Mdudu halisi
JF-Expert Member
- May 7, 2014
- 2,730
- 4,768
Huyu ndugu (Yusuf Kongoroka) alikamatwa wakati wa mkutano wa UKAWA uliofanyika kwenye viwanja vya Fire, mjini Morogoro. Toka tupewe taarifa ya kukamatwa kwake, hakuna aliyerudi tena hapa kutujuvya kama alifikishwa mahakamani au ni hatua gani ilichukuliwa dhidi yake. Nawaomba wakuu kama kuna mtu ana taarifa kuhusu nini kiliendelea toka huyu jamaa akamatwe, aje hapa atuhabarishe.
Nawasilisha.
Nawasilisha.