B katika haki hiyo maana ni timu yenye mafanikio makubwa zaidi
uwe unasoma bata wewe .nani kasema hapo uwekezaji?

Kwa hiyo matangazo ya YANGA YANA BEI KUBWA ,KULIKO SIMBA!
 
uwe unasoma bata wewe .nani kasema hapo uwekezaji?

Kwa hiyo matangazo ya YANGA YANA BEI KUBWA ,KULIKO SIMBA!
Hapa ndio umeonyesha uboya zaidi... ulipolinganisha matangazo ya biashara na uwekezaji.

Pia kumbuka hiyo 20B sio thamani ya simba bali ni sehemu ya share za mwekezaji na wala sio kanunua timu. Majority share bado zipo kwenye 51%.
Rudi darasani kwanza.
 
Maswali

1. Hao wawekezaji wengine walikua wapi kabla ya Mo? Kwann hawakuwekeza?

2. Kama kuna pesa anatengeneza, kwann simba ilishindwa jiendesha yenyewe wakati hayupo?? Hizo pesa zilikua wapi muda huo zisionekane?
Wewe ni chizi. Simba iko tangu 1936 ingeshindwa kujiendesha ingekuwepo? Kama ana hela kwanini hakuanzisha yake? Tunachosema hapa ni win_win kati ya muwekezaji na wenye club, nothing more nothing less. Unajuwa vijana wanadhani ni dude lisilokuwa na mwenyewe, hawajui kuwa kuna watu walihangaika na kuifikisha simba hapa. Thamani ya simba ni kubwa mno inaweza kukufanya uwe hata rais wa nchi kama ukiwamunipulate mashabiki wake kuwa wanasiasa
 
Anaetukana inabidi akaweke hela zaidi ya MO dewj. Mimi nasema tu hv MO Dewj kabadilisha mpira wa Tanzania kupitia simba anastahili pongezi.
Yanga wanaumia sana kwani wamekuwa wahanga wakubwa wa uwekezaji wa Mo. Na kwa akili zao za kwenda kumbeba msomali wataendelea kuumia kwani kuna gap kubwa saaaana kati ta Utopolo na Simba. Kwenye CAF ratings Simba wako nafasi ya 12 wao wako nafasi ya 79. Poor Utopolo.
IMG-20210716-WA0009.jpg
 
Wewe ni mjinga wa asili, yani wa kuzaliwa kabisa

Hiyo simba unayosema inafanya vizuri Africa mashariki na kati, ni nani kaiwezesha ifanye hivyo?? Au imetokea Kama miujiza tu sio?? Yani Mo aweke pesa yake timu ifanye vizuri alafu uje umhukumu kwa pesa yake hiyo hiyo???

Kabla ya Mo Simba ilikuaje?? Kwann haikufanya vizuri ?? Hiyo pesa inayopatikana saiv simba miaka minne nyuma ilikua wapi??

Kaa chini kitulize
Kwanini hakwenda kuwekeza Ihefu? Akili huna vhata moja. Simu ina wenyewe na wenyewe sio wewe mshabiki oyaoya, wenyewe wanataka faida pia sio makombe tu.
 
Mo tapeli Tu na sitashangaa Simba ikimshinda
Alishindwa Singida united akakimbia
Akashindwa Africa Lyon akakimbia..

Ana usanii mwingi
Hayo maswali watu wengi wanauliza..
Kubandika bidhaa zake .. kwenye magari na kesi..je Simba walitangaza bid?
Kampuni yake ndo highest bidder?
Au analazimisha kwa bei anayotaka?

Maswali mengi kuliko majibu
Mwamedi miyayusho sana ila kulalamika sasa kama mzaramo
 
Wewe chura FC ukishajua itakusaidia nn?? Cc wanasimba ata akitoa jero tunaomba apewe timu yote aimiliki na akipenda abadilishe na jina iwe Mo FC muhimu mashabiki tunapata FURAHA timu inafanya maajabu basi tunafurahi ayo mengine ni kukompliketi mambo mwaisa
Ungejibu maswali yake ingependeza zaidi na kuonyesha kweli kuna sehemu watu wamekua kifikra na kiakili.
 
Back
Top Bottom